Kwa miaka zaidi ya ishirini timu yetu ya taifa haifanyi vizuri kimataifa hii naitafsiri kama mkosi sio vinginevyo.
Daahh.....!! Katika kuuliza uliza nikasikia kipindi cha nyuma utawala wa Alhaj...
Michuano ya Jumuia ya Madola ilikamilika wiki iliyopita huko Glasgow, bila timu ya Tanzania kutwaa medali yoyote.
Siku nne kabla Mashindano hayajafika tamati, Waziri mwenye dhamana ya mambo ya...
timu mbili kutoka DRC Tp Mazembe na Vita club zimefuzu kuingia nusu fainali ya ligi ya mabingwa Afrika baada ya timu zote kufikisha point 10,tp mazembe iliichapa al-hilal omdumand ya Sudan 3 - 0...
Wakuu AZAM TV Katika Tamasha la Matumaini.
Ipo Live katika Mechi ya Wabunge wa Simba na wabunge wa Yanga.
Mpaka Sasa Yanga inaongoza Bao moja kwa Pasi murua kutoka kwa Mwigulu Nchema na mwenzi...
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAM
BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) limeiengua Yanga SC katika michuano ya Kombe la Kagame na nafasi hiyo kupewa Azam FC, zote za...
REFA maarufu England, Howard Webb amestaafu kupuliza kipyenga baada ya miaka 25-na sasa atakuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa Taasisi ya Marefa (PGMOL).
Refa huyo mwenye heshima kubwa amechezesha mechi...
kama wamasai wanajisifu kwa mbio na kucheza na sime au mikuki lakini wanashindwa kutumika kuleta medali kwa taifa nini faida yake,taifa la watu mil47 halina mtupa mkuki au tufe au mkimbiaji na...
Mimi ni mpenzi na fuasi wa kazi za C. Ndimbo hususani awapo kituoni kwake, kiukweli ni reporter mzuri sana wa habari za michezo asiyeogopa ukubwa wa kiongozi wala klabu ya mpira maana yeye huacha...
Nimemsoma Wenger akisema Man city wamemchukua Frank Lampard ili kukwepa Uefa finacial fair play regulation. Hii kitu inafanyaje kazi?
Ufafanuzi tafadhali.
Wakuu jana nilikua naangalia malumbano ya hoja ITV juu ya kutofanya vizuri kimataifa na pia leo asubuhi nimeangalia habari za michezo Star tv nimegundua madudu yafuatayo.
1. Imethibitika kua...
Nimeshangazwa na Wambura kunyanyasika kiasi hiki hadi kudhalilishwa na bado anaendelea kuitisha Mikutano na wanahabari,Kama ni kweli anapenda mpira kuna timu zinahitaji Viongozi kama Mbeya City...
Kenya Rugby 24/7
August 2
Aerial shot of the #Kabeberi7s grounds.... taken by a drone. cool stuff. (via safaricomLtd)
The cheerleaders in action at #Kabeberi7s
Kilunda, the inaugural...
Chama cha mpira wa miguu CACAFA mashindano yake ni sawa na mashindano ya kugombea mbuzi (ndondo) hawana huduma yoyote kwa timu shiriki hawatoi hata jezi viatu nk
Naishangaa TFF inavyoburuzwa na...
Kundi A: Nigeria, South Africa, Sudan, Rwanda
Kundi B: Mali, Algeria, Ethiopia, Malawi
Kundi C: Burkina Faso, Angola, Gabon, Lesotho
Kundi D: Ivory Coast, Cameroon, DR Congo, Sierra Leone...
Hatimaye timu ya Tanzania iliyoshiriki Masindano ya jumuiya ya Madola mjini Glasgow imerudi nchini ikiwa imetunukiwa heshima ya kuwa timu yenye nidhamu kushinda zote katika mashindano hayo. Hakika...
Nipo mkoa wa Mwanza wakuu, mwenye uelewa juu ya hili anisaidie maana mimi ni mwalimu wa michezo hapa shuleni kwetu na ninapenda kulinda haka ka idara kangu. Asanteni, nategemea kupata msaada wenu...
Niliwahi kukaa na baadhi ya wataalam wa saikolojia na hata viongozi wetu wa dini kubwa mbili wakristo na waislamu na wakanihusia kuwa mwangalifu sana ktk kumpa jina mtoto wako kwani majina huwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.