Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

CAF wazuia uwanja wa Amaan Complex kutumika kwenye mchezo wa Yanga SC wa klabu bingwa barani Afrika. "Moja kati ya vigezo vya uwanja sio tu sehemu ya kuchezea au ubora ila ni pamoja na umbali wa...
10 Reactions
33 Replies
2K Views
Mashabiki wa Yanga SC mkoa wa Kagera leo wamejumuika na kupata supu kama utamaduni wao wakifurahia na kusherekea ubingwa wa Ngao ya Jamii na kusubiri kuanza kucheza michezo ya ligi kuu ya NBC...
4 Reactions
11 Replies
788 Views
Namungo haibebeki ni inapigwa kama Ngoma tena nyumbani na team za daraja lake ikiwepo na team mpya ya Fountain Gate. Hapa naona David ouma akipewa kazi faster na zahera kwenda mapumzikoni
1 Reactions
13 Replies
597 Views
KMC FC wakiwa katika dimba lao la nyumbani wamekubali kuvutwa shati na Coastal Union ya Tanga kwa kutoka sare ya 1-1. Timu zote hizi mbili ni mchezo wao wa kwanza katika msimu huu wa 2024/2025 wa...
0 Reactions
3 Replies
498 Views
Nyota imefubaa ghafla, kuna wahuni toka matawi mbalimbali ya Yanga wamepanga kumzomea Haji Manara siku ya wananchi endapo atashika microphone kusema chochote. PIA SOMA - Kama kujiuzuru kwa Ali...
8 Reactions
13 Replies
1K Views
Ndugu wanahabari wenzangu, ni mimi tena Sheikh Sayville mwenye visima vya mafuta ya alizeti. Baada ya kutafakari kwa kina na kusikia vilio na maombi ya wengi, nimeamua kwa utashi wa moyo wangu...
11 Reactions
36 Replies
1K Views
⚽️ Kagera Sugar Vs Young Africans SC 📆 02.02.2024 🏟 Kaitaba 🕖 10:00 Jioni Mungu ibariki Yanga SC Kikosi cha Yanga SC Dakika ya 1 Kagera Sugar 0-0 Yanga. Dakika ya 17 Kagera Sugar 0-0 Yanga...
9 Reactions
338 Replies
18K Views
Mhadhiri na mhutubu maarufu Dr Sulle amedai kuwa maneno ya aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya @simbasctanzania Haji Manara yalikuwa na mchango mkubwa kwenye mafanikio ya timu hiyo na wala sio kuwa...
4 Reactions
18 Replies
3K Views
Group A: Switzerland, Turkey, Portugal, Czech Republic Group B: Austria, Poland, Germany, Croatia Group C: Holland, France, Romania, Italy Group D: Greece, Russia, Spain, Sweden
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Heri nusu shari kuliko shari kamili. Ni hesabu tu za MAGAZIJUTO (BDMAS) na mlinganyo (algebra); Kama kwa APR ni hivi kwa Pyramids na Mayele itakuwaje?. Ukishalipata jibu lake unafuata ujivunjaji...
3 Reactions
7 Replies
474 Views
Klabu ya Simba ilitangaza kwamba beki wake Valentino Nuoma ameitwa timu ya taifa ya Burkina Faso Lakin baada ya kufuatilia imegundulika kwamba beki huyo hajaitwa. Najiuliza Je nin kimetokea?
0 Reactions
3 Replies
456 Views
Huku Simba Queens wakiendeleza mpira wao wa papatu papatu hadi kufikia dakika ya 80 ya mchezo bado kawempe Muslim wameendelea kushika uongozi wa kuwania nafasi ya tatu. Simba Queens ambayo...
3 Reactions
29 Replies
888 Views
[emoji599] BREAKING NEWS: Shirikisho la Mpira Barani Afrika limetoa Orodha ya vilabu vitakavyoshiriki Michuano ya African Football League itakayopigwa mwakani nchini Afrika kusini kuanzia Januari...
9 Reactions
17 Replies
2K Views
Samahani ni kweli makosa ya kibibadamu yanaanza leo? Mechi itakuwa saa ngapi?
1 Reactions
3 Replies
303 Views
Hatuwezi kushangaa uwekezaji wa Azam ila tutashangzwa na matokeo ya uwekezaji, ikiwa unawekeza ili kuleta ushindani lakini hakuna mafanikio katika mipango yenu mujue fika kuwa there's reason...
3 Reactions
22 Replies
895 Views
... [emoji599] 𝗖𝗢𝗡𝗙𝗜𝗥𝗠𝗘𝗗 Wachezaji wafuatao wa klabu za Simba na Yanga wameitwa kwenye timu zao za Taifa. Young Africans Sports Club : ➜ Djigui Diarra [emoji1159] ➜ Aboutwalib Mshery...
8 Reactions
50 Replies
2K Views
Yanga na Simba waondoe tofauti zao kwa muda wajenge Uwanja mkubwa sana na wautumie pamoja . Waige kwa Ac Milan na Inter Milan , Birmingham city na Coventry, Lazio na Roma na vilabu vingine...
6 Reactions
16 Replies
680 Views
Ratiba ya Raundi ya Tatu ya Carabao Cup 2024/25 imepangwa ikishirikisha Timu 32, timu kubwa za Premier League zimepangiwa wapinzani kutoka katika madaraja ya chini ikiwemo Manchester United...
3 Reactions
0 Replies
565 Views
Msemaji wa Klabu ya Azam FC Hasheem Ibwe amesema Ligi kuu inaanza rasmi kesho kwa sababu hakutakuwa na mchezaji ambaye hana kibali cha kumruhusu kucheza mechi. Azam watanza kesho kucheza Ligi...
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Posted Date::11/13/2007 Soka:Kombe la Dunia Afrika Kusini katika hatihati LONDON, Uingereza Mwananchi NDOTO ya Kombe la Dunia kufanyika Afrika kwa mara ya kwanza mwaka 2010 imeanza kuingia...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom