Hizi game balaaa piga ua lazima afe mtu napredict watoto wa London kutoka kidedea...
Sunday, 22 January 2012
Man City v Tottenham, 13:30
Arsenal v Man Utd, 16:00
Inside Thomas and Rose Barwuah's third-floor council flat above a row of shops in Bagnolo Mella, on the outskirts of Brescia in northern Italy, photographs of their family adorn the walls.
There...
Rivaldo has chosen to play in some unexpected destinations since leaving Milan in 2004, having spent two years with FC Bunyodkor of Uzbekistan from 2008 Brazilian World...
Kwa hili vyema sana SAF. Kwani huu ndio mtazamo wa mtu anajua na kufahamu soka vilivyo. SAF amekiri hayo wakati wa mahajiano katika kuelekea kutangazwa kwa washindi mbalimbali wa tuzo za soka...
kocha wa real madrid amehapa kuwa zamu hii ni zamu yake kutoa kipigo kitakatifu kitakacho iduwaza dunia kwa barca!ktk mechi ya kwanza ya kombe la mfalme itakayo chezwa j.tano ijayo ktk wa uwanja...
Muslim brothers behind Tim Tebow Movement10:01 PM, Jan 9, 2012 | 12 comments
- A A A +
Written byEric Kahnert
FILED UNDER
Denver Broncos
Home
Local News
Sports
As Seen on...
Bofya hapa kuona video ya tukio hilo Goalkeeper suffers epic nightmare
Angalia video hapo juu ambayo makipa wengi wasipokuwa waangalifu wanaweza kuisababishia timu magoli ya kizembe...
Jana thierry alifunga bao dhidi ya Leeds akiwa amevaa jezi no 12, zikiwa zimesalia dakika 12 mchezo kwisha, likiwa ni bao la 12 dhidi ya Leeds United, na ni Mara ya 12 kukutana na Leeds, na huu ni...
jaman me hapa hata cjielew,naona kama kesho ndio mwisho wetu na hao liva walivyo na usongo na ushindi tutakoma ukizingatia wanatufungaga na kikosi chetu hakipo sawa basi dah...nipeni mahope jaman..
Katika mechi kati ya Arsenal na Leeds,Thiery Henry alivaa jezi namba 12,alifunga bao dakika 12 kabla ya mchezo kuisha,lile lilikuwa ni bao lake na 12 kufunga dhidi ya leeds>na huu ni mwaka 2012.
Nyilawila aukana ubingwa WBF
Monday, 09 January 2012 21:01
Imani Makongoro, Mwananchi.
BINGWA wa dunia wa Shirikisho la Ngumi za Kulipwa duniani (WBF), Karama Nyilawila ametangaza...
mimi ni moja wa washabiki wa man u,
leo nimeangalia mpira kwanzia dakika ya kwanza mpaka ya mwisho
kiukeli kutoka moyoni kwangu leo tumebebwa
mchezaji wa city hakustahili kupewa kadi njekundu...
Barcelona's Lionel Messi awarded his third Ballon d'Or IN ASSOCIATION WITH
Page last updated at 19:08 GMT, Monday, 9 January 2012
E-mail this to a friend...
Messi amechaguliwa tena kuwa mwanasoka bora duniani kwa mwaka wa tatu mfululizo. Amefikia rekodi ya Michel Platin.
Akiendelea hivi huenda akapata hata mwaka wa nne maana sioni nearest challenger...
Kama humjui Tim Tebow ni nani cheki Wikipedia yake hapo chini. Anatufundisha kama ukifanya kazi kwa bidii, usiendekeze mambo ya ulimwengu (pombe, madawa, zinaa) unaweza kufanikiwa.
Tim Tebow -...