Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Estadio Santiago Bernabéu — Madrid Referee: H. Webb
0 Reactions
42 Replies
2K Views
HIVI NI NINI KINAENDELEA KWA HUYU DOGO WETU?? MLIOKO NJE MBONA HAMTUPI UPDATES AISEE....AU MNAMPROTECT?? This year in the NBA, there have been so many great players that I think the little guy...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Hii nimeipenda
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni Bavarians au Mnyama Mweusi(The Black Beast). Mabingwa mara 22 wa Bundesliga, Mabingwa mara 15 wa Kombe la Shirikisho(DFB-Pokal), Mabingwa mara 4 wa Ngao ya Hisani(DFB-Supercup). Mabingwa mara 4...
1 Reactions
36 Replies
5K Views
Wagosi wa kaya coastal union leo wanaingia uwanjani kupambana na timu timu pekee iliosalia katika mashindano ya kimataifa Africa mashariki na kati Azam FC mchezo huo unatarajiwa kupigwa katika...
1 Reactions
94 Replies
7K Views
Hawa Wazamiaji Uwanjani wa Brazil, kama Tanzania itashinda na kwenda huko, kwa kweli itakuwa balaa.... Yaani Dume limejaza Kifuani kuzidi hata Mwanamke wa Kigogo au wa Kihehe, Makonde ndiyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mambo yanayofanywa uwanjani na Luis Suarez na Gareth Bale yanatisha. Pia juhudi zao binafsi zimewezesha timu zao ambazo ni underdogs kupata matokeo mazuri. Je, unadhani NANI ATAIBUKA KIDEDEA? Kwa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Katika vipindi vya michezo na hasa katika mechi za soka vyombo vyetu vya habari (radio na TV) hili wameshindwa ku'copy and paste' toka DSTV! Habari na mitindo mingi ni hodari wa kufanya hivo ila...
0 Reactions
0 Replies
831 Views
Hii ni baada ya kutoka sare na timu ambayo iko ya 14 kwenye table ya la Liga yaani Barcelona wamechoka kabisa aisee yaani wametolewa jasho ni balaa na timu ya 14 Athletic Bilbao sasa kw wale jamaa...
0 Reactions
3 Replies
965 Views
Waliokuwa mabingwa wa Tanzania, Wachezea Libolo, Simba SC wako uwanjani kumenyana na Polisi Morogoro. Hadi mapumziko Simba 1-1 Polisi Morogoro. Dakika 2 ya kipindi cha 2 Ngassa katupia bao...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Inakera sana kuwapigia mabingwa makofi Walimzomea lakini aliwafunga, kwani yeye anakosa gani? Alikuwa Arsenal kwa miaka nane na hawakuweza kupata kombe lolote, hata fainali ya Carling cup...
0 Reactions
0 Replies
832 Views
Baada ya leo tar26.04.2013 Azam kwenda drow ya bao 1-1 na Coast Union,matokeo hayo yameipa ubingwa club ya Yanga na sasa ndio mabingwa wapya. Tukiwa tunajiandaa kwenda kwenye kombe la kagame...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Benitez anatuzingua, ila habari njema kwa wadau wote ni kuwa "THE SPECIAL ONE" anarudi na anakuja na R.Falcao. Nimesoma kwenye mtandao kocha wa Young boyz yaan ARSENAL ameisha anza kuhaha... Big...
0 Reactions
6 Replies
993 Views
Je RVP kuhamia Man Utd ni kosa?
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Salaamu kwenu wale wenzangu wapenzi wa masumbwi au ndondi! Pambano: Trevor Berbick Vs Mike (Iron) Tyson Pamoja na mapambano kadhaa ya kuvutia yaliyowahi kuchezwa ktk sayari hii, binafsi navutiwa...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Arsenal manager Arsene Wenger has nominated one of Manchester United's champions as a worthy winner of the PFA Footballer of the Year award - but it is not former Gunners captain Robin van...
0 Reactions
2 Replies
700 Views
je timu ya arsenal wanaweza kurejea zama zao za mafanikio?
0 Reactions
0 Replies
741 Views
The special one!:biggrin::biggrin::biggrin: Najua Real Madrid bado wana nafasi kubwa ya kuingia fainali kuliko Barca lakini haya matokeo yatakuwa yamekata ngebe za Mourinho. Ile safari ya kukimbia...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Robert Lewandowsky yupo tayari kujiunga na MAN UTD na kukacha Bayern. Ni habari njema kwetu mashabiki w the Red Devils. Kwa mujibu wa habari za daily star zimekariri vyombo vya habari vya...
0 Reactions
3 Replies
845 Views
Back
Top Bottom