Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Soka ni pesa, bila pesa soka inaweweseka. Mohamed Dewji amekuwa sehemu muhimu ya maendeleo ya Simba Sc kiuchumi na hivyo kufanikisha pia usajili mzuri wa Wachezaji na benchi la ufundi. Lakini...
0 Reactions
23 Replies
1K Views
Kwa Washambuliaji mahiri waliowahi kupita / kucheza Yanga SC hata huyu Mayele bado hajafikia 50% isipokuwa saaa anaimbwa na kupambwa kwakuwa tu Nyota imemuwakia na Vyombo vya Habari nchini...
3 Reactions
6 Replies
810 Views
Wenye Akili na tunaojua mengi na Kufukunyua yaliyojificha akina GENTAMIYCINE tuliposema habaki na anaondoka si mlitutukana hapa JamiiForums? Haya litukaneni sasa na Gazeti la Nipashe ambalo...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Kutoka kwa Casto news. 𝗡𝗜 𝗦𝗜𝗔𝗦𝗔 𝗭𝗔𝗞𝗘 𝗧𝗨 𝗠𝗪𝗘𝗞𝗘𝗭𝗔𝗝𝗜 𝗔𝗠𝗞𝗘𝗡𝗜 𝗠𝗔𝗞𝗢𝗟𝗢 Nimeona posti ya mwekezaji wa makolo analalamika kuwa anakwamishwa na atajitoa,,Okay hapa staki kuongea kishabiki wala...
6 Reactions
6 Replies
1K Views
Timu ya soka ya Yanga imemtambulisha Kocha Msaidizi kutoka Senegal anayeitwa Moussa Ngao. Kwa utambulisho huu ni wazi kuwa Cedric Kaze hatakuwa sehemu ya benchi la Ufundi la Yanga.
5 Reactions
18 Replies
2K Views
Klabu ya Misri iko tayari kuipa Yanga SC Billioni 2 na Kumpa Mshahara wa Tsh Milioni 85 za Kitanzania kwa Mwezi. Klabu nyingine huko Saudi Arabia iko tayari kuipa Yanga SC Billioni 1.5 na...
4 Reactions
48 Replies
3K Views
"Asanteni kwa Upendo wenu mkubwa Kwangu na kiukweli bila Yanga SC nisingefikia haya Mafanikio niliyonayo sasa. Kiukweli tunacheza Mpira kwa ajili ya Pesa na Maisha hivyo nawaombeni nikacheze huko...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Watani wetu, Wao kazi yao kama mashabiki hua wanaifahamu kila msimu, Na majukumu ya mashabiki wa simba ni kama ifuatavyo, 1. Kuishangilia timu yao viwanja mbalimbali 2. Kujitahidi kumbembeleza...
12 Reactions
17 Replies
1K Views
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na hii imetokana na kuuza usingizi wao wakijua anashuka mayele au jembe lingine la maana,kustuka!!!!wakala chuma hiki hapa[emoji116][emoji116]
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said hivi unajua kuwa umewakwaza mno 99% ya wana Yanga SC ambao hadi sasa wako roho juu kujua kama Mayele anabakia au anaondoka? Hapo kwa Gift Fred hakuna Mchezaji.
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Aliyekuwa Kiungo Mshambuliaji wa timu ya Ihefu ya Ubaruku mkoani Mbeya Adam Adam aangukia mikononi mwa Mashujaa FC wa Kigoma. Adam Adam alijiunga na Ihefu January 2023 na sasa ni mali ya Mashujaa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ukipita mitaani ukawakuta mashabiki ,WA Simba na wachambuzi wa soka watakuonyesha kwamba mo dewj anaidhulum Simba au wanataka billion 20, wakati huo huo mo dewj ameendelea kutumia pesa zake...
0 Reactions
10 Replies
721 Views
Imekua kawaida sasa kuona mashabiki wa simba wakifanyiwa mizaha na viongozi wao kwa kuendesha propaganda ambazo ni wazi nyuma yake kuna viongozi wao. Nasema hivi kwa sababu kwanini wanaozusha hizi...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Hatimae TFF wameachia ratiba ya Ngao ya Jamii kwa timu nne ambazo ni Yanga, Simba, Azam na Singida. Mechi zote kupigwa katika dimba la Mkwakwani kuanzia August. Kwa ratiba hii unamuona nani akiwa...
12 Reactions
60 Replies
9K Views
Mzuka wanajamvi! Hii kasumba ya ubaguzi kwenye mpira inaonekana waziwazi. Hata George weah alivyopewa balloon d'or miaka ya nyuma kwa kuwa mchezaji bora wa mwaka wazungu walilalamika ilikuwaje...
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Kwakweli nitafanya hivyo. Chelsea mmetoa uzi mkali sana. Japo tayari nimeagiza uzi wa Man U kutoka huko but naagiza na wa Chelsea. Hongereni sana.
1 Reactions
2 Replies
962 Views
Siwezi kulipwa milioni tano tu nikala ugali na sukari nikakupa pasi ili ufunge. Kocha Nabi alikuwa analipwa milioni 35, mzee wa kutetema sasa rasmi kuwa mchezaji ghali Afrika Mashariki nzima...
10 Reactions
43 Replies
5K Views
1. Diara 2. Mwaikenda 3. Zimbwejr 4. Job 5. Inonga 6. Mzamiru 7. Dube 8. Aucho 9. Mayele 10. Chama 11. Ntibanzonkiza Umegundua nini?[emoji23]
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Wasalaam Nakumbuka nlitengana na mpenzi wangu mmoja kisa , mpira Mpira ni furaha yetu , tuna furaha nyingi sana ila mpira hauna kifani . Mpira unatuumiza sana sometimes pale , timu zetu...
10 Reactions
121 Replies
8K Views
Umegundua nini hapo.?
0 Reactions
2 Replies
641 Views
Back
Top Bottom