Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Yaaaan alieeenda kuangalia Simba ana moyoo jamani 😂....... Napendaaa nimpongeze Sanaa sanaaa na pia kumpaaa uthibitishooo mbinguni inamhusuuu piga ua Wish u all doest watani wanguu msiniangushe...
2 Reactions
5 Replies
502 Views
Try Again na Kamati ya Usajili ya Simba Hawapaswi Kuhusika kwa chochote Kwenye Mipango ya Timu kwa Msimu Ujao Huyu try Again hakuna anachojua kwenye mpira, ni kiongozi aliyehusika kuleta...
0 Reactions
14 Replies
673 Views
Yanga SC (Mashabiki) wanasema kuwa Kocha Juma Mgunda hana hata Wiki Simba SC tayari Nazi zimepanda Bei nchini! ==== Pia soma: Juma Mgunda ameridhika kuwasaidia kufundisha Simba SC na kusahau...
5 Reactions
6 Replies
2K Views
Kutoka insta live ya ally Kamwe , Leo engineer HERSI ametupa wananchi breaking news ya moto 😅😅 Engineer HERSI amesema kuwa katika msimu huu wa usajili dirisha kubwa , Kuna mchezaji mmoja uyo...
3 Reactions
42 Replies
4K Views
Licha ya kuwa na timu nzuri,mipango mingi ya kimafia nje ya uwanja,na ushindi dhidi ya Simba,bado kumekuwa na kubebwa sana kwa hii timu ya serikali. Ni kawaida wachezaji wa hii timu huwa na...
3 Reactions
33 Replies
2K Views
Mimi ni shabiki wa Simba na ninawapenda wachezaji wanaojituma na kuipambania klabu. Hata hivyo ninasikitishwa na upuuzi ninaouona mitandaoni eti sisi wana Simba tunaombwa tusimng'ang'anie Kibu...
2 Reactions
7 Replies
519 Views
Za chini chini naskia Kila mchezaji huko ukoloni (Simba) anataka kuforce kusajiliwa na Yanga .....alianza Chama Baada ya kuzinguliwa kamaind na kubeba begi Hadi kwao Kibu pia kwa lolote lile...
4 Reactions
18 Replies
871 Views
Alikuwa anaongoza vizuri tu tena kwa tofauti ya point nyingi ila now wameànza kumfanyia mtimanyongo. Jana marefa wa mchongo wamefanya ukhanithi wao mwisho wa siku Nabi kupoteza mechi muhimu...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
Football ya Tz ina mambo mengi sana nje na ndani ya uwanja, kwa sasa yanga wana watu bora sana nje ya uwanja na ndani ya uwanja, wana pesa na nguvu pia katika serikali. Ikitokea mchezaji mzuri...
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Mmeachana na Benchika nimefurahi sana, ana cv kubwa lakn uwezo wa kawaida tu, hana mbinu wala ufundi zaidi ya dharau, kebehi na kiburi. Wengi hamjui lkn Benchika ana shida, kiuongozi hayawezi...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Wakuu, Kwa ufupi ili kuinusuru hii timu ni muhimu haraka sana iundwe kamati ya mpito kusimamia timu kumaliza ligi kwa heshima. Kamati ndogo itayofanya kazi na muwekezaji kwa karibu pamoja na...
2 Reactions
6 Replies
476 Views
Sijui mtafanya nn mwaka huu Simba day ili mjaze uwanja, watu wamekata kabisa tamaa na timu, jana nilikuwepo uwanja wa Majaliwa Stadium tukidhalilika kwa Namungo dakika ya 89, kwanza washabiki...
1 Reactions
10 Replies
663 Views
Mpango wa Yanga ni kuwakutanisha wote wawili Chama na Dude msimu ujao. Je,watafanikiwa kuwachezesha wote ndani ya Club moja?
3 Reactions
4 Replies
412 Views
Binafsi ushawah kumtabiria makubwa mchezaj halafu ghafla ukashangaa anapotea kwenye raman ya soka ama kwa kushuka kiwango, majeraha ,au kuhama timu moja kwenda nyingine? Kwa mtazamo wangu...
12 Reactions
66 Replies
3K Views
Jana tumeona mechi ya Yanga na JKT ikiahirishwa maana uwanja ulikuwa haitamaniki maji, kila sehemu na utelezi wa kutosha (bila shaka JKT walitaka wachezaji wa Yanga waumie). Leo mvua ni kubwa...
3 Reactions
9 Replies
550 Views
VIONGOZI wengi Simba ni mam!uki watuachie timu yetu. Kuanzia Try again, Mangungu, Kajula, nap wote wamekuwa kuiangamiza Simba. Jamani tuwe makini na Hilo. Tusipostuka haraka tutaangamia
2 Reactions
5 Replies
264 Views
Kwa taarifa ambazo nimepenyezewa nikuwa Simba imejipanga kufanya kufuru kwa KUIBOMOA YANGA huku ikipanga Kuondoka na wachezaji wanne kutoka Yanga na wachezaji wawili kutoka Azam. Simba inajiandaa...
7 Reactions
42 Replies
3K Views
nimesikitika kuona Yanga sc kufungiwa kusajili kwa sababu ya kutomlipa pesa aliyekua mchezaji wa Yanga sc LAZARO kAMBOLE , kwa maelezo niliyoyapata ni kuwa FIFA waliiandikia barua YANGA mapema tu...
4 Reactions
74 Replies
2K Views
Mabingwa wa nchi Young Africans leo wanashuka dimbani kumenyana na Tabora United katika hatua ya robo fainali ya michuano ya CRDB Bank Federation cup. Mchezo huu utapigwa katika dimba la chamazi...
18 Reactions
323 Replies
17K Views
Wale wote tuliokuwa tukimdhihaki Gudejr na kumuita BONDIA, mkiongozwa na mimi mwenyewe hapahapa jukwaani na kumuona Clement mzinze ni bora kuliko Guede Nalia Ngwena, sasa ni muda wetu wa kuja...
5 Reactions
11 Replies
924 Views
Back
Top Bottom