Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Balozi wa Azam FC humu jukwaani, ndetichia. Ilikuwa baada ya game ya Azam na Al-Nasr Juba, pale nje ya uwanja mkuu wa Taifa. Ni bro poa sana, kama vile tu anatokelezea humu jukwaani, hana makuu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Malkia wa nyuki akitumia busara na jeuri ya Ngawila kawalipua simba kuwa huwezi kuwa na wachezaji ambao wako chekechea na kuwatafutia mwalimu mwenye degree.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
This is the story of a young boy whose parents were murdered during 2002 riots in Kaduna. ... He was aged 11 yrs at the time this sad incident took place. His parents, Mr Austine and Mrs...
0 Reactions
0 Replies
841 Views
Imefanya kazi San Siro. Ni Cataneccio ya Kitaliano. Huwa inahitaji discpline kubwa sana ya Kimafia ya kukaba. Lakini haitaweza kufanya kazi Nou Camp. Watabana sana ila wataachia! Picha hii hapa...
2 Reactions
43 Replies
3K Views
Hawa jamaa watatu hapo juu wanasifika kwa kuwa na maneno mataaaaam na mbwembwe na madoido na machejo meengi wanaposifia au kuelezea timu zao au wachezaji wao hapa jukwaani Hawa ukiwapa tenda...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Wakati sakata la chama cha soka likiendelea nchini kuhusu uchaguzi wa viongozi wa tff jana nilishikwa na butwaaa kusikia mama yetu yule rais wa chama cha burundi nae akisogeza mbele uchaguzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MFADHILI wa Simba SC, Rahma Al Kharoos amesema kwamba timu hiyo kwa sasa haistahili kufundishwa na kocha kutoka nje, kwa sababu haina wachezaji wataalamu na wenye ubora na viwango, hivyo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Azam wameanzisha uhusiano na Star tv kuonyesha mechi zao. Hongera azam fc na star tv ukitaka maendeleo ya soka njoo azam fc na ukitaka ushabiki wa soka nenda simba au yanga
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Vilikuwa ni Konyagi, Power na Double punch kama unavyoona masela wakizungusha. Kwa double punch hata gongo imesingiziwa.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Safi sana Ac milan kwa kuninyongea hao wanaojisikia sana,wao wanashangilia pasi 600 sie magoli.all z best watoke mapemaaa...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Paralympic gold medalist Oscar Pistorius is charged with murder on Thursday after his girlfriend was shot dead at his home in Pretoria. Brigadier Denise Beukes distances the police from earlier...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
SHIRIKISHO la Soka Duniani (Fifa) limeingilia kati uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania baada ya kupokea malalamiko ya baadhi ya wagombea pamoja na kuangalia upya katiba ya TFF kama ina...
0 Reactions
0 Replies
862 Views
Mimi ni shabiki wa Simba nakiri hali ya sasa kitimu ni tete sana. Mbali na matatizo yaliyopo kwa sasa kocha Lewik ni tatizo lingine pia. Haelewani na wachezaji. Kuna siku niliongea na mchezaji m1...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bathez Yanga anapata nafasi.....mmemfukuza kocha Milovan.... mkamleta huyu kutoka ufaransa... lakini mkamleta Basena toka Uganda, hapo hapo mkamwita Julio, bado mkamwita Twalib kutoka Oman...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
HATERS LIMEWASHUKA... Mshambuliaji mwenye uwezo wa ajabu ambaye hivi karibuni alijiunga na klabu yenye mafanikio zaidi ulimwenguni yaani AC Milan jana aliipatia klabu yake hiyo goli la ushindi...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
habari ndio hiyo, kwa hamu nasubiri nione akiaga kwa uchungu
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wanasema mpira ni dakika 90 ... Zitawasaidia arsenal kwa mechi ya marudiano kweli????? Na kikosi dhaifu cha babu yetu wenger!!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
http://www.facebook.com/mananatty
1 Reactions
10 Replies
25K Views
Kama kawaida yake kwa wale waliomsikiliza jana baada ya mechi kocha msaidizi wa simba amenisikitisha sana sana aliulizwa na mtangazaji vipi kocha leo imekuwaje tena bila kupepesa macho akadai...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kumeibuka hoja kibao kuhusu Jamal MALINZI kuenguliwa kugombea Urais wa TFF. Kwa nini Tenga hamtaki MALINZI kuwa Rais?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom