Wanazuoni Nina maswali mawili.
1: Mtu akimtaliki mkewe halafu baadae yule mtu akafariki, je yule mwanamke ataitwa mjane??
2; Mwanamke alietalikiwa halafu akaolewa na mume mwingine , je huyu...
Jamanii mitandao ya cm nyoko[emoji38]..Tigo Wamekuja na Halichachi Airtel wakaja na Halivundi Jana voda wakaja na Haliishi..Leo nasikia Zantel wanakwambia achana na Viporo...Lol Bado Haloteli
Juzi nilimtongoza demu akaniambia hawezi kunikubalia hadi nikajitambulishe kwao basi nikaamua kupiga kimya. Sasa leo kanitumia SMS anaomba nimsaidie 100,000/= na mie nimemwambia akajitambulishe...
Inategemewa kuzinduliwa mwaka 2026.
Itajikita kwenye upendo kwa jamii .
Itapigania elimu na kupinga vitendo viovu kama matumizi ya vyeti vya wengine kujipatia ajira.
Itatetea pia wanyonge na...
Women are so difficult to accomodate.
At 18, they want handsome men.
At 25, they want matured men.
At 30, they want successful men.
At 40, they want established men.
At 50 ,they want faithful...
01. Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical school.
02. Wale waliokuwa wa pili, wanachukua MBA na LLB na kuja kuwa Mameneja wa
wanafunzi walioshika nafasi ya...
......Fikiria mke wako ni Mange Kimambi halafu Baba mkwe wako ni Mch. Gwajima na Tundu Lissu ndo shemejiyo, hapo ndo utajua ndoa ndoano....!!! [emoji28][emoji28][emoji28]
Mtalaumu sana kuona watu wana roho mbaya. Moyo mzuri watu wanazaliwa nao. Moyo mbaya nao pia wanazaliwa nao. Hauchongwi.
Ukimkuta mtu ana roho mbaya, muonee huruma; ni mlemavu wa moyo...
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali zilizofanya na wataalam wa masuala ya mapenzi zimebaini kuwa wanawake wengi wanaendeshwa sana na hisia kuliko uhalisia.
Katika tafiti hizi, kati ya wanawake wanne...
Kwanzaa habari za asubuhi ndugu zangu yafuatayo ni mambo ambayo yamekuwa yakiniudhi kutoka kwa member wa jf kupitia thread mbalimbali na michango yao.
1.Ku quote uzi mrefu ukacomment kidogo...
Taratibu zote zimekwishakamilika, yakiwemo maswala ya vibali na leseni.Kwanzia mwezi July mwaka huu bia ya bei nafuu itaingia sokoni kuziba pengo la viroba vilivyokatazwa.
Wajumbe wenzangu...