Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ya Jadi…
Jamaa akaongea na bibi yake amuwekee jinsia ya kike ili akashinde Mahakamani na akitoka...
Nimewamiss wana MMU kituo changu cha kwanza nilipoingia JF
Naamini majina huendana na tabia na hata mwonekano wa mtu na hata viwango vya kimaisha bila kusahau uzuri
Kwa uzoefu wako...
Bosi mmoja aliyemfukuza mfanyakazi wake kazi alilazimika siku moja kulala macho yaan kukesha baada ya kuona kila siku akiamka asubuhi anakuta kinyesi mlangoni mwake, sasa siku moja akaona akae...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 natafuta mke wa maisha umri sio tatizo kikubwa awe na mapenzi ya dhati dini sio shida kwani ataendelea kusali alipokuwa
Ndugu mtanzania mwenzangu, najua unapenda sana vitu vya dezo, ila katika utawala huu itakubidi tu ulipie umeme kadri unavyoutumia. Watanzania tufanye khaazi (in John's voice)
* CAMERAMAN WA ENZI HIZO. ...* [emoji57][emoji57]
Makamera man walikuwa majeuri
kishenzi yaani! Kwanza unakuta hii
Kamera ina likamba fulani jeusi
inaning'inizwa shingoni.....
Kameraman ana...
Ndugu wana Jf nina uhitaji wa T-Shirts aina ya form six za rangi ya njano iliyo kolea kwaajili wanafunzi. Kama unazo au unajua zinako patikana naomba tujuzane.
Nimeanza kuflirt nae mda kidogo,we clicked yani...
basi tukawa tunaenda na flow....
He is a very busy man...
I know he is taken and so am I...
We both didnt have the intention of going...
Kuna jirani yetu mzungu alikua anafanya kazi katika kampuni fulani hivi hapa town.
sasa alikua ana paka wake huyo anampenda sana,anampa chakula,anampa huduma zote muhimu mpaka kwenye gari lake...
Nimepiga Eagles nest sec school kuanzia 2002 mpaka 2006 ni mwaka nilio maliza senior 6.
Daah nimemis sana chikomandoo...
Na kitu cha Rolex... Plus butunda
Na chakula cha Yule mama wa soko la...
Habari za jumapili wakuu zangu.Kuna huu wimbo wa navykenzo una sema mwanamke sio BAJAJI ukipanda ushuke usahau wala pikipiki.
Mimi kwa mtizamo jinsi wanavyofanya Hawa jinsia jirani kujirahisisha...
Sabalnuru wapendwa,
Kuna usemi unasema adui yako usimwombee maradhi wala kifo, mwombee kupenda asipopendwa kwani mateso yake ni nusu ya jehanamu. Kuna wanaokubaliana na usemi huo?
Tungesema mtiani wa mwisho ila marks huwa haziwekwagi wazi sasa tujiulize kwa ule wa mkoa tu, nani angekuwa hai?
Wakuu mi kusema la ukweli ningeshaondoka kitambo sana
Tuchangamshe bongo kidogo
andika neno la kingereza ambalo litambidi msomaji atafute dictionary
Virtuoso
Polyunsaturated
Ophthalmic
Kumquat
Chrysanthemum
this is Chit-Chat [emoji173]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.