Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Mkiiangalia timu inayokwenda kucheza kimataifa mzungumzie yanga hii ya leo. Hakuna ushindi bila kuhonga.
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Kama kwel wanataka kupambana kimataifa na kufika mbali bas wafanye usajir wa beki wa kati wa maana Huyu ndugu mwamnyeto mechi ngumu na zenye maamuz haziwez abak kuwa.wa nyumbani tu N ushauri tu...
11 Reactions
29 Replies
2K Views
Kama ulidhani Simba ni paka basi andika umeumia, Simba imefanikiwa kumbakisha Morrison ambaye alikuwa tayari amesainishwa mkataba Leo na yanga, kikao kilichofanyika usiku wa Leo na kumalizika...
4 Reactions
71 Replies
5K Views
Leo utopolo wamekuingiza kwenye vitabu vya kumbukumbu, jina lako litaendelea kutajwa kama miongoni mwa wachezaji waliowahi kuwafunga Yanga SC hat trick. Tena, hat trick yako ni nzito zaidi kwa...
14 Reactions
33 Replies
2K Views
Niwape pongezi wanajangwani. Ila kwa jicho langu binafsi la tatu hii timu sio bora kivile. Kwa mfano ikienda kushiriki LigiKUU nchini Uingereza almaarufu kama English Premier League, basi kwa...
2 Reactions
6 Replies
528 Views
Huyu CEO wetu ambaye hajui mgawanyo wa madaraka kila kitu anataka afanye yeye siku ikitokea tukabeba ubingwa akiwa bado CEO basi nimekaa pale mje mniite mbwa Mpira wa Bongo hauchezwi uwanjani...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Bodi ya ligi, sikieni kilio cha watanzania, kumweka Bangala, Inonga na Mayele kuwania uchezaji bora ni kukosa weledi, mnaonekana nyie sio watu wa mpira, mpira wa miguu na hata ngumi ni mchezo wa...
1 Reactions
11 Replies
997 Views
Kama nilivyo waeleza hapo awali. Ni aidha aondoke Barbara Gonzalenz au Bernard Morrison. Hawa mafahali wawili wameshindwa ishi zizi moja. Kaeni tayari Bernard ataendelea kucheza LIGIKUU Msimu...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Simba Sports Club tumepigwa mweleka mkubwa kuanzia Ngao hadi FA sasa siwakati wakucheza na Yanga pigeni vichwa kwakutafuta wachezaji wazuri na vijana ili Msimu ujao muwe na nafasi nzuri ya...
2 Reactions
11 Replies
643 Views
Nimekuwa mdau wa Vitasa LIVE baada ya Azam TV kuonyesha mchezo huo ubabaishaji umekuwa mkubwa, mabondia wanaoletwa ni wabovu na majaji wamekuwa wakipendelea mabondia wetu wanapopigwa. Ushauri...
4 Reactions
7 Replies
575 Views
Mods mpo wapi.. _Timu haina mfungaji bora _Timu haijachukua ubingwa _Timu haina kocha wa kueleweka _Timu haina si ii o _Timu imetuingiza hasara kucheza mechi za nyingi bila faida..tanesco...
4 Reactions
20 Replies
792 Views
Nimesikia interview ya Morrison nimesikitishwa sana hasa baada ya kusikia kuwa huenda huyu mwanamke ana chuki naye. Lazima ifike mahali tuone hatari ya kiongozi kuleta chuki za kike. Kama umewahi...
7 Reactions
71 Replies
3K Views
Wengi tumekuwa tukishangilia Fiston Mayele. Pale anapofunga tumekuwa wepesi kuiga namna yake ya kipekee ya ushanhiliaji. Hata wale wa upande wa pili nasikia walikuwa wakitetema kisiri huko...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Kuanzia sasa nimeshastaafu rasmi Kuzishangilia Klabu ambazo huwa zinacheza na Yanga SC kwani naona zinaiumiza tu Moyo na Kunikera zaidi kwani hazichezi vile nitakavyo hivyo sasa natangaza rasmi...
10 Reactions
22 Replies
2K Views
Patashika ya michuano ya Azam Sports Federation Cup hatua ya Nusu Fainali kati ya Yanga SC dhidi ya Simba SC, inatarajiwa kupigwa Jumamosi ya Mei 28, 2022 majira ya saa 9:30 Alasiri, kwenye Dimba...
7 Reactions
31 Replies
3K Views
Tuliposema simba pananuka umaskini muwe mnaelewa. Yule striker hatari kutoka vipers fc Cesar manzoki ambaye simba walikuwa wanamfukuzia ameamua kuwapiga chini na kurudi uganda .. Taarifa zinadai...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Kuna kauli aliitoa Haji kuwa pale yanga wenye akili ni wawili tu,na akawaorodhesha 1. Jakaya Kikwete. 2.Sunday Manara(baba yake haji) Sasa fikiria kipindi waTANZANIA wanampa ng'ombe ndugu...
2 Reactions
7 Replies
739 Views
Mambo yanazidi kumuendea kombo bondia Hassan Mwakinyo baada ya kuporomka kwa mara nyingine kwenye ubora. Wiki iliyopita bondia huyo namba moja nchini aliporomoka kwa nafasi 16, kutoka ya 17 hadi...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Tukielekea pambano la mwisho kabisa leo kitakachofuatavhapa ni pilika pilika za kusaini wachezaji wapya kwa msimu ujao 2022/2023 Mbali na azam waliotangaza kutwaa wachezaji wawili wa Ivory coast...
2 Reactions
5 Replies
573 Views
Kwa mujibu wa vyanzo , Mwana habari Nuhu Adam amevujisha habari ya Mchezaji Fiston Mayele kusaini kandarasi mpya na club ya Kaizer Chief ya S.A. === Katika ukurasa wake rasmi wa Instagram...
4 Reactions
88 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…