Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kwa mwenendo wa Ligi ambayo bado mbichi, endapo coastal union wakiongeza juhudi hakika wanaweza kushika nafasi ya tatu.KMC nao sio wabaya, Nafasi ya nne pia iko wazi kwao.Wapambane
6 Reactions
16 Replies
707 Views
Ukiangalia mwanzoni mwa msimu na sasa utaona jinsi gani timu ndogo ndogo zimeachana na mpira wa kinyonge yaani sasa hivi ukizubaa unaangusha point na kila mechi ni kama vile fainali. Mnaotaka...
5 Reactions
24 Replies
1K Views
Mimi naomba nitofautiane kidogo na wadau wengi wa jukwaa hili hasa hasa wana YANGA wenzangu na mashabiki wa simba SC wanaodai Fredy Koublan ni garasa. Huyu mchezaji namfananisha na the great...
3 Reactions
8 Replies
652 Views
DONE DEAL ✅ Tumefikia makubaliano na klabu ya Stade Malien (Mali) ya kumsajili kiungo mshambuliaji wao, Franck Tiesse. Nyota huyo Muivory Coast, amekubali kusaini mkataba wa miaka miwili...
2 Reactions
8 Replies
725 Views
List ni ndefu ila wa kwanza ni Ngoma, huyu mchezaji hawezi ifikisha Simba popote
3 Reactions
34 Replies
1K Views
Match day 24. Kuna timu zina mechi 23 na mechi 22 katika game 30 za ligi kuu ili kukamilisha msimu wa mwaka 2023-2024 Vinara wa magoli. 1. Ki Azizi - 15 2. Fei Toto - 14 3. Shentembo - 11
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Bodies of jamii forum I salute you..! Hii team inayoitwa simba kwa kweli inasikitisha.! Wana matatizo mengi sana lakini kwa uchache tunayajua na wao hawataki kuyakabili ili wasonge mbele...
1 Reactions
3 Replies
492 Views
Wadau nawasalimu.Najua kulikubali hili mpaka uwe na akili kubwa. Mwekezaji Mo Ana asilimia 49 ya Hisa na Wanachama wana asilimia 51 Swali la Msingi 1.Je thamani ya Asilimia 49 za Mo zina Thamani...
5 Reactions
13 Replies
943 Views
Mkuu wa mkoa wa Daressalam Mh Paul Makonda ameteuliwa kuwa mshauri mkuu bodi ya timu ya Simba
4 Reactions
80 Replies
10K Views
OM 🇩🇿 Club de Agosti 🇦🇴 Ayema Sports Academy 🇧🇯 Eding Sport de La Lekie 🇨🇲 DC White Heart 🇨🇩 Saint Lupopo 🇨🇩 TP mazembe 🇨🇩 Eastern Company Sc 🇪🇬 Haras The Hodod 🇪🇬 Misri Makassa 🇪🇬 Zamalek SC 🇪🇬...
1 Reactions
4 Replies
939 Views
Wakuu kwema? Ukitizima kwa jicho la kiufundi hii timu yetu ya Simba ni timu dhaifu, kweli tutasema tumefuzu hatua ya makundi Klabu Bingwa Africa lakini tumekutana na timu gani? Huwezi kujisifu...
17 Reactions
72 Replies
4K Views
Huu apa Uzi wa Manchester united msimu wa 2024-25 ugenini. Unaupa asilimia ngapi za ubora wa designs na muoneiano?
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Hili limzee bwana Sote tunatambua kuwa urais wa CAF kuupata sio rahisi rahisi lazima uwe na pesa plus ushawishi mkubwa .. Kwanza waarabu ndiyo wanakupitisha, Yaani wakisema huyu hatumtaki basi...
6 Reactions
30 Replies
1K Views
Kama utakumbuka, miaka ya 2018 kurudi nyuma, refa alizingatiwa kama mchezaji wa ziada na ilipotokea akahusika kwa namna moja au nyingine, matokeo yoyote yalikuwa yanahesabika bila tatizo lolote...
2 Reactions
4 Replies
451 Views
Match Day! Simba SC Vs Namungo FC ⌚ 04:00pm 🏟️ Uhuru Stadium. Namungo anakutana na mnyama aliyejeruhiwa. Kikosi cha Simba kinachoanza dhidi ya Namungo Kikosi cha Namungo Kinachoanza All...
16 Reactions
891 Replies
49K Views
Nilitarajia tangu awali kusikia hatua za kufungiwa kwa Yanga zikienda pamoja na TFF kutamka kuipoka Yanga pointi katika michezo yote waliyomchezesha Pacomme kinyume na kanuni. Hata hivyo...
3 Reactions
64 Replies
4K Views
Ramani hii inaonesha jinsi Mchezaji wa Real Madrid alivyofunga goli la ushindi katika Fainali ya Copa del Rey 2014 dhidi ya Barcelona, mechi hiyo inayofahamika kwa jina la El Clásico ilimalizika...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Ni Yanga au Simba?
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru amesema kwa sasa timu yao ina hali mbaya hivyo anawaomba Watanzania waongeze maombi ili waweze kubaki Ligi Kuu Bara msimu ujao. Msikilize hapa...
1 Reactions
8 Replies
554 Views
Back
Top Bottom