Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

The long wait is finally over for supporters as the Premier League returns for what promises to be an enthralling 2009/10 campaign. Old rivalries will continue, fresh challengers have the...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani tuhabarishane matokeo ya mechi pls
0 Reactions
23 Replies
4K Views
look at this pic and decide for yourself.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
TIMU ya soka ya Azam FC kutoka jijini Dar es Salam iliopo visiwani humu kwa ajili mazoezi yake ya mwisho imeangwa rasmi na vijana wa timu ya ‘Zanzibar Heroes’ kwa kuchapwa bao 1-0 bila ya huruma...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau wa soka hivi ni lazima jezi ya timu ya taifa iwe na mirangi yote ya bendera? Mchanganyiko wa rangi kwa kweli hauleti mvuto uwanjani...rangi ni "dull". Hawa wadhamini na disigners wa mijezi...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Na Sosthenes Nyoni KOCHA wa Yanga Dusan Kondic amesema atakuwa tayari kujiudhuru kuifundisha timu hiyo endapo itashindwa kufuzu kwenye michuano ya Afrika mwakani. Akizungumza na Mwananchi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Amfuata mwanachama jukwaani na Wilbert Molandi KATIBU Mkuu wa Simba, Mwina Kaduguda ‘Simba wa Yuda' , jana alishindwa kudhibiti hasira hadi kumchapa ngumi mwanachama mwenzake, Kessy...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Rest in peace Al-Shoaibi, Mark Vivien Foe, Antonio Puerta, Miklos Feher... Thanks for the Joy you gave us while watching You Playing! YouTube - ( R.i.p ) - MIKLOS FEHER - ( R.i.p ) YouTube -...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Katika pitpita zangu huko nba.com nimeona jina la Mtanzania Martin Kolikoli akiwa amewekwa katika kitengo cha wachezaji wa kimataifa waliopo katika NBA draft ya mwaka huu. Niko interested kumjua...
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Sisi Yanga tunajua fika kuwa SIMBA sc siku zote wao wanalala kitanda kimoja na Mafisadi na ushahidi huhitaji kwenda mbali.... wameamua kumwalika spika ambaye anatuhumiwa na kashfa za ufisadi...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Jana vijana wamefanya kweli baada ya kuichapa African Lyon 3.0. hapo mpo wapenzi wa Lyon
0 Reactions
2 Replies
2K Views
American Idol judge Paula Abdul is quitting the TV singing contest after eight years. Making the announcement on Twitter, the 47-year-old said: "With sadness in my heart, I've decided not to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Samuel Eto'o 8/3/2009 5:56:57 AM SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limesema litaweka utaratibu wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
BARCELONA superstar Lionel Messi will be offered a new £8million-a-year long-term deal. Barca also want a £255m buy-out clause in the 22-year-old's contract. SOURCE: THE SUN Wale wenye jeuri ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
POLISI nchini Sweden wameapa kuwasaka wachezaji watano wa timu ya vijana ya Azam waliotokomea wakiwa nchini humo hivi karibuni. Wiki iliyopita, wachezaji hao walitoroka na kuzamia kusikojulikana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Msimu ndio umeisha na tumeshuhudia Barcelona,Manchester United,Porto,Inter,Bordeaux wamefanikiwa kuchukua ubingwa kwenye ligi zao na Barcelona wakafanikiwa kubeba Champions League. Tayari baadhi...
0 Reactions
150 Replies
17K Views
Former England manager Sir Bobby Robson has died at the age of 76, following a long battle with cancer. Robson will be best remembered on the international stage for leading England to the 1990...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
CHAMA Cha Wananchi (CUF) kimesema licha ya Mwakilishi wake Abass Juma Muhunzi kukaidi amri ya uongozi wa chama hicho kutokwenda Dodoma kushiriki katika michezo na timu ya bunge chama hicho...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Boniface Ambani asikitika kuikosa Ligi KuuNa Jessca Nangawe MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Kenya, Boniface Ambani huenda akakosa baadhi ya mechi za ufunguzi za Ligi kuu baada ya kupewa mapumziko...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Leo imefikia kiasi hichi Viongozi wa SMZ wana zalilishwa huku wakionekana kama vile poor small Boys without no Brain.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom