IRB SEVENS RUGBY BOWL CHAMPIONS IN NEW ZEALAND
MAIN CUP WINNERS N.ZEALAND
PLATE WINNERS
that was the world rugby sevens in new zealand winners pictures.lets met in japan next
Aliyekuwa striker wa brazil maicon amefariki dunia kwa ajali ya gari..
===========
The 25-year-old Brazilian, who joined Shakhtar in 2012, had been on loan at top-flight rivals Illichivets...
Mashindano yaliyo gharimu Kitita kikubwa zaidi katika historia ya Olimpiki yatafunguliwa Urusi leo huku medali 98 ziking'ang'aniwa katika siku kumi na sita.
Sochi, ambayo iko katika pwani ya Urusi...
We love the big games..."two horses and a little horse that still needs milk and to learn how to jump.Mourinho tunakushukuru kwa kutusaidia kukaa hapa juu lakini kutokana na dharau zako daraja...
Nimesikitishwa sana kipindi kinaendelea sasa na mada kuu inamuhusu yeye lakini hayupo, yupo Tarimba tuu
MADA
"Siku 100 za uongoz mpya wa TFF kuingia madarakan, Yap mafanikio na changamoto...
Katika mech ya fainali ya kombe la Mapinduzi Simba ilichapwa moja bila na klabu ya Kampala City Council ya Uganda. Sababu walizotoa ni timu kuzowea kucheza usiku hivo ikawawia taabu siku ya...
Nilikua natafakari vijana wa mbeya city wanavyojituma mwanzo wa gemu mpaka mwisho .....nimegundua ni siasa ndo inaibeba hiyo timu ..mbeya mjini ni jimbo linalotawaliwa ba chadema at the same time...
Tumesikia TFF eti wanaandaa sherehe ya kutimiza miaka 50 tena kwa kujiunga na FIFA sio ya kuanzishwa kwake! Hii ni fedheha tu kwa wapenda soka hapa nchini, hivi inatusaidia nini sherehe hii? Mie...
Habari wana jukwaa ,jana kupitia kwny vyombo vya habari nikaona taarifa kuhusu kuletwa bingwa wa mchezo wa chess ili kuhamasisha wanafunzi waanze kuucheza.
Je mchezo huu wa chess unamanufaa gani...
sina maneno mengi, ntatimiza nachosema... jpili njema.....
.........updates.....
Technically huwezi tembea uchi coz nilisema match ni jumapili na sio jumatatu, pia watu wako ulaya ww uweke...
Baada ya kuishuhudia Mbeya City ikidhulumiwa Jana kwa kucheza pungufu ili Yanga ishinde kuwafurahisha mashabiki wa Yanga tena kwa msaada wa Refarii,
Kiroho safi naiona Mbeya City ikipotezwa kwa...
Wakuu,
Ningependa kujua all time top player wa Tanzania maana nasikia majina tu wakina Lunyamila,Kizota,Manara nk. kwa mlio washuhudia nani alikuwa the best??
Wana JF, tuseme ukweli. Hili suala la mgawanyo wa mapato ya mechi nadhani linapaswa kuangaliwa upya. Klabu zinaonewa sana. Na pia iwe ni changamoto kwa klabu kuanzisha viwanja vyao. Yanga kwa...
Wakuu leo ni leo kwenye uwanja wa Taifa mechi kali kati ya Yanga na Mbeya City,hawa unaweza kuwaita wabishi wa ligi kuu bara!
Mbeya City tayari imejigamba kushinda mchezo huo na kwamba hamu yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.