kumbe hawa wazee wa yanga ni wahuni sana!juzi mtangazaji za chanel 5,patric aliwatembelea makwao akashangaa kukuta makochi na mazulia wanayo2mia makwao yana rangi nyekundu!akawauliza kulikoni...
samahani wakuu,nime post sehemu ambayo siyo kutokana section ya sport papo tupu
naomba msaada wa haraka wa logo ya mgambo jkt footbal club
asante na samahani
Kizungumkuti cha azam kwenye soka la tanzania bado kinaitesa azam. Bada ya kumfukuza kocha wake wa sasa na kuludia matapishi na kumleta tena stewart.
Source michezo radio1
Wana JF,
habari mpaka tulizo zipata kutoka tanga ambako mashindano ya Taifa Cup Basketball yaliyoanza leo jioni huko Tanga yame reta taflani kubwa tuuu, na mmoja katika yote ni kutokuwa na malazi...
Wana JF,
habari mpaka tulizo zipata kutoka tanga ambako mashindano ya Taifa Cup Basketball yaliyoanza leo jioni huko Tanga yame reta taflani kubwa tuuu, na mmoja katika yote ni kutokuwa na malazi...
In my last blog enough is enough I suggested that there should be an
independent refereeing organisation set
up to control all matters refereeing. This
organisation should also manage, train...
Hawa ndiyo wamekuwa shortlisted kuwa FIFA World Player of the Year 2012. Bila ushabiki, yupi unaona anastahili?
Sergio Agüero (Argentina),
Xabi Alonso (Spain),
Mario Balotelli (Italy),
Karim...
Shaffih Dauda in Sports.: MJADALA: ANGALIA USHAHIDI WA PICHA THEN UTOE MAONI YAKO LIPI NI GOLI HALALI KATI YA LA CHICHARITO VS CHELSEA AU SUAREZ VS EVERTON
I have observed for days now that ITV does not provide some sport news on Simba Sc immediately. Today 27/10/2012 Simba played Azam at the National Stadium yet it has been easier for ITV to get...
kama ilivyotarajiwa timu ya Jkt oljoro imekuwa kivutio kwa wapenda soka wa arusha na Tanzania kwa ujumla,matarajio ya wengi ni kwamba JKT oljoro watarudisha heshima ya arusha katika soka.yanga na...
In my last blog enough is enough I suggested that there should be an
independent refereeing organisation set
up to control all matters refereeing. This
organisation should also manage, train...
Kua mshabiki wa timu flan haimaanishi kuchukia timu nyingine,km mpenzi wa mpira unatakiwa kuangalia pande zote na si kusimamia ushabiki,wikend hii ya primier league nimeona maamuzi mengi mabovu...
Habari wanajamvi! kama kawaida yetu leo tena mechi kali kweli kweli,mm nitakuwepo uwanja wa taifa DSM live kushuhudia simba na azam,tutakuwa tunawaletea live updates kwa wale waliokosa kufika...
Jamani hii si Logo ya Voda? Manake angekuwa mzee Akilimali mngesimamia vidole gumba na kumtolea matusi, sasa kumbe zipo logo nyingi za voda mpaka za grey na wanafiki wote mtajua Yanga was right na...
INASHAURIWA NA WATAALAMU WA AFYA USIPENDE KUUTESA MOYO WAKO SABABU UPO DELICATE HUCHELEWI KUZIMA GHAFLA!!! HIVYO INASHAURIWA KUIPENDA MAMNCHESTER NA SIMBA KWA AFYA BORA. RED ARMY :bange:​
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.