Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Bentez:du!naomba abrahmovc kesho aamke fresh mana hana muda utamckia"money iz solution of all problems,we got money ,co let uz it"
0 Reactions
3 Replies
962 Views
Hapa Messi,pale Radamel Falcao...hapatoshi leo.Ni wa kwanza na wa pili.Silali ng'o!
0 Reactions
52 Replies
7K Views
Wazee wa Darajani (Chelsea) wapewa kichapo kutoka kwa Corinthians iliyokuwa chini ya kapteni Emersons. Bao la kichwa kutoka kwa Guerrero limetosha kuwamaliza wazee wa Darajani Hongera sana...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Baada ya mchezaji Mrisho Ngassa kuingia mitini huku taarifa za kuaminika kutoka kwa vyanzo vilivyo karibu na mchezaji husika na klabu ya Yanga vikisema - Mrisho amekubali kimsingi kujiunga na...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Africa papers carry Mike Tyson 'sex change' spoofIn 1986 Tyson became the youngest heavyweight champion in history, aged 20 Continue reading the main storyRelated Stories Mike Tyson swaps boxing...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakiwa wameanza kwa kusuasua,sasa AC Milan si wa kuwasogelea. Wakijivuta kutoka nafasi ya 14 ya msimamo wa Serie A hadi nafasi ya 7,Milan wanaonesha kuimarika siku baada ya siku. Jana,Milan...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba la moyoni niliweke hapa,mzee hebu mpe huyu kijana nafasi na sisi tuone mabadiliko mlangoni,nakwambia hutajuta kwa sababu hatakuangusha wewe wala watanzania kwa ujumla,hili ni ombi tuu kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mzee Joseph Mwasokwa amezikwa kwao Kyela watu wengi wamehudhuria akiwemo R.O, mzee Apson,Mwakipesile,Mwambulukutu n.k hayati Mzee Mwasokwa pamoja na kufanya kazi idara ya usalama wa taifa pia...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Soka ni mchezo unao pwenda tanzania naweza sema kuliko mchezo mwingine wowote lakini bado mchezo huu wa soka hauwanufainshi vilabu wala wachezaji husika. Mpira una historia ndefu sana...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
CANNAVARO, CHOLLO, SELEMBE, AGGREY MORRIS NA MCHA VIALLI WAFUNGIWA KUCHEZA POPOTE DUNIANI NAHODHA wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ ni miongoni mwa wachezaji 16, waliofungiwa kwa muda...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Alichezea timu gani miaka ya 1990
0 Reactions
71 Replies
14K Views
Leo sijapata muda wa kupitia media za michezo lakin katika kupitia gazeti la the sun nimekutana na hii habari (CLICK)@ http://t.co/UVDnHi69 ebu nijuzeni.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Barcelona ikiwa uwanjani muda huu kucheza na Cordoba katika mchuano wa Copa del Rey,tayari Lionel Messi ameshafunga goli lake la 87 mwaka huu. Ni bao la dakika ya 11 ya mchezo.Mchezo huo uko...
1 Reactions
3 Replies
989 Views
This Guy Is Absolutely Incredible - YouTube
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kitendo cha wachezaji wa Zanzibar Heroes iliyoshiriki michuano ya CECAFA huko Uganda na kushika nafasi ya tatu kugawana zawadi kiasi cha dolla 10000,bila kuishirikisha management ni kutokana na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya kupokea kichapo,Mama mzazi wa Bondia maarufu Manny Pacquiao amedai kuwa kubadili dini kwa bondia huyo-toka ukatoliki hadi uprotestanti kumemponza.Soma hapa kwa king'eng'e: Everyone has a...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa habari toka kwenye Facebook account ya Azam FC na tweeter Yao ni Kuwa mshambuliaji wa Uganda Cranes Brian UMONY ametua Azam ingawa bado hawajaweka ni Mkataba wa muda gani na wa KIASI gani...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
TIMU YA TAIFA YA NETIBOLI YAREJEA KWA KISHINDO BAADA YA KUTWAA UBINGWA WA MICHUANO YA KIMATAIFA Mwenyekiti wa CHANETA, Anna Bayi akiwa Mwenyekiti wa wake za viongozi, Germina Lukuvi mara...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
ngoja nicheke kwanza!!..teh teh teh teh...safi sana mlichokifanya zanzibar heroes,mlikua abandoned sasa mmeng'aa na ushindi wa 3 na fedha juu hyo ni haki yenu na mgawane wnyewe kama...
0 Reactions
0 Replies
982 Views
Wanabodi Mambooooooz?? Aliyekuwa Mshambuliaji Mahiri wa Simba Mrisho Ngasa atakuwa akilipwa Mshahara wa Dola 4000 ambayo ni sawa na zaidi ya shilingi milioni 6 za kitanzania kila mwezi na Timu ya...
0 Reactions
43 Replies
19K Views
Back
Top Bottom