Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Japokuwa wote ni wachezaji wa Yanga na wote wanafanya kazi nzuri katika klabu yao ila wewe kama shabiki wa Yanga unaona nani asipokuwa uwanjani timu ina struggle sana kupata matokeo. Karibuni kwa...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Naam, hakuchi, hakuchi kumekucha.. Siku nyingine tena tumeamka tukiwa na furaha, baada ya mbugi kali baina yetu sisi mabingwa wa kutandaza soka la kisasa na la viwango hapa TZ na waarabu wa...
9 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari za kikachero zinaeleza kuwa waarabu waliambiwa wawe makini na pacome mwenye bleach ila chajabu wakakutana na wachezaji wengi wenye bleach, Yao yao, Aziz ki, Diara na Guede aliyeweka ndevu...
11 Reactions
29 Replies
2K Views
Kule pyramids Kuna fedha lakini hakuna furaha kwa Mayelle. Money over happiness¡
6 Reactions
29 Replies
2K Views
Huu unaweza kuwa uzi wangu wa mwisho kwa mwaka 2023 na nataka nimalize mwaka kwa ujumbe chanya. Wenye akili zao watausoma na yale watakayoona ni mazuri wataenda kuyafanyia kazi. Yanga na Simba...
3 Reactions
47 Replies
4K Views
Tukawasapoti Simba waingie robo fainali, itasaidia kujenga uchumi wa nchi na maendeleo ya soka nchini. Mkumbuke yanga ina historia ya kuisaidia Simba, maana kuna mwaka tulikubali kufungwa ili...
4 Reactions
14 Replies
592 Views
short story : kocha alimpiga Na chupa ya maji mchezaji. for more details here
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Viongozi wangu wa Simba, Naomba mnisikilize kwa umakini na muuzingatie ushauri wangu. 1. Mbinu zenu zote mlizokuwa mnazitumia kwa Mkapa kwa sasa zimeibwa na wenzenu waliofuzu jana, Zungu Pori...
13 Reactions
77 Replies
3K Views
Natumaini mpo salama wana JF, ukweli ni kwamba kama kichwa kinavyojieleza hapo juu. ROHO INAUMA SANA YANGA KUSHINDA BAO NNE. Sent from my SM-A146P using JamiiForums mobile app
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Leo Azam imecheza na Maafande wa Mbeya na wametoa draw. Chakushangaza sioni kwenye mitandao taarifa zao kutawala kumekuwa kimya, sana sana habari za Yanga tu ndiyo zimetawala. Draw ya pili kwa...
4 Reactions
10 Replies
898 Views
Katika watu ambao ata afanye mazuri gani bado atasakamwa ni Gamond. Mashabiki wa yanga wanakuambia Kwa Gamond hakuna kocha hapo, eti Gamond hana mbinu za kuivusha yanga. Lakini ukitazama statics...
3 Reactions
39 Replies
2K Views
Ni kwa sababu moja tu kuwa hata Jwangney galaxy akiifunga Simba haitakuwa na maana yoyote ile kwake. Mwenye nafasi ya kufuzu ni Simba au Wydad iwe kwa kushinda au kwa sare. Kwa maana hiyo basi...
6 Reactions
34 Replies
2K Views
EDIT: Asanteni kwa ufafanuzi, Nimepitwa na sheria za mpira, sikuhizi hawaangalii GD mkifanana point, wanaangalia nani kamfunga mwenzake nyingi 1. AL AHLY - point 9 (goli +4) 2. YANGA - point 8...
0 Reactions
50 Replies
4K Views
Kiukweli hawa watu wanatimu bwana, niseme wazi game ya mzunguko wa pili ya watani, sisi SIMBA yaani dakika 90 tutaziona kama mwaka, yaani hazitimii. Pamoja na kuchukizwa na matokeo ya leo, ila...
18 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakati Deportivo de Utopolo wakijiandaa kukipiga dhidi ya C.R Belouizdad, tujikumbushe kauli moja ya Super Coach, Abdelhak Benchikha alipokuwa anafundisha USM Algiers. Benchikha alitoa kauli...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Kwa Habari zilizotufikia muda huu ni kwamba Afisa habari wa Yanga Sc Ali kamwe amezimia kwa Mkapa mara baada tu ya Mchezo kumalizika huku Yanga Sc ikiibuka na ushindi wa Mabao 4-0 dhdi ya CR...
3 Reactions
38 Replies
3K Views
Fainali ya Carabao Cup inaendelea kwenye Uwanja wa Wembley Jijini London. Dakika 90 zimekamilika matokeo bado ni 0-0, zimeongezwa dakika 30. Michezo michezo 8 iliyopita baina ya timu hizi...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyu cancedo amecheza rafu ya ajabu harafu mwamuzi wa kati kaangalia tu!
3 Reactions
0 Replies
485 Views
Yanga kacheza na KMc Morogoro kapata ushindi karudi Dar kacheza na Polisi Tz kapata ushindi then leo kamnyuka Mwarabu goli 4. Tofauti na Simba, Yanga hawakwenda kulia pale Tff kuomba michezo yao...
11 Reactions
12 Replies
898 Views
Viongozi wa Simba hua hawawheshimu Mashabiki zao..Ndio maana kila wakiona Yanga wana trend wao wanawaza kuzima trend yao kwa kitu cha Mda mfupi. Si mnakumbuka Msimu uliopita aimba ilikosa FA...
9 Reactions
56 Replies
2K Views
Back
Top Bottom