Ni club ya Yanga jana ilijitupa kwenye uwanja wa mpira wa ADORA FOOTBALL mjini ANTALYA kumenyana na timu ya daraja la tatu kutoka UJERUMANI.
Katika mchezo huo ambao uliisha kwa sare ya goli 1-1...
Wakuu taarifa za uhakika toka Zenji ni kuwa Simba imewaduwaza wapenzi na mashabiki wa soka visiwani kwa kuendekeza imani za kishirikina. Siku ya pambano na Tusker, waliingia kwa mstari mmoja...
WanaJF, Mimi nasikitishwa na hii television ya ATN. Kwanza kabisa ile ni chanel ya mambo ya dini,lakini kwa tamaa yao ya pesa wamebidi waingie mikataba ya kishetani,kwa mfano wanapoomba kuonyesha...
katika makosa tutayojutia kwa zama nyingi ni kuthubutu kwetu kumpa juma kaseja j to the k,nafasi hii kubwa ya unahodha wa timu yetu ya taifa,taifa stars.
Ni kweli kabisa juma kaseja...
Kila mwanachama wa Fifa anapewa kura 3 katika FIFA Ballon d'Or, moja ya Captain wa timu ya taifa, moja ya Kocha na moja ya media, naona Tanzania kocha na Kaptain hawajapiga kura, kura ya media...
Dakika ya 28 ya mchezo kati ya Barcelona na Betis imeshuhudia Lionel Messi akiandika REKODI MPYA YA DUNIA kwa mchezaji wa mpira wa miguu kufunga mabao mengi katika mwaka mmoja.
Bao la pili la...
Misfit Manchester City striker Mario Balotelli and manager Roberto Mancini were involved in a furious training ground bust-up today.
The City boss was seen to grab, shove and gesticulate wildly...
Matokeo ya baadhi ya mechi zilizochezwa barani ulaya wiki hii ni kama ifuatavyo:
Chelsea 5 Southamton 1
Man U 2 Westham 2
Yanga 1 Alumnia 1.
Tehe tehe teheee.
Mwanza kisoka kama barcelona embu fikiri ikitengeneza all star ya mkoa kwa sasa kuna mkoa wa kunusa? Ina nyota kama maftah,ngasa,kazimoto,tegete,henry joseph,kigi makasi,mweta,bahanuzi,oscar...
Mchezaji wa Simba na Timu ya Taifa Mrisho Khalfan Ngassa amelazimika kurudishwa DSM baada ya kuugua homa ya matumbo
Imenikumbusha mchezaji Edgar Davis aiyewahi kufukuzwa kambini baada ya...
Najua hapa ni Chit-Chat hivyo tunaweza ku-chit chat katika hili pia.
Matokeo ya baadhi ya mechi zilizochezwa barani ulaya wiki hii ni kama ifuatavyo:
Chelsea 5 Southamton 1
Man U 2 Westham 2...
Timu yetu ya Yanga itakwea pipa kesho Jumapili mishale saa 10;35 alfajiri kuelekea Antalya Uturuki, ikiondoka hapa J.K.I.A break ya kwanza Instabull ambapo kikosi kizima kitatua saa 4:50 hapo...
La Liga - Russian side 'offered £205m for Messi'
An unnamed Russian club triggered Lionel Messi's automatic release clause with a staggering 250m (£205m) bid for the Barcelona star, a report...
DEMBA BA amekamilisha usajili wake kwenda Chelsea - huku kocha Alan Pardew akisisitiza mshambuliaji huyo ameondoka na baraka zao.
Ba, 27, mapema leo alikuwa kwenye mazungumzo na Chelsea baada ya...
Kama mjuavyo messi has signed or about to sign a new deal at barca that would keep him there until 2018 why? kwanini asiamue kutest his footballing skills elsewhere? like ac milan/inter or bayern...
Heshima kwenu wanajf! Kama mada inavyojieleza juu. Ni kwamba vilabu vyetu vikubwa pamoja na timu ya taifa vinakasumba ya kuajili makocha wa kizungu wengi wao ni vibabu ambavyo wala havina hata...
29 December 2012
By Emmanuel MugaBBC Sport, Dar es Salaam
The second part of the Tanzanian Premier League could be cancelled after the country's tax authorities seized sponsorship money.
The...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.