Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Waziri Masauni akiwa na kibegi Jama kwenye hizi Mbwembwe tunaoumia ni Uto. Mpaka ifike ijumaa mtakuwa mmetuacha na vidonda vya tumbo
14 Reactions
25 Replies
3K Views
Sioni kama katika siku za hivi karibuni kutatokea na mchezaji nchini Tanzania atauzwa kwa kiasi cha zaidi ya Bilioni 3.6 kumzidi Fiston Kalala Mayele. Yanga SC wameingiza mpunga mrefu zaidi kwa...
7 Reactions
64 Replies
6K Views
Imekuwa tofauti kabisa safari hii wanainchi wana supriz gani? Maana sio kawaida kabisa, binafsi nahisi kuna bomu wanaenda kulipua tar. 22/07/2023 Ngoja tuone!
2 Reactions
12 Replies
1K Views
SKUDU KASIFLAVE NAME:mahlatsi makudubele. BORN:march 10 /1990(33) POSITION:left winger SKILLS: FIVE STAR FORMER CLUB: [emoji91]mamelord sundown (starting)[emoji1221] 🟡United fc...
3 Reactions
67 Replies
5K Views
Mpaka sasa kifurushi hicho kimekuwa kikikata mitaa tu na tayari kiko mkoani Kilimanjaro. Wenyewe wanasema kimesheheni Jezi mpya lakini nani mwenye uhakika kama siyo zile hadithi za majirani wao...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Tembeleeni mitandao ya Michezo ya Afrika Kusini muone jinsi nyie mlivyompamba kwa mwezi mzima hadi jana mlivyompokea lakini mnavyochekwa na kudharauliwa na South Africa Football Pundits kwa...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Rais wa Klabu ya Soka ya Yanga Mhandisi Hersi Said amesema klabu hiyo katika kuelekea wiki ya wiki ya mwananchi imeamua kuwahamasisha mashabiki na wanachama wake kujitokeza kuchangia damu katika...
1 Reactions
2 Replies
785 Views
“Jezi zetu tano zitakazo zinduliwa juu ya kilele cha Mlima Kilimanjaro zitakuwa na majina ya Viongozi wa Serikali mgongoni Rais Dkt. Samia , Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Timu ya Namungo imeutambulisha uzi wao ambao utatumika kwa msimu ujao wa ligi kuu ya NBC Preamier League
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Tarehe kama ya leo Julai 19, 1977 miaka 46 iliyopita Timu ya Simba ilitoa kipigo kikubwa cha kihistoria kwa wapinzani wao wa jadi, Yanga, mshambuliaji Abdallah ‘King’ Kibaden alifunga magoli...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Mtaani kunazungumzwa usajili wa timu mbili zaidi za Simba na Yanga lakini kuna timu ya Azam FC ambayo usajili wake siyo kwa Mashindano ya ndani kama wengine wasemavyo. Usajili huu wa Azam FC...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nguvu kubwa ya kumtoa Feisal kwa fitina pale Yanga na usajili mkubwa wa wachezaji wa nje basi tunategemea Azam kuchukuwa kombe la ligi kuu(NBC) , Kombe la Shirikisho la Azam . Simba kwa usajili wa...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Azam Fc wamekua Bora kwa kila kitu kuanzia usajili mpaka arrangement ya muda na wachezaji kuungana kwa pamoja na kuanza mazoezi. Azam FC wameonesha ukomavu mkubwa sana katika siasa za Simba na...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Timu ya Soka ya Yanga imemtambulisha Skudu saa 6 usiku na huyu ndiye aliyekabidhiwa Jezi namba 6. Hongera kwao, lakini swali letu ndiye alilengwa kupewa jezi hiyo au baada ya mlengwa kushindikana...
1 Reactions
10 Replies
985 Views
Kudadadeki na Wapiga Miba Wakuu ( Warogaji ) Wawili ( GENTAMYCINE nawahifadhi ) bado mnao hapo hapo na huyu Skudu wenu mtamkataa Wenyewe. Na Bingwa wao ( anayewapeleka kwa Mganga wake Hatari )...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Katika mchezo wa kirafiki kati yao na FC Rottach hawakuwa na sura ya huruma hata kidogo walichokiangalia ni kuuonesha Ulimwenguni kuwa wao si mchezo mchezo.
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Nimesikitika sana kusikia kuwa ni kweli aliyewahi kuwa Mchezaji wetu Louis Miquissone anarejea Simba SC. Mwaka jana Novemba na mwaka huu March kuna Kiongozi Mwandamizi wa Simba SC alienda...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Wakati Azam FC ikibakiza mechi tano kumaliza msimu wa Ligi Kuu Bara, tayari imeanza kimyakimya kutafuta kocha mpya atakayeiongoza msimu ujao ambao imepania kutwaa ubingwa huku kocha wa Al Hilal ya...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Klabu ya soka ya Azam, imetangaza ya kwamba, itaanza rasmi kambi yake ya kujiandaa kwa ajili ya msimu ujao Julai 9 mpaka Julai 30, 2023. Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo, kambi itakuwa katika...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
CEO wa zamani wa Simba ameendelea kutoa ya moyoni kupitia tweets zake ambazo zinamlenga mwanaume mmoja tu. Na muda umeshafika wa kidume huyo KUTAJWA, muda unakwenda kuongea.
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom