Ni habari njema kwa mashabiki wa Wayne rooney, Man utd na mpira kwa ujumla ya uamuzi wa Rooney kuamua kubaki utd! Nafurahi kujua sasa timu itatulia, na ushirikiano utaimarika zaidi.
Pamoja na...
Wanajangwani wote jiandaeni kwa kushangilia kuchukua "ndoo" ya kwanza leo.
Matokeo yatakua:Yanga2-0Azam.
Na wale wanazi wa dadake Azam pia wawepo jamani ili kushuhudia 'LIBOLO'likiipekenyua ile...
Kikosi cha Coastal Union Wagosi wa Kaya kitaondoka jijini Tanga Moshi kwa ajili ya kuweka kambi ya siku kadhaa kabla ya kukutana na JKT Oljoro kwenye mechi ya ufunguzi ligi kuu ya Vodacom...
Ni kama Yanga wameshinda katika sakata la Azam TV vs Yanga.
Leo naibu waziri wa michezo na utamaduni mh Amos Makala alikua na kikao kizito na Kamati ya ligi,TFF,Azam TV na Yanga SC,huku Yanga...
kiukweli Arsene wenger anaboa balaa...pexa zipo kununua wachezaji anaona ubahili,anapenda wachezaji wa mafungu wa bei chee ona leo tulivyoburuzwa had noumer daa!! but a'm arsenal number one fan...
Jamani mashabiki wenza mlio ktk JF naomba nisaidie maana binafsi nashindwa kuelewa labda kwakuwa niko bali na tanzania (mwanza). Mi ni mshabiki mkubwa wa yanga na siwezi shabikia timu nyingine...
Kwa mashabiki na wapenzi wa Asernal, ni vigumu kuamini kuwa, kila kukicha Wenger ana bid watu wa kujiunga na club yake lakini anaishia kutopata hata mtu. Tulianza na Higua, Akatoweka, tukaja na...
Wakuu mapema leo kwenye gazeti la mwanaspoti kocha mkuu wa Azam, Stewart Hall ameongea kuwa anahofu na uzoefu wa beki ya kati ya Yanga has uwepowa Yondani, Canavaro na Chuji. Maelezo aliyotoa ni...
Ndugu wapendwa natumaini wengii mtakuwa mmekasirika na wachache kushangilia ushindi wa yanga leo hii
sasa basi pengine aukuwa uwanjani ila niseme kweli mpenzi wa mungu azam wamecheza vizuri zaidi...
Inaelekea msimu huu kutakuwa na vute nikuvute kuhusu usajili wa mchazaji Mrisho Ngasa.
Maadam yeye anasema kasajili Yanga tu, hapa kuna mambo mawili tu. Ama Ngasa kasaini timu zote mbili au...
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imepitia usajili wa wachezaji wa klabu za Ligi Kuu ya Vodacom na umuidhinisha Mrisho Ngasa kuchezea timu...
Sakata la usajili wa Ngasa linaonyesha kuwa TTF hawako makini katika kushughulikia matatizo ya usajili yanayojitokeza mara kwa mara. Sakata la Ngasa kwa kiasi kikubwa linafanana na sakata la Mbuyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.