Naanza kuamini kua hawa viongozi wanaoziongoza yanga na simba wote wanaingia kwajili ya maslahi yao..
Manji ulituahidi uwanja wa yanga utanza jengwa mwezi wa 6 mwaka huu,. Hadi sasa sio hata...
Manchester United legend Sir Alex Ferguson gives blueprint for success
The former manager at Old Trafford reveals his secret in a series of interviews with a Harvard Business School professor...
Huyu kijana anajiweza katika usomaji wa michezo star tv,binafsi napenda navyotamka maneno kwa ufasaha,kujiamini,kuwa easy,matumizi ya lugha ya mwili lakini pia mbwembwe zake..anazichungulia anga...
Imekuwa akilini mwangu kwa muda mrefu juu ya hizi unsuccessful two teams. Zikikutana sijui matikeo yatakuwaje na kama Stars itafungwa basi TFF iiondoe timu kushiriki mashindano kwa kupindi hata...
Pamoja na kwamba mechi ya mwisho dhidi ya Gambia ilikuwa ya kulinda heshima, kichapo ilichopata Taifa Stars kimechangiwa na uzembe au kutojali kwa viongozi wa TFF.
Ipo sababu ya msingi kwamba...
Katika kura iliyopigwa na Kamati ya Kimataifa ya Olympiki (IOC), MJI WA JAPAN "TOKYO" UMECHAGULIWA KUWA MWENYEJI WA MASHINDANO YA OLYMPIKI 2020.
===
The International Olympic Committee...
Timu ya Tanzania, Taifa Stars inapambana na Timu ya Taifa ya Gambia jijini Banjul katika michuano ya kuwania kufuzu mashindano ya kombe la dunia 2014 Brazil.
"Tukishinda na kupanda viwango...
Ile kauli ya Mizengo Pinda "pigweni tu" imeanza kutekelezwa na wachezaji wa Taifa Staz.
Sometimez ni bahati mbaya, lakini kwa nini daily ni sisi tu ndo inatutokea?
Jose Mourinho has admitted that he blocked Demba Ba's move to Arsenal after hearing they had signed Mesut Ozil.
The German completed a transfer deadline day move to Arsenal for £42.5 million and...
Hii si mara ya kwanza siasa za Matusi kufanyika jukwaani.Mbwa alihawi valishwa Bendera ya CDM sasa tunaona SImba kupewa nafasi ya kufunga Vibonde wenye Jezi ya Yanga.Kwani hapakuwa na Jezi...
NASHANGAA baadhi ya mashabiki wanasema eti Kim amemchagua BABU Taifa Stars! Jamani hivi baadhi ya watu wameanza kupenda soka sijui mwaka jana! Maana ninavyokumbuka ni kwamba Henry Joseph na Kelvin...
Yanga inatarajia kuleta katibu mpya mkenya.mimi binafsi siungi mkono hapa makamu mwenyekiti clement sanga umechemka na unaendeleza sera ya kutukuza wageni. Hapo kwanza tayari tunapunguza ajira ya...
Makamu mwenyekiti wa klabu ya Young Africans Clement Sanga leo amefanya mkutano na waandishi wa habari kutoa ufafanuzi juu ya habari zilizokuwa zimeenea kuhusiana na taarifa za mabadiliko ya kaimu...
Wazee wa klabu kongwe nchini Tanzania leo wamemkataa katibu wao mpya,
Katika Mkutano wao na Waandishi wa Habari leo makao makuu ya klabu, makutano ya mitaa ya Twiga na Jangwani, Dar es Salaam...
August 30, 2013
Cameroon striker Samuel Eto'o has finally secured his reunion with Jose Mourinho after signing for Chelsea in a one-year deal.
The 32-year-old is the second player to arrive at...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.