Mimi ni mdigo wa Tanga na ninajua michezo yote inayofanyika mkwakwani, nataka niwaambie mashabiki wa Yanga kesho hamtaamini macho yenu, huyo mdaka mishale atadhalilika sana kesho, winga ayoub...
Truth should be told, wacheni perepeerepe kwa mpira, stop politicizing football, hams hapo kufurahisha mtu ama viongozi ama fans, sisi mashabiki tuko kushangilia na kuumia, yaani tamu chungu...
Kutoka Johari Rotana mpaka kwenye ‘Banda la Video’ pamoja na maelezo ya kujivunia kwamba tunafanya kwenye ukumbi wetu lakini ulipaswa kuwa uliokamilika na wenye hadhi ya kuendana na thamani ya...
Jana Kally Ongala, mtoto wa mwanamuziki wa zamani nchini Remmy Ongala na kocha wa azam aliongea maneno ya shombo akijiona yeye ndio bonge la kocha na ana uwezo kuliko kocha yoyote yule...
Salute Wana JF...
Naaaaam habari zenu wapenda soka ni matumaini yangu kua mpo Sawa mnaendelea kulipambania Taifa.
Leo ndo ile siku litapigwa pira kukamiana, pira Fainali Kati ya wanalambalamba...
kocha wa Taifa stars yupo kimya au ana wasubiri TFF watoke huko Tanga waje kumpangia kikosi?
Mpira wetu wa bongo ni hovyo sana upo kimchongo mchongo tu na tusije kushangaa kuona FEISAL SALUMU...
Mmiliki alete uongozi mpya, alete mwalimu mpya aachane na hawa Watanzania wenye Usimba na Uyanga. Akiishi kwa mazoea, ubingwa hawezi kuupata. Kwa sasa wanaikamia Simba kwa vile Kocha ni...
Muda wa kunyoana.
Baada ya First leg kutamatika kwa Al Ahly kutoka na ushindi wa mabao 2-1 leo ni fainali ya pili itayokwenda kutangaza Bingwa
Mechi ni saa 4
Vikosi kwa timu zote mbili
Wydad...
2019 NBA Playoffs: First-Round Schedule and Matchups
Apr 11, 2019 1:59 PM ET
The 2019 NBA Playoffs will begin on Saturday, April 13. Here is the full schedule for the 2019 NBA first round...
Mm nimeumia sana azam kufungwa na yanga Leo, nashindwa kuelewa uwezo wa wachezaji wao na performance yao uwanjani, ni bora huyo Feit Toto mpelekeni Simba akaamshe amshe, hapo kwenu hakuna kitu.
Mm nimeanza kwenda uwanjani kuiangalia Simba mwaka 1988, enzi hizo kuna Nyota Nyekundu ya akina Roster Ndunguru, faustine kibingwa, Abbas Kuka, Mohamed Mgalike, kulikuwa na Pilsner ya akina Said...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Tuzo ya Heshima ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa mchango wake wa kupenda, kuthammini na kuendeleza...
Ukishasoma jijibu tu mwenyewe nani apewe golden boot.
====
EPUKENI U BUSH LAWYER
Msimu wa Ligi Kuu 2022-23 umekamilika rasmi Leo kwa Wananchi Young Africans kutawazwa kuwa Mabingwa. Hongera sana...
- Kaimu Kocha Mkuu Kali Ongala night mwana Yanga SC lia lia.
- Kocha Msaidizi Aggrey Moriss ni mwana Yanga SC lia lia.
- CEO wa Azam FC Popat night mwana Yanga SC lia lia.
- Kaimu Msemaji was...
Julian Alvarez amekuwa na wakati mzuri sana akiwa na Mancity pamoja na Argentina. Kwenye kombe la Dunia aliweza pachika goli 4 na kushinda Kombe la Dunia. Kama atashinda Uefa Alverez atakua na...
Baada ya kutazama mchezo wa fainali baina ya Wydad AC ambao walikuwa nyumbani dhidi ya Al ahly, Nimesikitika na kushangaa sana kwanini mpaka sasa Tanzania hatuna kombe la Afrika.Hawa Wydad kwa...
Wananchi tumemaliza msimu kwa kubeba treble maara 2 mfululizo. Hii ni rekodi mpya, hakika hapo mwanzo hapakuwahi kutokea na timu ikabeba trebble mara 2 mtawallia.
Shukrani kwa wananchi wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.