Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

  • Closed
Na ni kwa mtazamo wangu tu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Leo ilikuwa ni kati ya Mtibwa vs URA na matokeo ni kuwa Mtibwa wamelala kwa mabao 1 - 0.
0 Reactions
68 Replies
11K Views
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba, Mohamed Abdallah Machupa, amesema klabu hiyo imemdhalilisha vya kutosha, hivyo hafikirii kuichezea tena klabu hiyo. Akizungumza leo jioni, Machupa, ambaye kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
When Officials Attack!!! Sometimes an official, through no fault of his own, will get caught up in the middle of a play and inadvertently make contact with a player. Sometimes an official...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama ilivyokuwa ikitarajiwa Paul Ince amepigwa chini kwenye kibarua chake huko Ewood Park, hiyo ni breaking news iliyopo live sasa hivi kwenye Sky sports ninapoandika hapa. Wengi hapa tulikuwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Baada ya kufanikiwa kufuzu mashindano ya CHAN ,Tanzania imepanda juu kwa nafasi sita juu zaidi Kutoka nafasi ya 105 hadi ya 99 Keep it up MAXIMO hadi tuingie kwenye top 50
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Lilikuwapo kundi kubwa la watu waliombeza sana Kocha mbrazil Marcio Maximo,hasa baada ya kushindwa michezo ya Chalenji na matokeo ya kutoridhisha katika baadhi ya mechi.Kocha alipata lawama kubwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
TIMU ya soka ya Prisons ya Mbeya jioni hii imeanza vibaya michuano ya kombe la Tusker baada ya kufungwa mabao 2-0 na Tusker ya Kenya katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baadhi ya wachezaji wa Taifa Stars pamoja na mbunge wa Singida, Mohamed Dewji (mwenye miwani) wakisakata dansi mitaani wakati wa mapokezi Jumatatu baada ya kuishinda Sudan jumla ya magoli 5-2 na...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wadau leo hii TFF imefanya uchaguzi, wa viongozi wapya watakaoliongoza soka la Tanzania kwa miaka minne Ijayo. Matokeo ya wajumbe waliochaguliwa ni kama yafuatavyo WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
TIMU ya soka ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ inatarajiwa kuwasili Dar es Salaam, kesho saa 3:00 asubuhi kwa saa za Afrika Mashariki na kutazamiwa kulakiwa na maelfu ya wakazi wa jiji hilo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
...vipi matokeo ya uchaguzi wa TFF leo, nobody's interested? nani RAIS mpya huko? nilidhani JF inaongoza wengine wanafuatia, hii nimeipata kwa hisani ya blog ya issamichuzi... WAJUMBE 12 WA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu Timu yetu ya Taifa,Taifa stars leo inapambana na Sudan ambapo mshindi atapata tiketi ya kushiriki mashindano ya CHAN..Naomba wana JF watakaokuwa wakipata matokeo wakati mechi ikiendelea wawe...
0 Reactions
175 Replies
21K Views
Wakuu Samahanini nilipotea kwa muda kwenye kutafuta katika hali yetu ya kawaida. Nimerudi na naomba mniruhusu kuendelea kuchangia, yangu leo machache. Hivi ni kweli huyu ajulikanaye kama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu Samahanini nilipotea kwa muda kwenye kutafuta katika hali yetu ya kawaida. Nimerudi na naomba mniruhusu kuendelea kuchangia, yangu leo machache. Hivi ni kweli huyu ajulikanaye kama...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ronaldo almost joined Arsenal Cristiano Ronaldo has revealed that he was ''within an inch'' of joining Arsenal before he accepted an offer three times greater to sign for Manchester United in...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa wapenzi wa ngumi, najua dec 6 mlikuwa mkiisubiri kwa hamu na ndiyo hiyo inajongea, wengi tunatarajia kwamba hili ndilo litakalokuwa pambano bora la boxing kwa mwaka huu. Oscar De la Hoya...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
France Football has handed its prestigious Ballon d'Or award to Cristiano Ronaldo, a decision that will surprise no-one given his outstanding performances over the past 12 months. The...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanajamii wenzangu, ingawa hili linaonekana si la maana sana ila napenda kushare nanyi: Kwa wale wanaoangalia series ya PRISON BREAK ETC Nimeona sehemu nyingi kwenye bars, wanaouza movie wana...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nimeziangalia filamu hizi mbili na kuzilinganisha na nimefurahishwa zaidi ya Body of Lies kuliko Quantum of Solace. Kilichonivutia ni kuona kuwa matukio ya kwenye Body of Lies yanaendana zaidi ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom