Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Match Day. Young African Sports Club Vs Azam Football Club. Muda 12:30 Jioni. Benjamin Mkapa Stadium. Ni game kali, yenye kutaka ushindi. Je, Azam atakubali kuendelea kuwa kibonde wa Yanga...
24 Reactions
907 Replies
58K Views
JUZI (Oktoba 28), Kingdom Arena, Riyadh, Saudi Arabia, ilipigwa boxing match yenye tafsiri nne; Mosi; Bingwa wa Mixed Martial Arts, Francis Ngannou, kucheza mechi ya kwanza ya Boxing dhidi ya...
6 Reactions
3 Replies
737 Views
Wale wote mliosema Rashford yupo kwenye levo za Mbappe njooni tena mumjadili jamaa yenu. Rashford amekuwa na fomu mbaya sana na kubwa zaidi ni sehemu ya anguko la ten Hag. Mje mumtetee jamaa yenu.
1 Reactions
3 Replies
359 Views
Watangazaji wengi nasikia wakisema Derby ya Simba na Azam au Yanga na Azam. Acheni ubabaishaji, timu ya Azam ya mwaka wa 2000's ijenge Derby na timu za 1930's? ni dharau na uwelewa mfupi wa...
5 Reactions
41 Replies
3K Views
Quarters ziko 4 sio sita https://www.youtube.com/watch?v=tiqAvzwp3VE
0 Reactions
0 Replies
406 Views
Hii apa.... Je na wewe umemiss nusu chuma nusu mtu?
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Manara aendelee na tabia zake za kuchambana na watu Ila madogo alikamwe na Privadinho wapo vizuri na wamempoteza sana. Sisi kama Yanga hatumtaki Huyu Manara arudi Simba na hata TFF wakimfungulia...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Yale Yale Kila mtu analalama TU! Mhusika hatajwi, waziri kaenda mpaka eneo la tukio kashindwa kumtaja mhusika. Sandaland mwenyewe aliahidi atamtaja lakini naona katishwa, kaogopa kakunja mkia...
23 Reactions
89 Replies
10K Views
Tuhuma zinasambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa BW Baraka Kizuguto ambaye aliwahi kuwa msemaji wa Yanga na sasa ni mmoja wa maafisa wa TFF anayeshughulikia masuala ya club...
5 Reactions
12 Replies
1K Views
SALIM ALMAS CUP 2023 MSHINDI WA KWANZA AONDOKA NA KITITA CHA MILIONI 26 Mbunge wa Jimbo la Mahenge/Ulanga Mhe. Salim Alaudin Hasham ametoa Shilingi Milioni 26 katika siku ya Fainali za Michuano...
0 Reactions
8 Replies
797 Views
It's a Sunday special. Ni siku nyingine tena katika historia ya soka ikizikutanisha timu toka jiji la Manchester katika michuano pendwa ya logi kuu ya kandanda nchini Uingereza. Mtanange huu...
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Namtafuta aliyewapa jina la ukuta wa yeriko awa jamaa, inawezekana alikuwa amebugia k vant na ugoro akajitamkia tu! Timu inayojiita imekamilika Kila idara inaruhusu mabao Kila mechi, aijalishi...
12 Reactions
44 Replies
2K Views
Wachezaji wa Azam wanacheza mechi mbili TU kwenye ligi za Yanga na Simba TU basi. Mzee Bakhersa afanye nini ili Azam ifanye vizuri? Fei alikuwa akifanya vizuri sana akiwa Yanga ingawa alikuwa...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Ilikua zikutane leo Simba U20 na Yanga U20 Ila Simba wamegoma kuingia uwanjani kutokana na Yanga kutumia wachezaji ambao hawakusajiliwa. Nisikuchoshe kiufupi Yanga hawana mchezaji waliemsajili...
5 Reactions
2 Replies
609 Views
Sijajua Simba SC mchezo ujao anacheza na nani ila namuonea huruma kwani ule mpira nilioucheza dhidi ya Al Ahly FC kwao na Waarabu kuutafuta muda mwingi kwao (hao nitakaokutana nao NBC Premier...
1 Reactions
8 Replies
711 Views
AL AHLY (ADIDAS) Wanadhaminiwa na kampuni ya kijerumani iitwayo ADIDAS ikumbukwe kuwa Adidas pia wanadhamini FC BAYERN MUNICH, FC SCHALKE 04, MAN UNITED, ARSENAL, LEICESTER CITY, JUVENTUS, REAL...
8 Reactions
13 Replies
2K Views
GENTAMYCINE nimeandika Threads za kutosha hapa Kuuonya Uongozi wa Simba SC juu ya Kocha Mkuu Roberto Oliveira anachomfanyia Mshambuliaji wangu Bora ndani ya Simba SC Moses Phiri ila nikapuuzwa...
15 Reactions
61 Replies
4K Views
Akiwa kwenye tamasha la Wasafi jana pale Arusha, Haji Manara ameahidi siku si nyingi ataita Press kwa ajili ya kuwaaga watu wa mpira. Amekaririwa akiongea laivu kuwa mpira umemtengezea sana...
19 Reactions
42 Replies
6K Views
Siku ya jana Azam imecheza dhidi ya Namungo, Fei alikuwemo kwenye kikosi. Yanga dhidi ya Singida, Mudathir alikuwemo kwenye kikosi. Mudathir na Fei walipewq adhabu ya kufungiwa mechi tatu baada...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Huu mchezo sio kabisa na hata kuita mchezo ni makosa kabisa. Watu wanaumizana huku wengine wanashangilia halafu eti unaitwa mchezo. Najua ngumi ni biashara kubwa duniani na ni ajira kwa watu...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom