Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Najaribu kufikiri endapo Mayele angekuwa mchezaji wa Simba SC, redio na wachambuzi wao wa mchongo wangeimba wiki nzima, lakini hii tetesi ya mwamba kuuzwa kwa bilioni 2.8 wachambuzi wanachambua...
7 Reactions
23 Replies
2K Views
Kuna movies zinaendelea huko kwa mapacha wa kariakoo.. Za ndani kbs Simba walianza kuonesha umafia kwa kumrushia tonge nono la ugali Fiston, baada ya Eng kugundua nayeye akaamua kumtumia Mh...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Katika kitu kikubwa na cha aibu ambacho Mwenyekiti wa Simba SC aliwakisea Wanasimba ni suala la Ceser Manzoki. Kupitia uchaguzi, Manzoki alipewa na maiki na kusema kuwa hatakuja Simba SC kwa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa hatua ilipofikia Young Africans ni dhahiri haiwezi kusonga mbele tena kombe la shirikisho Africa msimu huu. Japo Mallumo Galants wanasuasua kwenye ligi yao ila ubora wa mbinu na ushindani wa...
5 Reactions
81 Replies
6K Views
Haya Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe, Wachambuzi na Watangazaji wa Redio wenye Uyanga tafadhali Tangazeni upesi hii Taarifa. Na huyu Mchezaji wa Club ya Asec ndiyo alikuwa Mchezaji anayetegemewa na...
15 Reactions
32 Replies
4K Views
Tafadhali kama huyo Mchezaji wako Nassoro Kapama kakupa Pesa ili Umfagilie na asiachwe na Simba SC acha mara moja au anzisha Timu yako ya Mpira wa Miguu kisha Msajili katika Timy yako akufanyie...
2 Reactions
2 Replies
918 Views
Kombinesheni ya kiungo cha Barca kilichokuwa na Xavi, Iniesta na Busquets dhidi ya kombinesheni ya kiungo cha Madrid kilichokuwa na Casemiro, Kroos na Modric kipi kilikuvutia katika ubora wao...
5 Reactions
36 Replies
1K Views
Kombe la shirikisho limetawaliwa na Timu mbovu. Almanusura BINGWA wa Looser Ashuke Daraja kwenye League KUU hoko Algeria.
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Kocha wa Bayern Munich, Thomas Tuchel amekiri kuwa usajili wa raia huyo wa Senegal haujawa na mafanikio kwa kuwa mchezaji ameshindwa kufikia malengo, hivyo anaweza kuuzwa kwa Paundi Milioni 17...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Pamoja na timu ya Chelsea kuuzwa tangu mwezi Machi mwaka jana, Serikali ya Uingereza haijatumia hata mia kwa fedha zilizopatikana kutokana na mauzo hayo. Zaidi ya 2.5b £ (Karibu trilion 6 za...
4 Reactions
11 Replies
871 Views
Diara, golikipa mahiri raia wa Mali, mbioni kuikacha Yanga SC, inaelezwa kuwa, golikipa huyo amepata donge nono la mishahara kwenye moja ya vilabu vikubwa barani Africa.
6 Reactions
19 Replies
2K Views
Sijaona bado ulazima huo wa kujihangaisha kwenda kileleni Mlima Kilimanjaro na kuzindua jezi zetu Simba SC ili tu kufunika tukio la Yanga SC la wao kuzindua zao Ikulu ya Malawi mbele ya Marais...
9 Reactions
21 Replies
2K Views
Salaam ndugu zangu, Kama ilivyo ada katika wakati huu ligi yetu ya Tanzania inaelekea ukingoni tetesi ndiyo mahala pake. Nimeona nisogeze uzi huu wa tetesi na sajili mbalimbali ili tuweke rekodi...
7 Reactions
278 Replies
29K Views
Inaelezwa kuwa makubaliano yaliyofikiwa ni kumuuza kwa Pauni Milioni 43 ili kuchukua mikoba ya David De Gea ambaye ameondoka baada ya kudumu kwa miaka 12 Onana pia ameshakubaliana mahitaji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ali Kamwe (Msemaji Yanga SC) Siku ya Wananchi (Yanga Day) Taifa litatulia na Watu hawatoamini kwani tunaenda Kumtambulisha Mchezaji ambaye atawafanya Watu fulani Walie, Wasiamini na Wengine hata...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Mimi bila kupepesa macho, mbali na ushabiki wangu kwa Madrid, bado nadiriki ku- rank hizi nyimbo kama ifuatavyo: 1. Hala Madrid 2. 3. . . . Embu tuendelee hapo.
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Golini Caique Santos, kulia Kapombe, kushoto Tshabalala, Nne Inonga, kitasa Che Malone, Six Fabrice Ngoma, Winga Kramo, winga Onana, Nane Triple C, Tisa Baleke Kumi Ntibazonkiza au Phiri...
8 Reactions
18 Replies
2K Views
Klabu ya Algeria HB Chelghoum Laïd 🇩🇿 imeweka Rekodi mbili za dunia baada ya kumaliza msimu wakivuna alama 4 tu katika mechi 30. Pia Wameweka rekodi ya kucheza mechi zote 30 za ligi bila kupata...
8 Reactions
32 Replies
2K Views
Hebu tuulizane vizuri wadau wa michezo, maana hii midoli toka itambulishwe pale Msimbazi furaha kwa Wanamsimbazi ilipotea na huzuni aliingia, wakavimba kabisa. Swali ni moja tu, nani alitoa wazo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mayele alipwe milioni 50 kwa sababu gani? Kwa ajili ya kugombania shilingi ngapi? kwa kitu gani anacho kwenda kuifanyia Yanga? Huyu huyu Mayele aliye shindwa kuipeleka Yanga kwenye makundi Club...
12 Reactions
48 Replies
5K Views
Back
Top Bottom