Yupo wapi mwamba wa Lusaka? Nani amemshuhudia akishiriki yahusuyo Klabu yake tokea arejee juzi?
Inasemekana, hata kwenye zoezi la kupimwa afya, hakuwepo! Vilevile, inadaiwa kaigomea safari ya...
Unaweza kucheza na Phiri kama CF lakini hana uwezo wa kukupa availability factor.
Onana sio mchezaji wa kumtegemea, naye majeruhi yatamuandama.
Kramo hawezi kicheza CF full season.
Bocco ndio...
These is to much! kwa mwekezaji wa Aina hi kila wakat kuwatisha watu as if kwamba bila yeye Simba haitofika mbali ,huu Ni ujinga na upumbafu kuendelea kumbembeleza moo na kumuona mungu mtu ,kila...
Habari zenu wanakabumbu
Hapa tufanye ndio sehemu sahihi ya kufurahia tamu za utani na kuuvumilia machungu ya timu hizi mbili nchini kupitia utani huo.
Hizi ndio timu kongwe nchini zenye...
Kwa sisi wapenzi wa mpira na kisimbuzi cha Azam Tv, nilijipa muda nikachunga na kuthibitisha sisi Tanzania tunalipia pesa nyingi kununua na kulipia vifurushi vya Azam tv tofauti hata na majirani...
Timu ya soka ya Singida Fountaingate ya mkoani Singida imeingia mkataba na Shirika la Ndege la Precision Air la Tanzania kuwa Msafirishaji wake.
Mkataba huo umelenga pia katika kutoa punguza la...
Bado siku 10 ifike tarehe 22, yanga tayari wameingia kambini kujiandaa na msimu ujao, za ndani zinasema kwamba yanga watacheza na Kaizer chief ya Afrika Kusini.
Kiungo mwenye eneo lake ndani ya dimba atua Jangwani na kukabidhiwa Jezi namba 20 ile ile aliyoizoea. Usajili huu utakuwa na faida kubwa sana pale Jangwani kwa sababu huyu kiungo ana nyota yake...
Simba Sports Club imepanda viwango vya ubora wa CAF kutoka nafasi ya 9 hadi nafasi ya 7
Hii maana ake ni kuwa msimu ujao katika draw ya hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa Afrika, Simba...
Hii ni orodha ya matokeo ya viwango vipya ambavyo vimetolewa na Shirikisho laa Kimataifa la Takwimu na Historia za Mpira wa Miguu yaani (IFFHS)
Link:- (IFFHS)
Kongole kwa GSM kwa maana jitihada...
Habari zenu.
Fabrice ngoma ni mchezaji nzuri..
Juzi kati simba wameajiri scout wa kutafuta wachezaji je scout wa simba anapora wachezaji wa timu pinzani uwanja wa ndege,sasa kazi ya scout ni...
Rais wa heshima wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji 'Mo Dewji'kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema "Transformation ya Simba bado haijakamilika. huu ni mwaka wa 6. Karibuni ntakata tamaa"...
Kikao kilichofanyika juzi jumapili kati ya uongozi wa Yanga na usimamizi wa Mayele haukufikia muafaka
Yanga wanadai hawataweza kuongeza ofa zaidi kwa Mayele na wamempa machaguo mawili wakala wake...
Makampuni mengi kwa sasa idara ya masoko hawabezi fact kwamba hizi timu zina wafuasi wengi kuzidi vyama vya siasa na huunganisha watu pamoja hata kwenye tofauti za kidini ama siasa.
Makampuni...
Nilimsikia Msemaji wa Simba sc Ahmedy Ally akijinadi kwa madaha akiwadanganya mashabiki kuwa Simba Sc itamuaga Jonas Mkude na kustaafisha jezi yake.
Hiyo ni kwa mbumbumbu tu wanaweza wakaunga...
Klabu za Kitayosce iliyoko Ligi Kuu ya NBC, na Fountain Gate inayocheza Ligi ya Championship zimefungiwa kusajili wachezaji.
Uamuzi huo umefanywa na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu...
Niko hapa napiga story na ndugu Arafat ananitaarifu Wiki ya Wananchi msimu huu wanataka ipambwe na Wazulu kutoka Kusini.
Siku ya jana walipewa mualiko rasmi hivyo wanategemea mrejesho siku ya...
Najua sio vizuri kuchanganya siasa na football
Lakini naomba tusamehane kidogo
Maana swala ili limekaa kisiasa
Mwaka 2024 ndo kutakuwa uchaguzi mkubwa DRC
Na kila kiongozi kwasasa anafanya...
Mo Dewji ni mwekezaji wa simba sport club kwa hisa 49% kwa nini analalamika?
1. ucheleweshaji wa mchakato wa mabadiliko
2. Upande wake umeshatimiza matakwa mahususi
3. Upande wa wanachama bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.