Naona leo siku si nzuri kwa Liverpool so far mechi ni 4-1(Spurs wanaongoza) na hili deni lao.
Premier League takeover broker Keith Harris believes Liverpool could go into financial meltdown in...
Tanzania imepanda katika viwango vya soka vya Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA) kwa mwezi wa Oktoba. Kwa mujibu wa tovuti ya Fifa Tanzania imepanda hadi nafasi ya 110 kutoka nafasi ya 117 mwezi...
F1
Kalenda ya 2008.
01. 2008 FORMULA 1 ING AUSTRALIAN GRAND PRIX (Melbourne) 14 - 16 Mar
02. 2008 FORMULA 1 PETRONAS MALAYSIAN GRAND PRIX (Kuala Lumpur) 21 - 23 Mar
03. 2008...
Wamarekani Kuibeba Soka Ya Tanzania
Na Jessca Nangawe
MAKAMU wa Rais wa Chama cha Soka Marekani cha The New England Revolution, Craig Tornberg amewasili nchini kwa lengo la kutengeneza...
09/11 00:00 Torino vs Palermo
09/11 02:30 Bolognavs Roma
09/11 21:00 Catania vs Cagliari
09/11 21:00 Chievo vs Juventus
09/11 21:00 Fiorentina vs Atalanta
09/11 21:00 Genoavs Reggina
09/11...
Date::11/2/2008
Tanzania yatoa chipukizi kucheza soka ya kulipwa Ulaya
Na Mwandishi Wetu
Mwananchi
HATIMAYE Tanzania imetoa nyota watatu wa mpango wa Vodacom Global Soccer Star (VGSS)...
Nimeshitushwa na makala mbalimbali kwenye magazeti ya wiki kuhusiana na makato ya mechi mbali mbali kwenye ligi ya vodacom. Mfano katika mechi ya Simba na Yanga, TFF wamechukua Shs 43m ili kufidia...
Gwiji la Soka Duniani, Diego Armando Maradona anatarajiwa kushika Mikoba ya kukinoa kikinoa kikosi cha timu ya Taifa ya Argentina kuelekea Kombe la Dunia 2010 nchini Afrika ya Kusini.
You can...
Ndugu wa pale Tandale kwa Mtogore, manzese kwa mfuga mbwa na kwingineko ambako huduma ya luninga inapatikana kwa jumuiya na pengne mnajiuliza kombe la dunia kule bondeni itauwaje....msihofu, FIFA...
TFF wametoa taarifa ya mapato yaliyopatikana katika mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga kuwa ni TZS 239 millioni na jumla ya watu 52,890walishuhudia mpambano huo wa kukata na shoka. Idadi hii...
Simba: Hatuchezi tena na Yanga
Na Suleiman Mbuguni
UONGOZI wa klabu ya Simba umetishia kutocheza mechi na watani wao wa jadi, Yanga, endapo mechi zao zitaendelea kuchezeshwa na waamuzi wa...
Mapato siri Yanga, Simba, TFF
Mahudhurio Yanga, Simba yaficha vurugu
Mwandishi Wetu
WAKATI Shirikisho la Soka Tanzania, TFF likisubiriwa leo kutoa taarifa ya mapato ya mechi ya...
The San Francisco 49ers have already made a coaching change this season. Now they apparently have their eyes on an even more high-profile front office move.
The 49ers have expressed interest in...
Manchester City are on top of premier League with Arsenal after 3-1 win against New Castle United. The Table might change this afternoon when Arsenal take West Ham away from home.
Taarifa zinazojiri hivi sasa ni kuwa ule mpambano wa Simba na Yanga leo upo hatarini kuakhirishwa baada ya kutokea utata kwenye tiketi za mchezo huo. Utata huo umesababishwa na viongozi wa Yanga...
Simba yamong'onyolewa Mwanza
@Yashindiliwa 4-1 na Toto Africans
Na Mwandishi Wetu
TIMU ya Simba jana iliwalaza mapema mamia ya mashabiki wake baada ya kukubali kipigo kitakatifu...
Nigeria U-17 World Cup in doubt
BBC Sports
Umaru Yar'Adua said his government had other funding priorities
Nigeria may be forced to quit as hosts of the 2009 Under-17 World Cup, after...
Ushabiki wa Simba, Yanga waua mmoja
2008-10-22 10:07:46
By Happy Severine, PST, Mtwara
Shabiki wa timu ya Yanga, ambaye ni mkazi wa Magomeni mjini hapa aliyetambulika kwa jina moja la Ndava...
Egypt handed favourable 2010 draw
African champions Egypt will be satisfied with their draw
The draw for the final round of qualifying for the 2010 World Cup and Africa Cup of Nations...
Kuna habari zisizothibitishwa kuwa timu ya Simba wanafikiria kutumia kocha mzalendo kati Abdallah "King" Kibadeni au Syllersaid Mziray " Super Coach". Hali hiyo inafatia matokeo yasiyoridhisha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.