Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kuna mashbiki maandazi wa simba waliiponda sana yanga na kulikuwapo nyuzi nyingi sana za kuiponda yanga kwamba haifiki popotee na haina uwezo wakuifunga CR kwa kweli kuna muda Kama shabiki wa...
10 Reactions
25 Replies
1K Views
Imemchukua miaka 5 yanga kufika hapa ilipo, and it will take next five years kumtoa Yanga hapa alipo. That is simple mathematics. Kitengo cha Monitoring and Evaluation cha Yanga kipo vema sana na...
22 Reactions
26 Replies
1K Views
Tangu nianze kutazama mechi za yanga, pale golini akikaa Metacha mnata tegemea magoli ya hovyo hovyo, kadi nyekundu au kujifanya anabanwa misuli sijui walimtoa wapi mtu huyu. Huyu dogo...
2 Reactions
7 Replies
445 Views
Hii ni kutoka kwenye official page ya CAF wameeleza Yanga imeshaingi robo fainali regardless na matokeo ya mechi ya Mwisho. Picha inajieleza.
17 Reactions
62 Replies
4K Views
Maana kila siku malalamiko kuwa Gamondi hana uwezo, timu imeshuka kiwango, lkn jana timu ilionekana kuwa na nguvu ya ugolo. Ss hv kocha hasemwi wala hatukanwi, majigambo kwa kwenda mbele. Naomba...
0 Reactions
10 Replies
345 Views
Asante Yanga Sc kwa kuliheshimisha taifa baada ya kutembeza kichapo Cha goli nne kwa nunge hakika taifa limeheshika baada ya Taifa kufedheheshwa na kikosi Cha wazee kilichocheza Kama kina msiba...
7 Reactions
5 Replies
623 Views
Kwa kitendo cha Yanga kupata ushindi wa magoli 5 kwenye mechi 7 ndani ya msimu mmoja (huku mashindano mbalimbali yakiwa bado yanaendelea) na kuwabamiza vibaya CR Belouizdad (mabingwa mara nne...
3 Reactions
6 Replies
414 Views
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifatilia mienendo ya hawa waliopewa dhamana ya kusimamia mpira wa bongo. Ukitazama kwa jicho la tatu utaona kwamba wapo biased sana. Kwenye ratiba za CAF za mwaka huu...
0 Reactions
20 Replies
1K Views
Kwa hii game Young anaenda kushinda kwa asilimia 100% na belouizdada anajua anakuja kufungwa lkn anakuja kupunguza idadi ya magoli. Kwasababu anajua pia ili kusonga mbele atua ya robo fainali...
9 Reactions
18 Replies
1K Views
Uongozi wa Simba ni wa hovyo maana umejaza usajili wa 10% tofauti na huu mwamb Eng. Hersi ambaye akiona Mchezaji mzuri anampandia ndege pasipo hayo ma 10%. Babra alikuwa anawamotivate wachezaji...
1 Reactions
3 Replies
433 Views
Yanga wamefanikiwa kuweka historia mpya katika klabu yao kwa kutinga robo fainali ya klabu bingwa ya afrika, lakini kiuhalisia kiufundi kiwango bado kipo chini kidogo ikiwa wanataka kusonga mbele...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Nasikia umezimia, pole sana, watu walikuwa wanatafuta ushindi ndugu yangu na ww ndio ulikuwa mwenye nyota ya ushindi.
1 Reactions
18 Replies
992 Views
Siku zikiwa zimetaradadi kuelekea mechi ya Yanga na CR ambayo sisi kama wana Yanga tumeamua kuuita PACOME DAY" Kitaalamu zaidi", ewe mwananchi tupia picha za maandalizi ya siku hii muhimu ikiwa...
10 Reactions
31 Replies
2K Views
Imagine wewe ndio mmiliki wa Azam TV halafu unasikia TBC wanaonesha bure michuano mikubwa ya CAF CHAMPIONS LEAGUE tena kupitia kisumbusi chako hicho hicho ambacho wewe una wataka watu walipie elfu...
7 Reactions
48 Replies
4K Views
Baada ya kuwa majeruhi karudi tena uwanjani, nimeiona kasi yake, Okra anakasi sana pia ni mpiga krosi mzuri hajui kuremba, combination ya Okrah na guede imetiki. Maana Guede ni mzuri kwenye...
4 Reactions
34 Replies
2K Views
Kuna timu inajikongoja kila mashindano. Leo.imefunzwa namna ya kifuzu kibabe, kufuzu kibabe ni kufuzu ukiwa umebakiza mechi moja mkononi. Hii rekodi inashikiriwa na wanajangwani pekee. Vunjeni...
1 Reactions
4 Replies
364 Views
Nahisi Leo mmeona mmefungwa mbele ya Mashabaiki wenu Lukuki na hii ni Muendelezo wa kuonyesha wapi mnakwama. Sold Out bila Usajili mzuri mtaendelea kuchezea tu. Mlipigwa na Raja kwenye Full House...
9 Reactions
14 Replies
963 Views
Hawa jamaa ni akili mgando kabisa. Kama sikoseI, wao kwenye kundi lao walipoteza mechi mbili za ugenini na bado wakafika robo, halafu wanaibeza Yanga ambayo mpaka sasa imepoteza mechi moja tu ya...
7 Reactions
55 Replies
2K Views
[emoji599].....||[emoji408]| 𝖵𝖨𝖫𝖠𝖡𝖴 𝖵𝖨𝖭𝖠𝖵𝖸𝖮𝖶𝖤𝖹𝖠 𝖪𝖴𝖢𝖧𝖴𝖪𝖴𝖠 𝖴𝖡𝖨𝖭𝖦𝖶𝖠 𝖢𝖠𝖥 𝖢𝗁𝖺𝗆𝗉𝗂𝗈𝗇𝗌 𝗅𝖾𝖺𝗀𝗎𝖾 2023/2024.. - Taasisi mbali mbali zinazojihusisha na TAKWIMU za Mpira barani Afrika, zimetoa Orodha ya timu...
4 Reactions
60 Replies
4K Views
Wawakilishi wa Tanzania, Simba watakuwa dimbani wakisaka ushindi Ijumaa, Saa 4:00 usiku, Mnyama Simba SC atakuwa ugenini kuwavaa Asec Mimosas Dondosha maoni na utabiri wako kuhusu mchezo huu...
16 Reactions
653 Replies
30K Views
Back
Top Bottom