Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Klabu yenye mafanikio zaidi hapa ulimwenguni na klabu ilopata kusajili nyota weeengi wa ukweli hapa Duniani yaani AC Milan imefanikiwa kumnyaka kiungo mwenye tashtiti na pilika zenye mafanikio...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
The Liverpool defender, who completed his transfer from Fulham to Anfield on deadline day last week, enjoyed a second half run-out for the Reds in Jamie Carragher's testimonial on Saturday...
0 Reactions
0 Replies
782 Views
Leo nilikuwa naangalia taarifa ya habari kwenye sehemu michezo nikashangazwa sana na aibu ambayo Tanzania imetuletea kwenye mchezo wa Ngumi(boxing). Tanzania kama nchi mwenyeji wa mashindano ya...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Katika kile kinachoonekana kuumwa na utaifa wao na shauku ya kujitegemea yenyewe nchi ya zanzibar ipo mbioni kuukwaa uwanachama wa shirikisho la vyama vya mpira wa miguu duniani (FIFA). Hatua...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hivi leo katika uwanja wa Taifa hapo Dar, Simba na Gor Mahia watakutana katika mechi ya kirafiki. Yanga Na Gor Mahia watakutana huko Arusha kesho kutwa.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
NYON, Switzerland — UEFA has banned fans from bringing vuvuzelas into stadiums for European Championship and Champions League matches. UEFA said Wednesday it wanted to protect the culture and...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwa wale wapenzi wa Soka Bongo,naomba tulijadili hili. Binafsi sioni kama kuna ulazima wa kuwa na kocha wa kigeni ktk youth ranks e.g U17 au U 20,kwa sababu naamini tunao makocha wa hapa nyumbani...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
INTER VS ATLATICO MADRID Broadcast date: Friday 27th August, 2010 @ 21h40 on MBC 3 kwa wale wenye GTV DECODER inapatikana Eutelsat W3A @ 7° East freq 11192 V - SR 3210 1/2
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Haya kwa wapenzi wa soka ndio hivyo zimebaki dakika 20 kabla dirisha halijafungwa kwa haraka haraka, Robinho kutoka Manchester City kwenda AC Milan kwa 15M Euros Asamoah Gyan kutoka Rennes...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
kuna gazeti moja nimesoma kuhusiana na safari ya T. Stars Algeria, limeandika msafara una wachezaji 20 na viongozi 8. hivi ni akina nani( vyeo vyao) ambao ndio hao viongozi 8? nadhani kuna umuhimu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimesoma makala moja iliyotolewa na kocha wa zamani S Mziray kwa kupongeza kuitwa kwenye timu kwa Mchezaji J Kaseja na Chuji. Sina hakika kama kweli kocha wa timu ya taifa anachagua wachezaji au...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Mon Aug 30 10:31pm PDT Usain Bolt wants to play for Manchester United (seriously) By Brooks Peck Since Usain Bolt gained world-wide fame for being ridiculously fast at the 2008 Beijing Olympics...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna aibu zingine ni za kushangaza sana........... Nilikuwa natazama tv mara habari za michezo zikafika akatokea mwenyekiti wa taswa. Eti wameaaamua kumpa jk tuzo ya maalum kwa kujali...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Huenda kauli hii ikawa imeweka historia katika medani ya soka Tanzania. Mwenyekiti wa timu ya Simba Ismail Aden Rage amekanusha taarifa zilizotolewa na baadhi ya vyombo vya habari kuwa timu hiyo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
My fellow soccer fanatics, The draw for the group stage of the Europa League is taking place at Monaco's Grimaldi Forum. I am so eager to know the English opponents. Mind you the final will...
0 Reactions
113 Replies
8K Views
Tokea ligi ya Vodacom ya mwaka jana kumalizika hadi kuanza ligi ya 2010/11 kulikuwepo na muda wa kutosha kukarabati viwanja vitakavyotumika kwa ajili ya ligi ya Vodacom. Uongozi wa uwanja wa Uhuru...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Timu ya soka inayoshiriki ligi kuu ya Uingereza itashuka daraja msimu huu kama itaendeleza u mdebwedo wake. Habari hii inaweza kuwa n jema kwa wapinzani wao Man United.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Leo nikaamka macho hayaoni eti juu ya kukaaa nikiusikiza miziki wabongo.wajua hukumarigani bongo hamna!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Inaniwia vigumu sana kuelewa dhana nzima ya hawa wahusika wanaoendelea na mchakato wa kuufunga uwanja wa uhuru eti usitumike tena kwani utafanyiwa marekebisho, hivi walikuwa wapi kipindi ligi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom