Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Wakuu hivi Star TV wamepata Rights za kurusha Ligi ya Wingereza Live Bila Zengwe? Msimu huu raha tu
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Hivi hawa TFF hawana malengo ya kutafuta vyanzo vingine vya kujipatia mapato zaidi ya kung'ang'ania mapato ya mlangoni ktk viwanja? Umefika wakati wa sekta hizi za michezo zipewe watu makini...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
BIbi Chausiku Mussa(75) aliposhindwa kuzuia hisia zake na kuanza kucheza wimbo wa 'Alamba' ambao ni wimbo wa taarabu uliokuwa ukiporomoshwa na Mzee Yussuf wa kundi la Jahazi juzi kwenye uzinduzi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kenya whipped Tanzania 3-1 in a stormy Group “A” match on Saturday at the Cecafa Under-20 Championship, virtually booking a place in the semi-finals on Wednesday. It was an explosive match in...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
The U.S. Open kicks off at the end of August, and the world’s best female tennis players will compete for the final Grand Slam title of the year. But the real action is off the court, as these...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kesho mtanange wa kukata gebe na majigambo ya watani wa jadi utapigwa uwanja wa Taifa kati ya Yanga na Simba. Timu zote tayari zipo mafichoni. Kama kawaida yangu karata naidondosha kwa watoto wa...
0 Reactions
93 Replies
10K Views
Diego Maradona claims he wants the Aston Villa manager’s job. The former Argentina boss, 49, is looking for a new post after taking charge of his country at the World Cup where they lost in the...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimekuwa nikiingia kwenye hii forum kama mgeni,sasa naomba kushiriki nanyi ktk uwanja huu kama mmoja wa wanachama. Naomba ridhaa yenu.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
1.mohamed mwameja 2.deo mkuki 3.alphonce modest 4.mustapha hoza 5.george masatu 6.hussein marsha 7.athumani china 8.juma amir maftah 9.madaraka suleiman 10.nteze john lungu 11.thomas kipese...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Karibuni jamani... Club ya San Siro inafunguliwa RASMI LEO 29.01.10,ipo mkabala na Rombo Green view! inadaiwa ndo club pekee E.A ambayo unapata huduma zote,mfano BELLY DANCERS,BIKINI WAITERS,POLE...
0 Reactions
28 Replies
12K Views
England can't stop winning with Theo Walcott in the team. Arsenal's flying winger Theo Walcott, now 21, has now featured in 12 England matches…and England have won all 12. He became his...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
hivi nii mechi inaanza saa ngapi na uwanja gani?
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Martin O'Neill has resigned as Aston Villa manager with immediate effect. Kevin MacDonald has been appointed caretaker boss while no reason has been given for O'Neill's decision to leave after...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Rihanna Breaks Record for Most Number One Songs Tuesday, August 10, 2010 | 3:40 PM by Derrick Taylor You must have thought Rihanna was kidding when she said, "That Rihanna reign, just won't...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna siku kwenye pitaipita zangu nilikutana na huu ubishi,watu walikuwa wakibishana nani mkali kati ya mrisho ngasa na edibily lunyamila basi nami nikaona nilete hii hoja kwa wana JF.Kwa upande...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Next season nasi pia tutapata fursa ya kuona mechi za VPL live kupitia Super Sports na hii ndio fursa kwa wachezaji wetu kuongeza bidii wajitangaze kimataifa. Source: TANZANIA DAIMA
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu nimeona bora niweke hii thread kwa wadau wenzangu kama mimi ambao nimemiss sana ligi tuweze kudiscuss mechi hii ya kugombea ngao pamoja huku inaendelea.
0 Reactions
105 Replies
7K Views
Wabongo bwanaa utatujua tu cheki kocha msaidizi wa watani eti yeye anadhani kuwa kocha bora ni kuvaa shati na tai au suti wakati wote?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Yawezekana nikawa katika wachache wapenda nidhamu tanzania lengo langu kuu ni kujiuliza kabla ya kuwarudisha kaseja na chuji tumejua sababu zilizowatoa..na kama ndio suluhisho lake nini??? je...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hatimaye timu yetu kipenzi ya mpira wa miguu ya vijana (Tanzania) a.k.a Ngorongoro Heroes imetolewa katika mashindano baada ya kutoka sare ya goli 1-1 na vijana wa Ivori Coast. Kutokana na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom