Wanajamii forum, naomba msaada ni mechi gani katika historia ya mchezo huu wa mpira wa miguu ndani ya nchi yetu au nje ya nchi ambazo ziliwahi kurudiwa kutokana na makosa ya mwamuzi kufuatia moja...
Muhidin Ndolanga ni mchafuzi, aliharibu FAT sasa ameharibu uchaguzi DRFA na FRAT, hana uadilifu wa kuwa mwenyekit wa kamati yoyote ya uchaguzi ni mvunja sheria anafahamika na ni AIBU KUBWA KWA TFF...
Kocha Mkuu wa zamani wa Tottenham Hotspur,Harry Redknapp ameteuliwa kuwa Kocha Mkuu wa QPR ilayoshiriki Ligi Kuu ya Uingereza. Uteuzi wake unaanza mara moja...
Mark Hughes has been sacked as manager of QPR - and Harry Redknapp has been appointed as his replacement.
Hughes's assistant manager Mark Bowen will take Rangers, winless and rock-bottom of the...
mheshimiwa mzee rage amesema atamfunga yanga goli tano kama sio sita kwenye ligi round iijayo ,hii nimesoma kweye tanzania daima.
Asante sana kusema hilo hapo kwenye mkutano ,kwa sababu wewe...
Kocha wa timu ya taifa ya Brazil, Mano Menezes ametimuliwa kazi mapema Ijumaa hii kufuatia kile kilichodaiwa kuwa ni muendelezo wa matokeo duni ya timu hiyo.
Andres Sanchez, mkurugenzi wa timu ya...
Ndugu wana JF nimesikia kupitia Channel 10 kuwa TRA wameamua kuifilisi akaunti ya TFF na sababu za msingi za wao kufanya hivyo ni TFF kushindwa kulipia gharama za makocha wa timu ya Taifa Kuanzia...
Kama mchezi mliouzoea kupata matokea mazuri nje ya uwanja:
1.Mlimpa Mwakingwe rushua Kado akawaumbua
2.Mkawapa Miembeni kombe la Mapinduzi wakaachia,Bausi kalalamika kajiuzulu.
3.Mkampa Mwamanda...
The dismissal of Di Matteo follows the only real blip in results since he succeeded Andre Villas-Boas in February, with the club having won just two of their past eight matches.
Chelsea say that...
Mabingwa mara saba wa vilabu Barani Ulaya,AC Milan jana walipambana kiume ugenini Uswis na kushinda mabao 3-1 dhidi ya Anderlech. Milan ilihitaji ushindi ili isonge mbele kwa hatua ya mtoano ya 16...
Kocha wa Azam, Stewart Hall ametoa maelezo ya kuwa wachezaji wa Azam waliosimamishwa walikula rushwa kwenye mechi ya simba na pia mechi ya Yanga.
Alisema kwa sasa hawataongeza mchezaji yeyote...
Nilishindwa kuwaelewa Clouds FM kwa kuamua kukusanya kura za ama KUMKUBALI au KUMKATAA mheshimiwa L. Tenga wakati hoja NZITO ni kwa nini TFF haijatangaza tarehe ya uchaguzi mkuu kama sheria...
amechaguliwa kwa muda (appointed on interim basis) mpaka mwishoni mwa msimu.
Hatua hii inafuatia baada ya kutimuliwa kwa Roberto Di Matteo baada ya kupokea kichapo kutoka kwa Juventus jana usiku...
Sixteen teams including Tanzania and Botswana have tentatively confirmed participation in this years edition of the Safaricom Sevens. Top seeds of course are Kenya followed by last years' runners...
The only real surprise is what took him so long. Why wait until November when he should have acted immediately after that night in Munich in May? Even as the glitter of victory fell from the...
One of the funniest matches in football: Arsenal VS Spartak Moscow
(1925) Fog was covering the pitch (White Hart lane), and it was too
hard to see, impossible to play a match. But the ref...
ukitaka kupata matatizo ya kushabikia basi shabikia chelsea, maana hawa watu sijui ni timu, mfano wa timu au ni wazee wa kutimua timua. ndani muda mfupi wanaatimua makocha sasa sijui Chelsea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.