Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Mechi iliyomalizika hv sasa ni kati ya Sunderland 1 vs 2 tottenham wafungaji sunderland-O'Shea dk40 tottenham-Cuella (OG) dk48, Lennon dk51
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Sturridge 23, amefanya mazoezi na wachezaji wenzake wa Liverpool leo asubuhi mara baada ya jpili kukamilisha vipimo. Maswali ya mekuwa mengi je ataisaidia Liverpool?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
oi wana wa maspot mnasemaje kuhusu utd
0 Reactions
1 Replies
769 Views
Dah soka la bongo ni ubabaishaji tu...............
1 Reactions
30 Replies
3K Views
December 24, 2012 RVP controversy: Has Ferguson gone too far? Manchester United manager Alex Ferguson was furious with Ashley Williams for kicking the ball at Robin van Persie's head. Alex...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
wadau wa soka nimeona niulize hili maana kuna tetesi bongo tuna vijana wengi wanaocheza nje ya nchi lakin hatuna taarifa zao,nimeona nifungue thread hii kwa mtu yeyote anayejua mchezaji wa bongo...
0 Reactions
22 Replies
9K Views
Leo akina Mzee Akili Mali anaonyesha hadharani silaha mpya zilizo sajiliwa Jangwani kwa ajili ya mzunguko wa pili. Karibuni Taifa wenye mapenzi mema na Yanga na soka la bongo. Mpira unaanza saa...
0 Reactions
85 Replies
6K Views
ni tarehe 24 ya Mwezi wa 12... Gang Chomba shabiki nguli wa soka nakuja mbele zenu nikitaka kujuwa maoni ya kila mmoja wenu atakaejisikia kujumuika katika thread hii, je tangu umeanza kuangalia...
0 Reactions
67 Replies
5K Views
Tafadhali mnisaidie, someni hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-lugha/374425-shindano-mashindano-mchuano-michuano.html Asanteni sana, Nino
0 Reactions
0 Replies
765 Views
Lakers' Kobe Bryant tells critics to ‘shut up' Ben Golliver, Dwight Howard, Kobe Bryant, Los Angeles Lakers, Mike Brown, Steve Nash | Comments...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Najua kwa Tanzania miziki ya zamani inaitwa zilipendwa,je kwa kenya ni katitu? Kama ndo katitu kwa kenya na TZ ni zilependwa je ni miziki gani zilivuma? Bado sijajua kama miziki ya zamani kenya...
0 Reactions
5 Replies
25K Views
JEE HII INALETA MAANA KWELI ?MAKATO KIBAO KUNA WANANCHI KIBAO AMBAO WANAFAHAMU KITU KINACHOENDELEA HAPO TAIFA STADIUM,HEBU TUCHANGIE HAPA ILI TUPEANE MAWAZO.ASANTENI.:thinking:
0 Reactions
0 Replies
904 Views
Habari nilizozipata kutoka chanzo changu cha kuaminika sana zinasema Mrisho Ngassa amesaini mkataba wa miaka 2 kuichezea yanga. Ataichezea yanga baada ya mkataba wa mkopo simba kuisha. Updates...
0 Reactions
59 Replies
11K Views
Wakati Barcelona wakipata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Valladolid,mahasimu wao katika La Liga Real Madrid wamechezea kichapo cha 3-2 toka kwa Malaga. Mabao ya Barcelona yamefungwa na Xavi,Messi91...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
HII NI AKILI AU MATOPE......Wakati ADEL TAARABT wa morocco anasema hata kama QPR ipo kwenye hali mbaya ya kushuka daraja yeye akiitwa timu ya taifa atakwenda., PETER ODEMWINGIE analia kuachwa timu...
0 Reactions
3 Replies
983 Views
Football VICTIM ... Zenit striker Hulk Are you sure the World Cup should be in Russia, Blatter? Zenit fans: Don't sign black or gay players By MIKE McGRATH Published: 18 hrs ago...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za Alasiri wakuu?! Natumaini baada ya kusherehekea ushindi wa Lema Asubuhi sasa tukutane kwenye uwanja wa Taifa Dar kesho majira kama haya kwa ajili ya kushuhudia Mechi kati ya Taifa Stars...
0 Reactions
297 Replies
23K Views
Siku zote nimesema janga la maendeleo ya klabu ya Simba ni Rage, lakini nimefuatilia na kugundua kuwa janga lingine ni huyu mtu anaitwa Kaburu. Gazeti la leo la Mwananchi lina stori za kujiondoa...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa klabu yake thamani yake baada ya kusaini mkataba mpya utakao mfunga mpaka mwaka 2018 huku akivuna pound 17million kwa mwaka ni pound 312 million. City na chelsea si mlikua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Aliyekuwa kocha wa timu yetu ya soka ya taifa mzee Poulsen aling'aka siku moja na kuwaambia wazi waandishi wetu ni wachanga mno kwa masuala ya soka. Juzi juzi rais wa Jamhuri ya Muungano ndugu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom