[13/03, 18:41] Avit: Nipo kwenye daladala afu pembeni yngu limekaa jamaa...... bila ta aibu linasoma chats zangu zote[emoji35]
Nkaamua kuweka front camera ndo tupo tunaangaliana...
*Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupeleke moja kwa moja had marekani" nikazima TV kwa haraka nikaenda kuvaa viatu. Hadi sahv bado nmekaa hapa...
Teacher : Our topic for today is photosynthesis,,,,Ben what is photosynthesis??Ben : Photosynthesis is our topic for today.
Ndo nimeacha anapelekwa kwa walimu wa field
*Huu ujinga wa MADEM mnavaa hereni sikioni, puani, sijui mara kwenye kitovu na kwenye jicho.. Cheni kama buku mbili jero hivi hapo SHINGONI. Kuna dem kaanguka hapa stendi katoa Sauti kama...
Unapokuwa umepewa lift ktk gari zingatia mambo yafuatayo:- 1. Usiwe busy sana na simu, tablet au kifaa kingine chochote cha ki electronic ulicho nacho kwa wakati huo...
Mtumishi wa MUNGU mmoja akiwa kwenye gari alisimamishwa na Trafic Police.
Police akiwa anahitaji rushwa alianza kuuliza maswali mengi, mara mbona gari lako linatoa moshi mwingi? Mbona gari lako...
Na mimi kuanzia leo sipangiwi kitu cha kupost humu maana simu ni yangu, bundle ni langu na hata wakati nanunua nilikwenda dukani mwenyewe na kuchagua aina ya simu mwenyewe. Sipangiwi!
Mimi ndio...
Habarini wandugu,
Vipi siku yako imeanzaje?
Umejipanga kusheherekea vipi?
Upo mkoa au maeneo gani?
kama inawezekana tudumishe umoja wetu wa kuzaliwa siku moja na ikiwezekana kukutana baadhi...
Jiraji Jirani Jirani kwanini jirani?
Hapo awali jirani ulikuwa na tabia njema jirani!
Lakini leo wewe sio tena yule wakale jirani !
Wa leo ni mpya jirani!
Kabla umeme wa Tanesco haujafika...
Jamaa mmoja alikuwa anapita karibu na bank ghafla akajikuta ameanguka waliokuwa karibu nae wakaanza kupiga kelele jamani jamani leteni maji huyu mtu kazidiwa.
Jamaa kusikia vile akanyanyuka kwa...
Masai mmoja alikwend town sasa akakubaliana na mwanamke kufanya mapenzi walivyo ingia chumbani demu akashuka chini na kuanza kunyonya. masai akasema, "kama hiyo inaliwa basi mwachie na mama Yoyoo...
..:D:D:Dkuna watu humu wakikosa cha kuandika basi ni mwendo wa:mad::mad::mad:mara:p:p:pwakiamuao_Oo_Oo_Owanamalizia na:):):):)
nani anaongoza kwa kupost emoj??:eek::eek::eek::eek::eek:
Ingependeza kwa ajili ya vzazi vjavyo kuja kujifunza historia kwa lile tukio ambalo halijawahi kutokea ktk historia ya nchi yetu.Kadhalika mnara huo unaweza kuwa chanzo cha mapato kwa watalii wa...
Habari za Asubuhi wana jf!!
Jana nilisimamishwa na Polisi mida ya saa mbili usiku na akaanza kunihoji
Polisi-jina lako nani
Mimi-naitwa ******* ******** nikamjibu
Polisi- kwa sauti ya ukari...
Wana Jf Nisaidie kujua kati ya hawa watu wawili nani alikuwa na nia ya kumuibia mwenzie?*
Dereva: mama wa matunda shi ngapi yote uliyobeba?
Mama wa matunda; yote baba 15,000/!
Dereva;weka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.