Jonas Mkude amepewa kandarasi ya mwaka mmoja pale jangwani, hizi timu bana, sasa Ambundo na Mkude nani mwenye afadhali, Ambundo ni kiungo wa pembeni lakini ana msaada kuliko huyo Mkude ambaye...
Mkude amefanya nini la maana Simba Sports mpaka jezi namba 20 aliyokuwa anavaa kustaafishwa?
Sijaona Barcelona wakistaafisha jezi ya Messi, Man Utd wakistaafisha jezi ya Giggs au Ronaldo?
Ac...
Yanga wameweka financial statements report yao juzi kwenye mkutano wao mkuu.
Ila kwa sisi wana uchumi wa brat na trap kuna sehemu haijaeleweka na tena viongozi wao wanajisifu kabisa.
Ni kwamba...
NIMEKUMBUKA miaka michache tu iliyopita, Simba walikuwa wanapigania maisha yao kwa Jonas Gerald Mkude. Wakati huo mkataba wake ulikuwa unakaribia kumalizika Simba na Yanga walikuwa wanahaha...
Huwezi kuwa na Timu halafu Asubuhi Spika wa Bunge anaenda na Kuwaambia Wamsikilize Yete huku akimbeza Mpinzani wake Sugu na Mbunge Mstaafu na mwenye Ushawishi Mbeya Mjini Sugu nae akienda...
Mnyama Mkali Mwituni, Simba SC kutoka viunga vya Msimbazi jijini Dar es salaam, katika kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya Ligi Kuu, michuano ya Kimataifa msimu wa 2022/23 leo Agosti 3, 2022...
Ninaambiwa hapa kuwa viongozi wanaumiza vichwa kutafuta namna sahihi ya kutimiza malengo na matakwa ya ripoti aliyo iacha Robertinho.
Coach Robertinho haioni nafasi ya Chama katika kikosi chake...
Nimeshangaa sana kuona viongozi bila ata chembe ya aibu wanaudanganya umma, bajeti ya klabu kwa mwaka 2023/2024 imepitishwa kwenye mkutano mkuu ni bilioni 13, lakini maajabu ya musa yanajitokeza...
EDO: SIMBA WANAWEZA KUACHANA NA BWALYA
Rally Bwalya? Huu ni mtihani.
Kipaji kipo kwa Bwalya lakini hajawahi kuikamata Simba kama inavyotakiwa. Hata walipoondoka Luis Miquissone na Clatous Chotta...
Klabu ya Simba yenye maskani yake mitaa ya Msimbazi Jijini Dar es salaam leo Juni 17 2022, imetangaza rasmi kumuuza kiungo wake Left Footer Magician, Rally Bwalya raia wa Zambia.
"Tumefikia...
Taarifa za ndani zinasema kuwa kiungo wa Simba, Rally Bwalya ameshamwaga wino wa kujiunga na klabu ya Amazulu ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini, lakini uongozi wa Wekundu wa Msimbazi umesema umepokea...
Nawasalim kwa jina la jamhuri wa muungano wa Tanzania. Aliyesema mungu si athumani hakukosea maana angekuwa athumani wengine wangekosa riziki maana angelipiza kisasa kwa maadui zake.
Duniani...
Hayo ni maneno ya Ahmedy Ally msemaji wa Simba sc.
Baada ya kauli hiyo ya kusema kuwa Okwa hajaonesha uwezo na ndiyo maana makocha wamemuweka benchi.
NALIA NGWENA kwa mawazo yangu nauliza Mkude...
Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC Ahmed Ally kupitia Simba TV ametangaza kuwa Simba SC imeistaafisha jezi namba 20 iliyokuwa inatumiwa na Kiungo wao Jonas Mkude hadi pale...
Dalali: Bilion 10 mara ya Kwanza...
Simba; Bilioni 13
Dalali: Bilion 13 mara ya Kwanza..
Bilioni 13 Mara ya pili...
Yanga: Bilioni 20
Dalali: Bilion 20 Mara ya Kwanza,
Bilioni 20 mara ya pili...
“Wakati Zoran akiwa Simba ilikuwa unacheza kulingana na ulivyoperfom kwenye mazoezi, lakini baada ya kuondoka ikawa kama Kuna watu wanaleta list ya wachezaji wanaotakiwa kucheza na hawa wasicheze...
Kichekesho baada ya kichekesho:
Idara ya Fedha imeshindwa kabisa kuja na hesabu ya kutuambia mchanganuo wa msimu ulio pita kuonyesha faida/hasara.
Wanachama wako mitandaoni hawafahamu chochote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.