Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Majira ya saa 9 alasiri leo kunafanyika draw ya makundi kwa timu zilizofuzu kuingia makundi. Simba na Yanga ni timu pekee kutoka Tanzania zilizofuzu kwenye hatua hiyo ya Makundi. Kaa hapa kupata...
41 Reactions
498 Replies
44K Views
Nimeweka uzi huu kuwakumbusha wana Yanga kuwa ule muda wa kucheka umekwisha marabaada ya kupata ushindi kwa mara ya kwanza ktk hatua ya makundi ya klabu bingwa barani Africa ndani ya miaka 88 toka...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Hili tangazo linalorushwa na Azam tv hakika limejaa uzalendo na linasukuma utaifa zaidi. Ukilisikiliza unapata msisimko wa uzalendo kabisa. Timu zetu zipambane zisituangushe, tusonge hatua za...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Raundi ya tatu Yanga akichukua point moja kwa Medeama halafu Belouzdad akifa kwa Ahly ugenini kundi litakuwa hivi... MSIMAMO 1. Al Ahly points (7) 2. Medeama points (4) 3. CR Belouzdad points (3)...
7 Reactions
34 Replies
4K Views
Kumekuwa na mwamko mkubwa wa wapenzi na mashabiki wa Mamelodi Sundowns kujiandaa kuhudhuria mechi dhidi ya Deportivo de Utopolo itakayofanyika tarehe 30/03/2014. Sasa tumekubaliana kila goli letu...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Kwa Sisi malegendary wa uchambuzi hapa jf Baada ya mchezo wa Jana tumejua tu kuwa Ile ilikuwa na planned Yanga kupoteza Ili kuficha mbinu Kwa mamelodi Mamelodi walituma watu wao Ili kusoma mbinu...
9 Reactions
93 Replies
3K Views
Simba na Yanga zimeanzishwa miaka ya 1930's, lakini hazijawahi kushinda mataji makubwa ya Afrika kwenye mpira. Baadhi ya sababu za kushindwa kushinda mataji ni pamoja na kuhujumiana zenyewe kwa...
1 Reactions
0 Replies
342 Views
Unampa asilimia ngapi Mayele kwa hili jibu murua na la kutukuka kutoka kwa mwamba Fiston Kalala Mayele kwa huyu shabiki mwenye kiherehere?
12 Reactions
17 Replies
2K Views
Ni ada ya mwaka Ila hawajalipa, hivi [emoji196][emoji196] mnadaiwa Tsh ngapi tuchange.
0 Reactions
27 Replies
1K Views
Leo Jumapili October 8, tumemuona KELVIN KIPTUM akivunja record ya dunia ya Marathon hapo Chicago nchini Marekani kwa muda wa saa 2 na sekunde 35, akiizidi record ya KIPCHOGE aliyoweka Berlin...
4 Reactions
40 Replies
4K Views
The Super Eagles of Nigeria are set to take on the Black Stars of Ghana in a 'Jollof Derby' in their upcoming friendly game during the international break. The match will take place at the Stade...
0 Reactions
0 Replies
297 Views
Kobbie Mainoo has chosen to represent England over Ghana. But he's not the only Ghanaian to opt for the Three Lions. See also Biography of Andy Penn: Early life, education, career and family
0 Reactions
1 Replies
336 Views
Nimeshtushwa na taarifa za Al hilal ya ibenge kiruhusiwa kucheza NBC premier ligi .,. kiukweli ni habari njema sana Kwa kukua Kwa ligi yetu .... But Leo nmejifikiria sana kama mchambuzi mahiri wa...
7 Reactions
55 Replies
2K Views
Waziri mwenye dhamana ya michezo wa Tanzania, Ndumbaru, siku ya leo amesikika akipiga marufuku watanzania wenye ushabiki (watakao vaa jezi) wa vilabu vya nje vinavyokuja kushindana na timu za...
1 Reactions
6 Replies
684 Views
๐—ฅ๐—ต๐˜‚๐—น๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐— ๐—ผ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐—ฎ - Williams, Mokoena, Zwane didn't travel with Bafana, we want them ready for CAF champions League [emoji1221] - "They were rested because they have niggling injuries to be honest...
2 Reactions
17 Replies
974 Views
Ushindi wa Simba sc dhidi Jwaneng galaxy kwa magoli 6 kwa Nunge isiwe kichaka Cha kuwaficha wachezaji wenye viwango vibovu. Natoa big Yes kwa kipa AYUBU, INONGA & CHE FONDO. Big Yes kwa mabeki wa...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Augustine Azuka 'Jay Jay' Okocha, Mchawi na Hizi yake kutoka Enugu Usiku mmoja kule Kusini Mashariki mwa nchi ya Nigeria, Jimboni Enugu ile Agosti 14, 1973 alizaliwa Mchawi mmoja wa soka...
10 Reactions
39 Replies
2K Views
Kumekua na baadhi ya wachambuzi, na watangazaji wa mpira na baadhi ya wanaharakati ambao hawana kazi kuponda mishahara ambayo wachezaji wanalipwa na team zao, kwa madai ya kuwanyanyasa. nikawa...
2 Reactions
6 Replies
524 Views
MAMELODI "TULIITAKA SIMBA SIO YANGA" Mashabiki wa Mamelodi huko SOUTH AFRICA wamesema waliomba sana wakutane na SIMBA sio YANGA Baadhi ya mashabiki wamesema hawana furaha kupangiwa Yanga...
10 Reactions
64 Replies
3K Views
Kuanzia leo tarehe 11 hadi tarehe ya mwisho ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani (Ramadan) tutakuwa tunashinda kwa Taabu au kutoka sana Sare/Suluhu na hata Kufungwa pia kwani Majini kamwe hayatakubali...
10 Reactions
54 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ