Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
jana tar 20/09/2014 timu ya yanga ilifugwa na mtibwa goli 2 bila. gazeti la michezo la dimba limepamwa na habari hizi kwa nje. ivi tm kama mtibwa lini zitapewa nafas kwn media za bongo...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Ingawa imetolewa kwa nia nzuri kuhamasisha wadau kununua tiketi mapema kauli hii ya Wambura cum TFF ni kama inashadadia RUSHWA nchini maana implication yake ni kama inabariki walanguzi na kulaani...
1 Reactions
2 Replies
994 Views
Naomba kuwauliza hao kamati ya simba na yanga kama katika kipindi cha utawala wa kuongoza akatokea kiongozi amejiuzuru ni muda gani haruhusiwi kugombea tena
0 Reactions
7 Replies
1K Views
KOCHA Mkuu wa timu ya Mtibwa Sugar ya Manungu, Morogoro, Mecky Mexime amewashukuru wachezaji wake kwa kuifunga Yanga na hivyo kumfanya apandishe wasifu (CV) wake mbele ya mwalimu wake mkuu katika...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Msanii Jackson Ngechu kimotho makini aka prezzo ambaye alishawahi kuishi na mke wake waliofunga ndoa(pichani hapo chini) ameibuka na kuidai kuwa mume wa zamani hajawahi kuwasiliana nae toka mtoto...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Haya yanaonekana sana katika vijiwe vingi wananchi wanaichukia kwa kuifanya iwe timu ya ccm!Kama unataka kuiokoa jitoe na uwashawishi viongozi wa timu wamwangukie RC aibebe kwani anauwezo wa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Hii ni ratiba ya ligi kuu Tanzania bara 2014/2015
0 Reactions
2 Replies
3K Views
NDANDA kuchele! Hiyo ndiyo habari ya mjini baada ya timu hiyo ya Mtwara kukaa kileleni mwa Ligi Kuu Bara, ikiwa ni mara yao ya kwanza tu kucheza ligi hiyo. Ndanda iliifunga Stand United mabao 4-1...
0 Reactions
0 Replies
875 Views
WanaJF nilikuwa nahitaji kujua GYM mbalimbali na mahali zinapopatikana hapa Dar..itakuwa vizuri kama zitaorodheshwa
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Fahad Musana, ambaye ni shabiki wa kutupwa wa klabu ya soka ya Chelsea, amefariki dunia baada ya mchezaji wa zamani wa klabu hiyo, Frank lampard, kuifungia Manchester City bao la kusawazisha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sat 20/09/14 Azam 3 : 1 Polisi Morogoro Mtibwa Sugar 2 : 0 Young Africans Stand United 1 : 4 Ndanda JKT Mgambo 1 : 0 Kagera Sugar Ruvu Shooting 0 : 2 Tanzania Prisons Mbeya...
0 Reactions
334 Replies
32K Views
  • Closed
Wakuu inawezekana labda ni kwa upande wangu.Ningeomba muifungue website ya TFF TFF | Tanzania Football Federation Sehem nimeyogundua haraka matatizo ni hizi TFF | Result Hapo utakuta matokeo...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau naomba mniambie codes za kununulia tiketi uwanja wa Taifa mechi ya leo simba na coastal
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimejuzuia sana nisiandike lakini nimeona roho inaniuma sana. Ndugu Kikwete leo asubuhi alikuwepo Morogoro katika shughuli za kikazi na ameahirisha shughuli hizo na atarudi tena kwa kile ambacho...
7 Reactions
94 Replies
10K Views
Michezo raha, Leo nimeikuta hii kijiweni, Eti Okwi mwisho Chalinze habari ya mjini ni Jaja !!!!!!!!! Michezo ndio eneo pekee linalowajumuisha wanadamu wengi pamoja bila kujali dini,vyama,kabila etc
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Mario Balotelli Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio ambalo mshambulizi wa Liverpool kutoka Italia Mario Balotelli alitukanwa kutokana na rangi ya ngozi yake kupitia kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
SIRI za kushindwa kwa timu ya soka ya taifa kufuzu katika michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON). Siri hiyo ya kukwama kwa timu ya taifa kwenye michuano ya (AFCON), inadaiwa kutokana na-- hujuma...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
1) Eric Cantona (On receiving an 8 months ban after kicking a fan): "When d seagulls follow d trawler, it's because they think that sardines will be thrown into d sea". 2) Ian Holloway (After...
0 Reactions
2 Replies
851 Views
Shirikisho la soka la dunia FIFA, limewaambia viongozi wanaounda kamati ya utendaji na viongozi wengine wa juu wa shirikisho hilo kurejesha saa zipatazo 65 za gharama walizopokea kama zawadi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom