Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu (FIFA) imeifungia klabu ya Biashara United ya Mara kusajili wachezaji kwa madirisha mawili.
Adhabu hiyo imetolewa baada ya Biashara United...
Dah ama kweli waliosema maskini akipata matako hulia mbwata hawakukosea yaani kuna vitu kumbe simba tulikuwa tunachukulia for granted sana , pongezi mbalimbali, ranks za levels za juu afrika, kwa...
Kuna taarifa zinazomuhusu kiungo wa Yanga Feisal Salum kuhitajika na vilabu viwili nje ya Tanzania. Kwenye email rasmi ya Yanga na CEO kuna ofa mbili za Feisal Salum, kutoka klabu ya Ligi kuu...
Salaam Wana JF
Baada ya ligue Bora duniani LaLiga kuwapongeza mabingwa wa kihistoria wa NBC premier.......haya ni baadhi ya Mambo niliyaona Kama mchambuzi mahiri wa mpira nchini Tanzania
Hii...
Sote tunajua wazi simba hawana kocha tangu pablo kutoka real Madrid afukuzwe.
Kwa hivyo nafasi yake yupo kocha wa muda ambaye alikuwa msaidizi yaani matola.
Wakati haya yakiendelea huko yanga...
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa taarifa rasmi ya dirisha kubwa la usajili kwa vilabu vinavyo shiriki ligi zote zilizopo chini ya shirikisho hilo la soka nchini Tanzania.
Taarifa hiyo...
Kwa muelekeo ninaouna
✓ Mechi zote alizoshinda Yanga, Simba anakwenda kushinda kwa magoli mengi...
✓ Mechi zote alizotoa sare Simba, Yanga wanakwenda kupigwa wakiambulia zaidi ni sare kama ya...
Mwanza.
LICHA ya Yanga kubakiza pointi sita kutangaza ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC msimu huu, Kocha wa Simba, Pablo Martin amesema ni mapema sana kukata tamaa kwani kikosi chake kitapambana...
Wakuu muwe salama msiwe salama hainihusu,kikubwa kwangu YANGA BINGWA.
Baada tu ya mchezo kuisha jana wafuatao ndio wanapitia wakati mgumu (maumivu mazito)hapa JF÷
1. GENTAMYCINE (Huyu ndo...
Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limetangaza nchi 12 ambazo zitatoa timu nne kuwakilisha katika mashindano ya Klabu Bingwa na Shirikisho.
• Algeria 🇩🇿
• Angola 🇦🇴
• Congo DR 🇨🇩
• Egypt 🇪🇬
•...
PAPE OUSMANE SAKHO,THAMANI INAYOELEKEA SOKONI .
Hii ni dhahabu iliyotoka ardhini na kupitia kwenye moto ,kazi iliyobaki ni namna ya kuipeleka sokoni ,uwezo kipaji na maalifa ndio vinaleta maana...
Uongozi wa Klabu ya Simba umempa mkono wa kwaheri mlinzi wake wa kati Pascal Wawa raia wa Ivory Coast ambaye anamaliza mkataba wake mwisho wa msimu huu.
"Asante sana Wawa
Baada ya kuitumikia...
Kupitia kurasa zao za Instagram na Fcebook, Shirikisho la Ligi Kuu ya Uhispania "La Liga" limeipongeza Yanga kwa ubingwa. Ikumbuukwe mwaka 2020 Yanga ilisaini mkataba wa ushirikiano na La Liga...
Wanasimba niwaibie tu Siri licha ya Mo kutapa kuwa anataka ubingwa wa Africa ili jamaa ni bahili balaa.
Misimu uliopita alileta ubahili akaleta wachezaji wa bei chee tukachemka, msimu huu...
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita hawa jamaa(madrid na barca) walikuwa wakimtaka mchezaji hauchomoi. Hazard 120m,de jong 80m griezmanm 120m n.k. Lakini leo barca hata lewandowski anayepatikana kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.