Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Manchester United's number seven shirt is the stuff of legend. It has adorned the backs of George Best, Bryan Robson, Eric Cantona, David Beckham and Cristiano Ronaldo, players who were - and...
0 Reactions
0 Replies
573 Views
Ni kweli kabisa simba ni timu inayoongoza kwa kuuza wachezaji nje ya nchi, Hongeren kwa hilo, ila. Viongozi wa timu hii waache tamaa ya HELA, kiasi kwamba kwa kuwa et wanauwezo wa kuuza wachezaji...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Notwhithstanding Emmanuel Okwi transfer fee saga, Simba are yet on another murky financial deal this time involving Mwinyi Kazimoto sale to Qatar second division club, Al Markhiya. While the Okwi...
0 Reactions
0 Replies
577 Views
Twenty years ago, Simba were on top of the African soccer scene reaching the final of the confederation of African Football cup. They started on a low note by progressing to the second round on an...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyu ni Katibu Mkuu wa zamani wa Yanga akizungumzia sakata la Yanga kugomea ubia na Azam TV. Sikutaka kukurupuka kutoa maoni yangu kuhusiana na sakata la Azam TV mpaka nilivyofikiria kwanza...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
mashabiki wa liverpool mpo,je Suarez anabaki au anasepa arsenal?
0 Reactions
2 Replies
981 Views
Lazima mtu akae leo. Goli 5 zinawatosha sana hawa wakuja. Updates: Dk 87. Yanga 4-1 S.C.Villa
0 Reactions
150 Replies
11K Views
Kufuatia mwenendo mbaya katika mechi za kujipima nguvu, mashabiki wa Man U barani ulaya wameingiwa na hofu ya kupata matokeo mabaya kwenye ligi. Haya ni baadhi ya maoni kutoka mitandao mbalimbali...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
LUGHA 10 ZA SOKA KWENYE MAPENZI 1.kwenda kwa dem bila taarifa-OFF SIDE 2.kumtongoza dem na kumgonga siku hiyohiyo-FREE KICK 3.kondom=GOALKEEPER 4.kutoa mimba=RED CARD 5.kufanya mapenzi madem...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
VILABU 13 VYA LIGI KUU TANZANIA BARA VYAISHUKIA YANGA KUHUSU UDHAMINI WA AZAM TV Katika siku za hivi karibuni, kumekuwapo na mjadala kuhusiana na hatua ya klabu ya Yanga kupinga udhamini wa Ligi...
1 Reactions
27 Replies
9K Views
Waheshmiwa (muliopo uwanja wa Taifa ) tunawaombeni mutupe updates za mtanange wa kirafiki baina ya Simba sc V Villa sc utakao chezwa muda simrefu hapo uwanja wa Taifa Der-salam. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Niko taifa kushuhudia kikosi cha watani Simba koko. Kuna vijembe vinaendelea kati ya mashabiki wa Yanga na Simba. Mdau mmoja wa Yanga kawaambia Simba kuwa mwanaume kabaki mmoja tu hapo Msimbazi...
0 Reactions
57 Replies
6K Views
Arsenal wanaonekana kuwa waliongea na Luis ama agent wake kabla ya kupata ruhusa kutoka Liverpool( Hii ni kinyume na taratibu za usajili) na kuelezwa Suarez ana "release clause" ya paundi 40m...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Young Africans,popularly corrupted as Yanga is arguably the most supported and followed club in Sub-saharan Africa when it comes to match attendances. This season alone Young Africans have...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
anayejua kinachoendelea au ni ubabaishaji ule ule
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Najua unapenda football hasa za ulaya, unajua kuwa unaweza kuona super sport za dstv buree? Pia wajua kuwa aljazeera sport nayo pia yapatikana buree? Na wajua canal sport pia yapatikana buree...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Yanga inapoteza umarufu wake kwa kuwa na tabia kama za ccm mwisho wa siku itafuria.yangaccm sasa inapinga azam kurusha matangazo ya mpira hivo wanataka watu wa vijijini waje dar kuangalia mpira...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Klabu ya arsenal itakutana na fenerbahce katika kuwania kuingia kwenye makundi ya ligi ya mabingwa wa ulaya.
0 Reactions
1 Replies
772 Views
ZUNGUKA kumbi zote za disko. Hautamuona mwanasoka yoyote wa Tanzania amemshika kiuno mwanamke maarufu (celebrity) katika fani yoyote maarufu kuanzia, filamu, muziki hadi siasa. Na sio hao tu...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna shoo yoyote iliyochezwa abroad zaid ya ile waliocheza na akon na rickross.
0 Reactions
4 Replies
984 Views
Back
Top Bottom