Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Naona leo siku si nzuri kwa Liverpool so far mechi ni 4-1(Spurs wanaongoza) na hili deni lao. Premier League takeover broker Keith Harris believes Liverpool could go into financial meltdown in...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Tanzania imepanda katika viwango vya soka vya Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA) kwa mwezi wa Oktoba. Kwa mujibu wa tovuti ya Fifa Tanzania imepanda hadi nafasi ya 110 kutoka nafasi ya 117 mwezi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
  • Closed
F1 Kalenda ya 2008. 01. 2008 FORMULA 1 ING AUSTRALIAN GRAND PRIX (Melbourne) 14 - 16 Mar 02. 2008 FORMULA 1 PETRONAS MALAYSIAN GRAND PRIX (Kuala Lumpur) 21 - 23 Mar 03. 2008...
0 Reactions
73 Replies
13K Views
Wamarekani Kuibeba Soka Ya Tanzania Na Jessca Nangawe MAKAMU wa Rais wa Chama cha Soka Marekani cha The New England Revolution, Craig Tornberg amewasili nchini kwa lengo la kutengeneza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
09/11 00:00 Torino vs Palermo 09/11 02:30 Bolognavs Roma 09/11 21:00 Catania vs Cagliari 09/11 21:00 Chievo vs Juventus 09/11 21:00 Fiorentina vs Atalanta 09/11 21:00 Genoavs Reggina 09/11...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Date::11/2/2008 Tanzania yatoa chipukizi kucheza soka ya kulipwa Ulaya Na Mwandishi Wetu Mwananchi HATIMAYE Tanzania imetoa nyota watatu wa mpango wa Vodacom Global Soccer Star (VGSS)...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nimeshitushwa na makala mbalimbali kwenye magazeti ya wiki kuhusiana na makato ya mechi mbali mbali kwenye ligi ya vodacom. Mfano katika mechi ya Simba na Yanga, TFF wamechukua Shs 43m ili kufidia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Gwiji la Soka Duniani, Diego Armando Maradona anatarajiwa kushika Mikoba ya kukinoa kikinoa kikosi cha timu ya Taifa ya Argentina kuelekea Kombe la Dunia 2010 nchini Afrika ya Kusini. You can...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu wa pale Tandale kwa Mtogore, manzese kwa mfuga mbwa na kwingineko ambako huduma ya luninga inapatikana kwa jumuiya na pengne mnajiuliza kombe la dunia kule bondeni itauwaje....msihofu, FIFA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
TFF wametoa taarifa ya mapato yaliyopatikana katika mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga kuwa ni TZS 239 millioni na jumla ya watu 52,890walishuhudia mpambano huo wa kukata na shoka. Idadi hii...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Simba: Hatuchezi tena na Yanga Na Suleiman Mbuguni UONGOZI wa klabu ya Simba umetishia kutocheza mechi na watani wao wa jadi, Yanga, endapo mechi zao zitaendelea kuchezeshwa na waamuzi wa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mapato siri Yanga, Simba, TFF Mahudhurio Yanga, Simba yaficha vurugu Mwandishi Wetu WAKATI Shirikisho la Soka Tanzania, TFF likisubiriwa leo kutoa taarifa ya mapato ya mechi ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
The San Francisco 49ers have already made a coaching change this season. Now they apparently have their eyes on an even more high-profile front office move. The 49ers have expressed interest in...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Manchester City are on top of premier League with Arsenal after 3-1 win against New Castle United. The Table might change this afternoon when Arsenal take West Ham away from home.
0 Reactions
247 Replies
21K Views
  • Closed
Taarifa zinazojiri hivi sasa ni kuwa ule mpambano wa Simba na Yanga leo upo hatarini kuakhirishwa baada ya kutokea utata kwenye tiketi za mchezo huo. Utata huo umesababishwa na viongozi wa Yanga...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Simba yamong'onyolewa Mwanza @Yashindiliwa 4-1 na Toto Africans Na Mwandishi Wetu TIMU ya Simba jana iliwalaza mapema mamia ya mashabiki wake baada ya kukubali kipigo kitakatifu...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Nigeria U-17 World Cup in doubt BBC Sports Umaru Yar'Adua said his government had other funding priorities Nigeria may be forced to quit as hosts of the 2009 Under-17 World Cup, after...
0 Reactions
0 Replies
900 Views
Ushabiki wa Simba, Yanga waua mmoja 2008-10-22 10:07:46 By Happy Severine, PST, Mtwara Shabiki wa timu ya Yanga, ambaye ni mkazi wa Magomeni mjini hapa aliyetambulika kwa jina moja la Ndava...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Egypt handed favourable 2010 draw African champions Egypt will be satisfied with their draw The draw for the final round of qualifying for the 2010 World Cup and Africa Cup of Nations...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna habari zisizothibitishwa kuwa timu ya Simba wanafikiria kutumia kocha mzalendo kati Abdallah "King" Kibadeni au Syllersaid Mziray " Super Coach". Hali hiyo inafatia matokeo yasiyoridhisha ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom