JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kama haukuwa mtoto wa geti kali lazima michezo mingi ya utotoni utakuwa unaikumba binafsi nilikuwa napenda michezo mitatu tu ambayo ni; 1. Michezo ya vita hapo unaashumu wewe ni Rambo ukiwa na...
6 Reactions
323 Replies
26K Views
Wadau kinachoendelea time hii
1 Reactions
36 Replies
3K Views
hello.guys naomben ushaur nna tatzo gan kwasabab idadi ya wanawake wanaontongoza ni kubwa kulko wanawake nliowatongoza mimi!!
3 Reactions
59 Replies
4K Views
Kama hukuwahi kusomea shule zetu zileee basi kwa namna moja au nyingine utakuwa hufahamu mambo mengi sana maisha ya shule(msingi na upili) yalikuwa na changamoto nyingi sana ikiwemo kupewa...
3 Reactions
41 Replies
5K Views
hivi huyu makonda-kita anaakili? umesaidiwa kufika hapo umeshindwa kuficha kitu kidogo hicho? ungetengeneza certificate ya kubadili jina basi yote haya yasingetokea, cheki sasa hulali usiku...
0 Reactions
2 Replies
704 Views
wadada hawatoi papuchi hadi wahudumiwe/wahongwe/wapewe pesa.. na wakaka hawahudumii/hawahongi/hawatoi pesa hadi wapewe papuchi... so wanabaki kuviziana... nb; sio wote though...
1 Reactions
5 Replies
660 Views
Hajipodoi Hatumii pombe, Havuti sigara, Hapendi ugomvi, Hapendi uzinzi, Havai kata kei, ikionesha nguo ya ndani iliyo chafu harafu imetoboka. Hampigi mkewe, Hamkalipii mkewe bila sababu, Hashindi...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Kimsingi, ndo ivo.
0 Reactions
2 Replies
836 Views
Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu we umeninginia kwenye daladala,,, tena ulikua unamzid akili hapo Ndo utajua kwann gunia na dunia...
6 Reactions
23 Replies
4K Views
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo nimejitoa mitandao yote nimebakiza Jamii forum tu. Sababu zilizopelekea ni sababu za kimaadili , kiukweli kwenye hii mitandao ya kijamii hamna lengine la...
3 Reactions
49 Replies
3K Views
Nawaza yule Dada wa Kwenye Tangazo la Coca Cola ..angekua anafanya kazi Pharmacy... Unaenda unanunua Condom .. Anakwambia Hey Handsome its Happy hour.. *You won yourself a free condom* *_But you...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kadi ya clinic imeandikwa haiuzwi lakini unauziwa na kila anaeuza anauza kwa bei yako mwenyewe Tanzania pekee
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Salaam Naombeni dua zenu nimepata mchumba bongo movie jina nalihifadhi mpaka muda utakapofika. Nitakieni ndoa njema maana wengi wameshindwa kuwaoa hawa vimwana. Asante
1 Reactions
42 Replies
4K Views
1. Tundu Lissu 2. Paul Makonda 3, **M a *** li*** 4. Mange Kimambi 5. Gwajima 6, Mbwana Samatta 7, Diamond 8. Thomas Ulimwengu 9. Ali Kiba 10. Bujibuji
7 Reactions
45 Replies
6K Views
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama ulikuwa hujui ndo nakujuza... Ukiwa Dar es Salaam maduka ya mchele huwa yanajinadi kwa mbwembwe MCHELE SAFI KUTOKA MBEYA Ukishafika Mbeya unakutana na maduka ya mchele yakijinadi PATA...
1 Reactions
4 Replies
773 Views
Habari wana jamvi, Leo si ndio wanaita TBT(throw back thursday) eee...embu tukumbushane enzi zile primary school ile siku ya school baraza mambo yaliyokua yanajiri shuleni kwenu, Kwetu sisi ilikua...
3 Reactions
27 Replies
4K Views
Ni Tanzania tu Ambapo utaona kwenye SHELI wameandika *LIPA KWA M-PESA* Halafu pembeni wameandika *TAFADHARI ZIMA SIMU* [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Watanzania...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom