Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
ADAM NDITI: MTANZANIA ANAYEKIPIGA Mchezaji wa Chelsea, Adam Nditi akiwa uwanjani na timu yake wakati wa mechi ya Kombe la FA kwa vijana kati ya Chelsea na Arsenal mchezo uliopigwa katika uwanja...
0 Reactions
18 Replies
8K Views
kuna mtangazaji mmoja wa azamtv anayetangaza mapinduzi cup anaitwa MUWA muwa wa kutafuna au ndio ukoo jana alinifurahisha sana alikuwa anaikandia yanga sijui ndio alitumwa au ndio kujipendekeza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni katika mechi ya Yanga na Azam jana pale John Boko alipoingia na mpira wake wa kwanza kuugusa alipiga kichwa na kuwa bao la kusawazisha kwa Azam. Kilichonifadhaisha ni kumuona alivoshangilia...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Napenda kutoa masikitiko yangu kwa uongozi wa timu yangu ya Young Africans Sports Club (Timu ya Wananchi) kwa jinsi ulivyotelekeza wavuti ya klabu. Kwa sekretarieti iliyopita tulizoea kupata...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hii ni miradi michafi zaidi ya pesa za escrow,,bora zile zilitakatishwa tff msikubali club kuanza kubadilisha makocha kama choo,,kuna miradi inaemdelwea katiyao na...
0 Reactions
1 Replies
913 Views
cc aveva pesa za okwi toka ugaibuni zinakaribia kuja kumezuka kundi kadhaa kuanza kupqnga matumizi yao machafu mh aveva kama utakosea hili watu wakajilipa fadhila zq pesa walizotoa kuingia...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Timu ya simba ya dar es salaam imeuanza mwaka 2015 vibaya baada ya kukubali kichapo cha goli 1-0 dhidi ya mtibwa suger ya morogoro kwenye mashindano ya mapinduzi yanayofanyika visiwani zanzibar...
0 Reactions
39 Replies
7K Views
Chama cha soka cha Hispania (LFP) kimetangaza kitampa Lionel Messi tuzo ya heshima kwa kuvunja rekodi ya ufungaji bora wa la liga kwa muda wote.Messi amevunja Rekodi iliyokuwa ikishikiliwa na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
January 2, 2015 By James Bakama CECAFA vice president Lawrence Mulindwa has welcomed the idea of Azam TV’s sponsorship of the Uganda Premier League. Mulindwa (inset), who doubles as FUFA...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
BREAKING NEWS: LIVERPOOL YATHIBITISHA STEVEN GERRARD KUONDOKA WAKATI WA KIANGAZI (BAADA YA MSIMU HUU): Liverpool wamesema kuwa Steven Gerrard ataondoka timu hiyo baada ya msimu huu kuisha. Hivi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
KLABU ya Simba imeingia mkataba na kampuni ya uchoraji ramani ya Envirolink ili iweze kuwapatia michoro ya hosteli na namna ya kuendeleza mradi wa Bunju ambao utaigharimu Simba zaidi ya Sh 2.5...
0 Reactions
39 Replies
7K Views
Hivi wametumia vigezo gani chelsea kubaki kileleni wakati wote wanaponts sawa na goals differences sawa msada plzzz
0 Reactions
12 Replies
2K Views
leo nimefurahishwa sana na timu ya chelsea kuanza mwaka kwa style ya aina yake, hii inatabiri mwisho wake utakavyokuwa kama ilivyo imani ya wengi, tunawatakia kila la kheri katika kuitazama UEFA...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni kama epsodes sasa. Baada ya Yanga sasa ni Simba,Phiri na bechi lake lote wametimliwa Simba na kesho atapewa barua na haki zake za msingi zitafuatia. MSERBIA GORAN ambaye alishawahi...
0 Reactions
74 Replies
11K Views
Mashindano ya Taifa ya mpira wa miguu kwa wanawake (Taifa Cup Wanawake) yanazinduliwa rasmi Januari Mosi mwakani kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza kwa mechi kati ya wenyeji Mwanza na...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
leo nimefurahishwa sana na timu ya chelsea kuanza mwaka kwa style ya aina yake, hii inatabiri mwisho wake utakavyokuwa kama ilivyo imani ya wengi, tunawatakia kila la kheri katika kuitazama UEFA...
0 Reactions
0 Replies
962 Views
Timu ya West Brom Albion inayoshiriki ligi kuu ya uingereza nayo siku ya leo imesitisha mkataba na kocha Alan Irvin. Ikumbukwe kocha huyo amedumu katka timu hiyo kwa miezi 6 tu. Katka mechi 8...
0 Reactions
0 Replies
784 Views
Masudi,,,, kiukweli kwa hili naamini kipindi kile ulitumika tu kwa ile kazi ya kuzunguka kila siku kwenye vyombo vya habari kuilalamikia Simba kisa kuwa nafasi ya nne huku ikiwa imecheza mechi 8...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Aliyekuwa mshambuliaji wa YANGA Hamisi Kiiza amesaini leo kuitumikia timu ya daraja la kwanza Mwadui fc. Chanzo: JULIO.
0 Reactions
38 Replies
8K Views
Mzee Mengi na Manji hawa ni wafanya biashara maarufu hapa nchini kama alivo mzee Bakhresa. Ki soka Mengi na Manji wanapendelea rangi ya kijani wakati Bakhresa anapenda rangi nyekundu. Kama...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom