Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ni maajabu, ama kweli ni maajabu ya 8 ya Dunia hii, na maajabu hayo si mengine bali ni maajabu yanayofanywa na timu ya wazee na vikongwe ya Simba Sports Club na uongozi wake. Wameleta ubahili wao...
3 Reactions
42 Replies
3K Views
Habari za wakati huu wakuu, Jana ilikuwa siku muhimu sana katika Historia ya Soka la Tanzania na Africa kwa ujumla baada ya Ufunguzi wa African Football League katika Uwanja wa Benjamin william...
13 Reactions
68 Replies
5K Views
Msimlaumu Robetinho, hakuna kocha asiyependa kumpanga mchezaji mzuri. kocha anapewa maelekezo anapangiwa kikosi kuna baadhi ya viongozi wana bifu na phiri. Phiri anakomolewa na Viongozi na ni...
2 Reactions
46 Replies
4K Views
Salaam wakuu. Mshikemshike wa ligi ya NBC PL kuendelea leo ambapo mnyama mkali na mafundi kandanda Simba sc a.k.a WANALUNYASI watakipiga dhidi ya timu ngumu ya IHEFU FC kutoka Mbeya. Simba...
9 Reactions
386 Replies
26K Views
Klabu ya Simba ambayo ni mwenyeji katika mchezo wake wa wikend hii dhidi ya Yanga imemtangaza Kibu Dennis kama mgeni rasmi wa mchezo huo. Hili ndio soka letu sasa kivyetuvyetu.
9 Reactions
35 Replies
5K Views
"Tunajua mnachukia ila nasi pia hatuna la kufanya kwani tumevumilia na sasa tumeamua kufikisha Malalamiko yetu kwa Vitendo" "Kocha wetu Mbrazili Roberto Oliveira ni Mbaguzi, ana Matusi halafu...
9 Reactions
25 Replies
3K Views
Chukulia vikosi vote katika ubora wake, Man Utd iliyoshinda Uefa Champions League 2008 Vs Man City iliyoshinda UCL 2023 nani angeibuka na ushindi?
0 Reactions
3 Replies
482 Views
Nianze kwa kuweka wazi kwamba mimi ni mpenzi wa Simba Sport Club. Lakini mwenenendo wa wachezaji wa Simba hasa wanapokutana na Yanga huwa unakera sana hasa pale unapoona wachezaji wa Simba...
3 Reactions
2 Replies
733 Views
Moja ya makocha ambao wakimuona mchezaji kwenye mazoezi hata siku moja tu wanajua ana weakness na strength zipo Ni kocha Don Carlo ,chini ya Carlo wamepita wachezaji wengi walioenda kubeba Ballon...
9 Reactions
16 Replies
1K Views
Huu ni msimu wa nane Simba na Yanga hakuna anayeibuka na ushindi duru ya Kwanza tangu msimu tajwa. Pengine Msimu huu mwiko huo unaweza kuvunjwa wacha tusubiri hiyo Jumapili ya Novemba 5 kama kuna...
0 Reactions
1 Replies
364 Views
Huyu jamaa ni hasara sana na sijui kwa nini ameaniwa kupewa timu huku utopolo umejaa kichwani. Azam haiwezi kufika popote iwapo timu ipo kwa ajili ya kushindana na Simba tu. Timu lazima iwe na...
3 Reactions
6 Replies
750 Views
Kutokana na elimu yangu ya unajimu niliyoachiwa na marehemu Sheikh Yahaya, Man Utd leo atashinda au atadroo. Hivyo punguzeni matarajio ya kuwa atafungwa hasa nyie wadau wa mikeka. Mechi...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Hafla ya utoaji tuzo Tuzo ya Ballon d'Or, ambayo inatajwa kuwa kati ya Tuzo Bora zaidi za Soka duniani inatarajiwa kufanyika leo Oktoba 30, 2023 ambapo mastaa wa Soka wa Kiume 30 wanashindana...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Napenda kusikia maneno yenu hasa ya kiingereza. Nichambulieni timu ya taifa SAO TOME PRINCIPE na mechi zake za kufuzu AFCON, hii ni kwa wachambuzi tu, wengne tuwe wasomaji. ZINGATIENI TULE...
1 Reactions
5 Replies
574 Views
Na kwa Kujiamini kabisa na leo tena narudia kusema (najua wana Simba SC Wenzangu mtaumia) kuwa kwa Al Ahly FC hii hii niliyoiona ikicheza hovyo dhidi ya Simba SC hapa Dar na Cairo na ilivyocheza...
10 Reactions
35 Replies
18K Views
Habari zenu, Kumekuwa na sitofahamu baadhi ya mashabiki wa Tanzania wanajiuliza imekuwaje simba kuingia African footbal league wakati simba ipo nafasi ya 9 Africa kwa club Bora(sio club kubwa ni...
10 Reactions
14 Replies
2K Views
Salaam wadau wa kandanda. Ajax amsterdam ni moja kati vilabu maarufu na vyenye mafanikio makubwa ulimwenguni. Ni klabu ambayo imefanikiwa kuwatoa magwiji wengi wa soka kama johan cruyf, van...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Nimefuatilia sana mechi za Simba inapocheza na Yanga, Simba inapotumia uwanja wa Bunju kujiandaa kumkabili Yanga mara nyingi tunaishia kupata sare, sijui kwanini tunapenda kuiwinda Yanga tukiwa...
0 Reactions
5 Replies
702 Views
"Azam hawezi kutufikia tena, mpinzani aliyebaki ni Yanga ambaye na yeye tunataka kumfunga na kumpita kwa alama sita. Ni mechi ambayo tunaitaka kweli kweli, kuanzia kwa mashabiki, benchi la ufundi...
3 Reactions
13 Replies
861 Views
Back
Top Bottom