Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Baada ya sintofahamu kuhusu cloutus chama na hatma yake hatimae kaingia uturuki akiambatana na Fabrice Ngoma.
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwahiyo baada ya Kumkosa Mchezaji mliyekuwa mnamtaka mno na mmemsotea sana aitwae Zougrana wa Asec Abidjan FC na sasa Kasajiliwa USM Algers ili Kuwazuga Mashabiki wenu mmeamua Kusajili Wachezaji...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Wapanda milima mashabiki wa Simba wakiendelea na safari kutoka Horombo kuelekea Kibo.
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Kuna timu moja GENTAMYCINE naionya mapema ijitahidi tu kwa Makusudi ifungwe na Azam FC kwani ikishinda na ikikutana nami Simba SC ninayeenda kumpiga Kipigo cha Kishalubela (Kikatili) Nduguye wa...
6 Reactions
39 Replies
3K Views
HILI JIWE KATUPIWA KAKA GANI ? Ameamdika aliyekuwa CEO wa Simba, Barbara Gonzalez [emoji1600] Binaadamu tunatatizo la kusahau. Hakuna mwenye cheo cha milele! Ubabe utafikia kikomo chake. Kiburi...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Mtangazaji wa Michezo wa Redio Kubwa na inayokubalika nchini Congo DR ya ( iitwayo ) Top Congo FM Mwanadada Sylivia Meya kasema Mayele akiuzwa Kokote kule Yanga SC waliopewa kwa Mkopo wataambulia...
9 Reactions
25 Replies
4K Views
Kambi imeshaanza Avic Town Kigamboni ila Kipa Diara, Kiungo Mshambuliaji Aziz K, Kiungo tegemezi Aucho, Kiungo Fundi aliyewahi kuwa MVP Bangala na Beki mahiri wa Kulia Djuma Shabaan hadi sasa Wote...
6 Reactions
19 Replies
3K Views
Waziri Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana pamoja na Balozi wa Ufaransa hapa nchini Mhe. Nabil Hajlaoui Julai 19, 2023 Jijini Dar es Salaam wameshiriki uzinduzi rasmi wa...
0 Reactions
0 Replies
796 Views
Kwa Uwezo mkubwa aliouonyesha Kocha Mkuu wa Simba SC Robertino Oliviera nina uhakika kama tu akisajiliwa Wachezaji wa maana (Majembe) Msimu ujao Simba SC haitoishia tu kufika hatua ya Nusu Fainali...
25 Reactions
59 Replies
4K Views
Hatimaye Club ya Yanga imefanikisha kunasa saini ya mchezaji kinda kutoka Afrika Kusini anayeitwa Mahlatsi Makudubela (33) almaarufu kama Skudu. Mchezaji huyo kinda (33) alikuwa anakipiga kwenye...
14 Reactions
106 Replies
10K Views
Ngoja tusubiri mpaka mwisho tuone hawa viongozi watasema nini. Hakuna anayebisha pale msimbazi mambo ya kihuni ni mengi sana. Kweli bongo uchawi upo!
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Naangalia kombe la Dunia la Wanawake hapa, michuano inayofanyika kwa ushirikiano wa nchi mbili ndugu, New Zealand na Australia. Mchezo wa kwanza New Zealand kashinda 1-0 dhidi ya Norway, sahizi ni...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
TFF na viongozi wa Yanga sc hapakaliki, wanapigana vikumbo kuona namna gani /kuweka mikakati mpaka Jambo la Feisal Salum kuisha. Feisal Salumu hana timu ya kucheza zaidi ya Simba na Yanga, huo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mashabiki wa Simba sc walimuimba na kumkejeli Saidoo Ntibazonkiza kwa kusema kuwa umri wake umeenda na kusema kuwa ni "Babu". Alipomaliza kandarasi Yanga sc alijiunga na Simba sc akitokea Geita...
3 Reactions
14 Replies
917 Views
Hakuna furaha ambayo mwana Simba SC yoyote anayo leo ukiachia mbali ile ya kuwa na Kikosi cha Mauaji ya Shalubela baada ya kufanya Usajili wa Kufa Mtu na ushindi murua kabisa wa leo wa Wanasimba...
8 Reactions
39 Replies
5K Views
Kwa Usajili mnao ufanya ni wazi Sasa ile tabia yenu ya Kulalamika inaendelea. Mwakalebela na malalamiko yake ya kutaka kujitoa Ligi ya bongo ajiandae. Misimu yote iliyopita hatujasikia malalamiko...
7 Reactions
28 Replies
2K Views
Kamati imetangaza mapema leo kwamba Haji Manara atapunguziwa adhabu yake aliyopewa awali. Kwenye suala la hela imeshuka kutoka ilipokuwa awali milioni 20 hadi milioni 10 na azilipe ndani ya siku...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Ninawasi wasi na huu ubunifu wa Simba kama kweli utaleta maana wakati baadhi ya watu muhimu watakaposhindwa kukwea hadi kileleni mwa mlima. Sitaki kuwatisha lakini sio kazi rahisi kutoka Dar na...
5 Reactions
52 Replies
3K Views
Kwa uzito. 1. Tayari kocha mkuu wa stars na Msaidizi Moroko wamekiri kumshauri arudi Yanga ili acheze stars. 2. Alipofika tu airport akapigwa picha akiwa na wachezaji wa Yanga. 3. Tff iliwaacha...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Wakati sajili zinaenda kutamatika kwa timu mbalimbali, hadi sasa kwenye mpira wa kimtazamo ( mpira wa makaratasi) Simba na Azam wananda kuipa wakati mgumu Yanga kwenye mbio za ubingwa wa NBC na...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom