Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ni muda sahihi kwa sisi Simba kumrudisha Morrison (toto tundu) Msimbazi. Morrison ni toto tundu lakini kipaji kipo, anaweza kutusaidia sana pale mbele akiwa na Saido na Chama. Chondechonde...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Watani zetu simba tumemtema kakolanya. Sijajua sababu lakini kwangu ni kipa bora asiye na mbadala wakati huu manula hayupo Yanga changamkieni maana tofauti na diara wengine magalasa Simba guvu...
3 Reactions
13 Replies
990 Views
Kuna goli moja aliwahi kufunga mshambuliaji wa Ghana, Asamoah Gyan katika Kombe la Dunia 2010 katika mechi ya Ghana vs USA. Wakati Gyan anaelekea kufunga aligongana na beki wa USA, Carlos...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
It is undisputed facts kwamba Kipa namba 1 wa Timu ya Taifa kwa sasa ni Benno Kakolanya, no doubt. Lakini katika namna ambayo wengi tulishagundua kitambo tangu alipoanza kukalia benchi vs na...
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Ushindi wao wa 3 - 1 walioupata leo dhidi ya Mbeya City ya Jijini Mbeya unawafanya kuwa na uhakika wa kupanda Ligi Kuu zaidi labda Mbeya City wakapindue meza nyumbani.
3 Reactions
37 Replies
4K Views
Beki kisiki wa Simba bwana Joash Onyango ametangaza kuachana na timu hiyo na sasa yuko huru kutafuta marisho mapya, huku akisema Simba kuna ubabaishaji mwingi. ----- UONGOZI wa Simba umefikia...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Msuva: ”Naweza kucheza team yoyote iwe Simba SC au hata Azam FC kwasababu nilishacheza pale. Lakini nafasi kubwa nawapa Yanga Africa " Simon Msuva via #eSport
4 Reactions
19 Replies
2K Views
1. Zambia 2. Congo DR 3. Ivory Coast 4. Ghana 5. Senegal 6. South Africa 7. Uganda 8. Cameroon 9. Zimbabwe 10. Mali 11. Sudan 12. Mozambique Wasipotokea katika nchi nilizotaja hapa Simba SC...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Yanga imemtema Morrison, imefanya tathmini na kuona ni mchezaji mzuri lakini hana impact kwenye klabu, mechi alizocheza na mshahara anaolipwa havifanani, ameonekana ni liability na sio asset...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
NALIA NGWENA niliona aibu Mimi kitendo cha Bernard Morrison kumpora pesa waziri wa sanaa na michezo Mhe. Chana. Kwa haraka haraka ni kama kitendo cha kuchekesha lakini kwa NALIA NGWENA the great...
12 Reactions
37 Replies
4K Views
Mashindano ya Mbio za barabarani za nusu marathoni za JKT ( JKT Half Marathon 2023) Kufanyika Jumapili tarehe 25 Juni 2023 Jijini Dodoma. Mbio hizo ni za Kilomita 21 (21.1K), kilomita 10 (10K) na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi kila nikimsikia akiwa anazungumza na Vyombo vya Habari haraka sana Akili yangu hunipeleka kudhani ( kuhisi ) labda ni Mtumiaji wa Dawa za Kulevya. Ninaomba Radhi Wote kwa hili Swali.
2 Reactions
41 Replies
4K Views
Leo ndio nimeona sura dhahiri ya Jemedari Said ni mtu mwenye wivu na roho yenye chuki kali sana kwa watu anaohisi wana utofauti na mitazamo yake. Hii imetokea leo muda wote alikua kimya hata pale...
7 Reactions
29 Replies
3K Views
Yes ni mchezaji wa Simba wanayemfananisha na Mayele sijui nyie wenzangu mnaonaje kama huu ufanano unafaa jibu baki nalo. Kibu D au Drogba kama wanavyomwita wana Simba baada tu ya kupewa Uraia wa...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Sidhani Kama ni mbinu sahihi katika mpira wetu wakati tuna kikosi kibovu Cha timu ya Taifa (taifa stars). Ovyo kabisa.
31 Reactions
128 Replies
9K Views
1. Wachezaji hawakuwa Mali yao bali ni wa Mkopo kutoka kwa Wakata Congo. 2. Kukopwa sana Pesa na Viongozi na kulipwa kwa kusumbuana mno. 3. Kilichomtokea mwenzao mmoja kuhusu Mkataba wake...
12 Reactions
50 Replies
4K Views
Tukisema yanga alikuwa na easy way to the Final tafsiri yake bado tunarudisha heshima kwa Yanga, yaani tunaamini Yanga hakukutana na wakubwa wenzie wakumpa challenge, tunaamini Yanga ni bora sana...
1 Reactions
77 Replies
3K Views
ITACHEKESHA kusema kwamba mmoja kati ya makocha waliodumu sana katika timu kubwa katika miaka ya karibuni hapa nchini hatimaye ameng’oka. Nassiredine Nabi. Anaweza kuwa amekaa misimu mitatu tu...
8 Reactions
17 Replies
3K Views
Wanabodi, nawaomba radhi wenzetu ambao mko chini ya miaka 40 maana hamuwafahamu sana wachezaji hao, lakini kwa kuwa JF ni kisima cha maarifa, mtaweza kupata historia ya miaka hiyo. Nakumbuka...
3 Reactions
29 Replies
8K Views
Huu ndio unaenda kuwa mwisho wa prof Nabi Ligue ya bongo haijawahi kumuacha salama mwanamichezo yeyote ambaye Baada ya kupata umaarufu na kukimbia Ligue ya bongo inajua ku brand,, kukumpa...
12 Reactions
176 Replies
9K Views
Back
Top Bottom