naona dogo bahati zinamdondokea tuu!wadau kama hayo ni ya kweli naomba dogo apewe ushauri na ajengwe kisaikolojia,vile vile ajifue vya kutosha kabla hajaenda.kila la kheri kijana!!
Yanga Wameutwaa Ubingwa wa Bara Muda Mfupi Uliopita baada ya kuwafunga wadogo zao Toto ya Mwanza 2-0
Hongera Yanga!
http://www.nifahamishe.com/NewsDetails.aspx?NewsID=1533726&&Cat=6
Hasheem Thabeet Named to U.S. Basketball Writers Association's All-America Second Team
STORRS, Conn. (March 16, 2009) - Junior Hasheem Thabeet (Dar Es Salaam, Tanzania) was selected to the...
Yani Maximo mwenyewe ndio amewaambia TFF, jamani eeh, slow down guys, msinipe mkataba wa miaka miwili. Ngojeni tuone mafainikio baada ya mwaka unaokuja.
Na kama wewe ni mwajiri unatafuta mtu...
In terms of net spending -- taking into account income from sales -- the clubs are much the same. Liverpool's net spending over five years on players is £82.5million and United's has been...
Mbona hakuna reggae muzik JF? Naona kuna Nyimbo za injili, Zilipendwa, Taarab na Bongoflava.....
I hope na sisi watu wa reggae tutapewa nafasi tufurahie muziki.
Ahsante
haya wale magwiji wa michezo ambao mlikuwa mkifatilia kwa muda mrefu mvutano uliopo kati ya ZFA na TFF hii inatokana na kuwa ZFA ni wapenda migogoro au kuna namna.
jee huyu mwakalebela hutumia...
Wana JF na wapenzi wa soka Tanzania na kwingineko duniani kesho ile mechi ya Yanga na El Ahly au National Athletic Club ya Egypt ndio itakuwa inapigwa mida ya saa 1 jioni kwa saa za Afrika...
Benitez signs long-term Reds deal
BBC Sports Online
Benitez won the Champions League with the Reds in 2005
Liverpool boss Rafael Benitez has ended speculation over his future at Anfield...
wachezaji wa taifa stars wavunja ukimya kupitia globu ya jamii
KILICHOTOKEA IVORY COAST KATI YETU (HARUNA, ATHUMAN, KEVIN, BONI, AMIR, NURDIN) NA KOCHA MARCIO MAXIMO
UTANGULIZI
Kwanza kabisa...
Kwanza kabisa natoa pongezi zangu za dhati kwa muheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Tanzania kwa kufanya maamuzi yha busara ya kumuongezea Maximo mkataba mpya wa mwaka mmoja.I think he is well deserve...
Iraqi footballer shot dead by fan
An Iraqi football player has been shot dead by a spectator as he was about to score an equalising goal.
The shooting happened in the last minute of a...
Uwanja unaochezewa mechi kati ya Yanga na Alhaly ni mbovu. Matokeo si mazuri kwa Yanga mpaka sasa. Yanga wameshazoea kucheza mechi zao kwenye uwanja wenye hali ya juu; uwanja wa kimataifa wa Dar...
This folding flat screen TV under the bed is amazing but I bet you were expecting something else from that title.
Ok seriously, I want one of these things but I know I couldn't afford it...
- Naomba kutoa heshima zangu za dhati sana na za kutoka moyoni kwangu kwa wachezaji wote na viongozi wa timu yetu ya Manyema FC, kutoka Kariakoo kwa kuweza kushinda hivi karibuni na kurudi tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.