Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Yanick Bangala kwangu Mimi bado ni kitasa haswaa tena ni mchezaji mzuri japo kuwa Yanga inaviungo wakabaji wengi lakini ukipiga hesabu za uchezaji namba sita (6) hakuna wa kumfikia Yanick Bangala...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Benchi la ufundi lote out. Mayele huyo Pyramid, Djuma TP Mazembe, Bangala - Singida, Feisal - Azam, Kisinda karudi Berkane, Morrison - Thank you. Na bado Kuna tetesi za Diarra kumfuata Nabi...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Ukweli mshahara wa milioni 14 ni mdogo sana ukilinganisha na mchango na umuhimu kwenye klabu. Ikumbukukwe alirejeshwa kwa Mkopo na kuisadia wakati Ina struggle. Alipaswa kulipwa mshahara mkubwa...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Ifike mda muheshimu na muelewe Simba ni timu kubwa na yenye heshima kubwa Afrika, Hiki ni nini sasa!
4 Reactions
29 Replies
4K Views
1. Congo DR 2. Afrika Kusini. 3. Ivory Coast 4. Burundi Ila Wenye 99% ya Kusajiliwa ni wa kutoka Congo DR au Afrika Kusini na Ivory Coast na sababu Kuu ya huyu wa Burundi kutohitajika sana ni...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Na ndiyo Mchezaji ambaye Kisiri kabisa anawindwa na Simba SC Kusajiliwa baada ya Taarifa za ndani ambazo GENTAMYCINE nimehakikishiwa kuwa kutokana na kuwa ni Kinara wa Kuongoza Migomo (na Nduguye...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Kampuni ya Vifaa vya Michezo duniani ya ADIDAS imetua ndani ya Timu ya Orlando Pirates ya nchini Afrika ya Kusini. Kwa sasa timu hiyo itavaa jersey zake zitakazokuwa na nembo ya ADIDAS hii ni...
1 Reactions
6 Replies
972 Views
Kwa hii Mbinu Jezi #6 FC nawasifu hakika Marketing mnaijua kuifanya vyema. Mlianza kwa Kumvalisha Jezi yenu mpya ya 'Magemu Magemu' ili Kuwaaminisha Mashabiki. Wafuatiliaji wa mambo tunajua kuwa...
11 Reactions
18 Replies
2K Views
Nawaomba Sana ndugu Wana Simba,tumshikilie Chama kwa nguvu zote maana bado tunamtegemea Sana Tusidanganyike na usajili mpya maana bado watu hatujawajua Mabifu yamalizen
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Tokea GENTAMYCINE nizaliwe na niwe mfuatiliaji wa Mpira hadi sijawahi ama Kuona au Kusikia Klabu inakwenda Pre Season Kimafungu Mafungu kama ilivyo kwa Klabu yangu pendwa ya Simba SC. Kwa mtazamo...
18 Reactions
41 Replies
3K Views
Fiston Kalala Mayele. Aondoka RASMI YANGA kuelekea pyramid FC. KWAHERI Mayele Kila LAKHERI huko uendako. MAMBO KUMI YA FISTON MAYELE. 1.Ulikuwa mshambuliaji Bora. 2. Ulikuwa mchezaji...
38 Reactions
71 Replies
9K Views
Suala la Chama si suala la kuchekea bali ni suala la udhariri kwa timu kubwa Kama Simba Sc kubembeleza mchezaji. Hii haileti picha nzuri kuanzia benchi la ufundi mpaka kwa wachezaji, ni suala...
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Club ya PAOK ya Nchini Ugiriki imetangaza Kumsajiri Mtanzania Mwenzetu SAMATTA akitokea Fenabache, Cha Kushangaza nimepia Comment za Mashabiki asilimia 99% hawajapenda Usajiri wake. Kwa msaada wa...
3 Reactions
16 Replies
4K Views
Siku za hivi karibuni tumezoea kuwaona wazee wa Robo Fainali CAF aka mwakalobo aka kolowizad aka boss wa kununanuna wakipika data mbalimbali ili tu wawapiku wapinzani wao wa jadi ambao kwa sasa...
8 Reactions
43 Replies
4K Views
Unaenda Pre Season bila ya Kocha Mkuu, Msaidizi, na bado unatumia jezi ya msimu uliopita, hii ni record Simba wameweka. Inshort wameenda Pre Season bila ya kuwa na bench la ufundi.
5 Reactions
34 Replies
3K Views
BREAKING NEWS! Majadiliano ya muda mrefu baina ya uongozi wa Yanga SC na Fiston Kalala Mayele yamefikia tamati kwa mshambuliaji huyo kuuambia uongozi kuwa anahitaji kupata changamoto mpya...
28 Reactions
105 Replies
12K Views
Timu ya wekundu wa msimbazi wana jambo la kujifunza, haswa nini cha kufanya kipindi cha preseason nini umuhimu wa preseason na Benchi la ufundi linanufaika vipi. Simba wamepeleka timu uturuki...
9 Reactions
46 Replies
3K Views
Hapo nyuma kiungo fundi wa mpira Maestro Chama aliwahi kuandika kupitia akaunti ya twita kuwa "laiti Kama ningepata nafasi ya kushauri kamati ya usajili ningewashauri wamrudishe miqson au bwalya"...
0 Reactions
6 Replies
889 Views
Bado kuna sintofahamu juu ya mustakabli wa kiungo Clatous Chama ndani ya Simba SC baada ya kundi la pili la wachezaji kuondoka kuelekea Uturuki kuungana na wenzao kwa ajili ya maandalizi ya msimu...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Mpaka sasa NALIA NGWENA kutoka kwenye vyanzo vyangu ninavyoviamini, Khalid Aucho na Goli kipa Diara bado hawajaripoti kambini na hakuna taarifa yoyote kuwahusu. Aucho ndiyo kiungo bora na ni...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Back
Top Bottom