Hii tamthilia inaendelea na wapenzi wa tamthilia hii wameamini kuwa huenda ni true story.
Mtengenezaji na mwongozaji wamejitahidi kwa viwango vya hali ya juu sana.
Hii imekuwa nzuri kibiashara...
Sisi tunaoifahamu Simba bila ushabiki oya oya tunajua kuwa wachezaji wetu wengi ndani ya Simba hawawezi kutoa ushindani, lazima uongozi, wapenzi, mashabiki na wanachama wakubali kuwa kikosi chetu...
Ilikuwa mechi ngumu sana iliyojaa ufundi na kukamiana na mwishowe ESS ikafanikiwa kushinda kwa uzembe wa mabeki. Timu za ukanda cecafa zinajifunza nini?
Hali hiyo inaweza kutokea ikiwa ni mwezi mmoja tu umesalia kabla ya kuanza kwa michuano hiyo Nchini Qatar kama Serikali ya Tunisia itaendelea kuingilia masuala ya soka.
Onyo hilo limetolewa na...
Wakuu jana nimelipia pesa kwaajili ya mechi ya Yanga dhidi ya Geita kwa bahati mbaya nimepata shida, sitoweza kufika uwanjani.
Je, pesa yangu itabaki kwenye kadi au ndiyo imepotea hivyo? Mwenye...
Siku ukisikia hawa jamaa wamefungwa na timu za ndani, ujue pesa zilizochotwa kwenye viroba kipindi kile zimeisha.
Kwa sasa wala hamna sababu ya kutarajia hawa jamaa kuwa watapoteza mechi yoyote...
Inashangaza sana mara baada ya beki aliyeisha makali yake, Joash Onyango kupeleka ombi la uhamisho kwa uongozi wa Klabu ya Simba, mambo yakaanza kubadilika kwa beki gwiji raia wa Ivory Coast...
Ni bandika bandua leo katika uwanja wa Benjamin Mkapa, pale miamba ya soka Afrika mnyama mkali mwituni wekundu wa msimbazi, watakapo karibishwa na matajiri wa Azam FC katika kuwania pointi 3...
Wakuu Kuna video nimeiona(,Nimeshindwa kuilandisha Hapa) Wakati wakifanya mazoezi kabla ya kucheza na Makolo.
Kimsingi Nimewadharau bure!
Walikuwa Kwenye mashindano ya kimataifa kwa nn hiyo...
Kwa mara ya kwanza katika misimu miwili ya NBC inayofuatana, timu ya mpira wa miguu ya wanaume ya Yanga inaenda kupoteza alama tatu kama siyo mbili muhimu kwa timu ya dhahabu ya Geita.
Ni hayo...
Tafadhali hebu acheni kutupotezea muda na kutudanganya watu tunaoujua vyema mpira wa Tanzania (Bongo) na hizi kauli zenu za kimatumaini, kuwa kesho (Jumamosi) mtaifunga Yanga SC katika mechi yenu...
Klabu ya Simba leo Oktoba 28, 2022 imeingia mkataba wa miaka miwili wa Bima ya Afya na kampuni ya Mo Assurance ya Jijini Dar es Salaam. Mkataba huo uliosainiwa una thamani ya sh 250 milioni kwa...
Habari za asubuhi,
Kama nilivyoleta uzi wangu jana kusema Simba ina kikosi cha kawaida kulinganisha na Azam, hilo halina ubishi na siyo Simba tu ni hata Yanga pia.
Je, unafahamu toka Simba na...
Moja ya watu wenye uchu mbaya wa pesa kupitia vilabu vikubwa ni huyu mtu anaitwa Dauda. Ni mmoja wa virusi vikali sana anayetafuta kwa njia zote za fitna kupata fursa pale Klub ya Simba ili apige...
MANCHESTER United inaamini kwamba itasepa na saini ya mshambuliaji wa Borussia Dortmund bila wasi msimu ujao kwa mbinu kali.
United kwa muda mrefu imekuwa ikiripotiwa kwamba inahitaji saini ya...
Huyu kipa bila ya shaka anaonekana ni bora sana Tanzania kwa sasa. Hata hivyo ameshindwa kuimarika na inaonekana ameshafika kileleni.
Katika mazingira ya mechi ngumu huwa anavuja sana kwenye...
Tumeshawachoka sasa, yaani kila Simba SC ikifanya vibaya (ikifungwa) ili kutuzuga wapenzi (mashabiki) haraka sana kesho yake (kama hii leo) mnakuja na Press Conference (Mkutano na Waandishi wa...
Kwa sasa mna timu ya kawaida sana, Tshabalala, Kapombe, Bocco, Nyoni na Mkude siyo wa miaka minne nyuma, Chama aliyerudi kutoka Morocco siyo yule alieondoka, pengo la Muqquison bado halijazibwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.