Sitaki kuandika uchambuzi wowote kuhusu Mkude, swali ni je, tustaafishe jezi yake au, tufute hilo swala kwa kuwa kaenda upande wa pili kutafuta masilahi?
Mahakama imetoa hukumu leo kuhusu kesi ya udhalilishaji wa ngono ambao mchezaji wa zamani wa Manchester City, Benjamin Mendy anahusishwa kufanya na wanawake nchini Uingereza.
Mahakama imemkuta...
Watu wengi wanaweza kuona kikosi cha Yanga ni cha kawaida kutokana na sajili za Simba lakini kwangu mimi bado Yanga wana kikosi kikubwa zaidi ya Simba hasa hasa washambuliaji wa Yanga.
Kipindi...
Wanasimba wenzangu embu tujiuze Kigwangalla ameifanyia nn Simba? Ni kwa nn anajitokeza kipindi tu kunapokuw na msigano baina ya sSimba na mwekezaji Mo?
Tusimpe mwanya mtu mwenye chuki zake...
Ikiwa yanga watamtumia zengeli vizuri watakuwa wamempata mchezaji mkubwa na mzuri zaidi na kuna uwezekano mkubwa akaibwa zaidi ya mayele
Zengeli ni namba 10 halasi
Japo anacheza namba 11 na 7...
Ni ajabu sana kwa hizi timu zetu za Kitanzania Simba na Yanga kufanya mambo kienyeji kienyeji sana ili kuwafurahisha mashabiki wao na sio kuitengeneza timu.
Kuna tetesi kuwa Simba wamemsajili...
Kitendo cha kishamba cha timu ya Yanga kuanza kurubuni wachezaji wa vilabu vingine vya Tanzania kwa njia za giza , kitachochea vurugu kwenye soka na kudumaza ligi yetu .
Sijaridhishwa na namna...
Nipo kwenye gym moja maarufu sana hapa karibu na Ubalozi wa Vatican lakini kwa masikio yangu nimemsikia mmoja wa wana kundi wa friends of Simba akimtuhumu mwenzao aliyepo karibu na Mudi kwa kuwa...
Ila huyu mwamba ni uchochoro au kuna sababu nyingine?
Haiwezekani beki bora unacheza dakika 90 ya mechi zote za CAF halafu unaaruhusu kamba 16. Upi umuhimu wako kwenye timu? Upi msaada wako...
Beki Kisiki Gift Fred kutoka Villa ya Uganda atua kwa Mabingwa wa nchi na wenye Historia yao Yanga. Hii inawafanya wazidi kuujenga ukuta wa Berlin wakati majirani wao wakiujenga ule wa Jeriko...
Mimi kama shabiki kindaki ndani wa Mo 29, nimekubali yaishe, mwaka huu tunapigwa tena. Hasira zangu ntamalizia kwa Ahmed Ally😥
Tangu aingie anatujaza matumaini hewa tu, boss nayeye amechoka na...
Hizi porojo tulishazizoea, mchezaji ana mkataba na timu yake wa mwaka mmoja alafu wajinga wajinga wanatembea na upepo kuihusisha yanga na mchezaji husika.
Ni lini vilabu hivi vikauziana wachezaji...
Winga Teleza na mmwaga maji hatari kutokea Taifa la Congo kanaswa kwenye Nyavu za Wananchi na kila kitu kinaenda vizuri na kesho kuna uwezekano mkubwa akatangazwa na kuungana na Jeshi la Kijani...
MSIMU ulioisha ulikuwa wa pili kwa Fiston Mayele hapa nchini. Msimu wake wa kwanza katika pambano moja la Simba alikutana na kisiki kinachoitwa Joash Onyango. Ni ndani ya miezi 24 tu iliyopita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.