JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
...kuolewa ukaachika baada ya mda mfupi ukaonekana hujatulia. au kutoolewa kabisaa ukaonekana bahati huna? Bora kipi et
2 Reactions
64 Replies
5K Views
Nipe jib sahihi tafadhal
0 Reactions
1 Replies
744 Views
Kuna mbunge nilishamsikiaga alichapia akasema 'naunga mkonyo hoja' wabunge walicheka sana alfu spika akasema jaman wabunge 'mdomo hauna ulimi' wakawa hoi tenaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi sifagilii kabisa wanaume sijui kumpenda mtu japo nimejawa na mapenzi tele ila nashukuru sana kuna watu wanaonifundisha upendo kwa kunipenda kwao! Mmojawapo ni huyu ndugu Bujibuji ...
3 Reactions
59 Replies
3K Views
Aisee Jamii Forum kuna watu wenye majina mabaya (Fake ID), yaani ukiangalia jina ngumu kama mizizi ya dawa za kienyeji. Mengine majina yana kiima na kiarifu. >> KABHILABHIGHAMBO >> CHIKIRA...
4 Reactions
234 Replies
17K Views
Habari wakuu Yani hizi ndo ninazoota kipindi hiki cha Mr Solex ni za ajabu,mara naota nakimbizwa na nyoka anakonda,mara naota naanguka kwenye shimo kubwa lenye giza,mara naota Tanzania watu...
0 Reactions
10 Replies
847 Views
Nimekuwa nae sasa kwa takrini miezi 2 na nusu sasa ila chakushangaza kila ninapohitaji mzigo anakuwa Oky, sasa ananiambia tuanze maandalizi ndipo bi mdada anapoanza kunishughulisha kwa kunipigisha...
4 Reactions
158 Replies
14K Views
17 Reactions
33 Replies
10K Views
LEO SHANGAZI KANIPIGIA SIMU Shangazi: hallow umepata kazi uko mjini Mimi: Ndio Shangazi: kazi gani Mimi: kazi ya ubinadamu Shangazi: kwani ubinadamu ni kazi Mimi: ndio Shangazi: ongera, malipo je...
6 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamaa: Mambo honey, upo ok? Mrembo: Sipo ok my dear Jamaa: Una tatizo gani baby? Mrembo: Nimetoka hospitali kupima, nna mimba. Jamaa: Weeh usiniletee balaa hiyo mimba imeingiaje wakati huwa...
6 Reactions
1 Replies
809 Views
Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofika usiku unatakakutoka kwenda kujisaidi kwasababu taa zimezimwa unapamia vyombo vya chakula sebleni kipindi...
9 Reactions
7 Replies
2K Views
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya ndio yaliyotokea jana baada ya wamama kuondoka na kuwaachia waume zao nyumba kwenda kusheherekea women's Day...........habari kamili wanazo watoto...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
AJIRA NGUMU!! Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe, "hivyo utajifanya Sokwe na tutakupa ngozi utavaa" Jamaa siku ya kwanza akavaa...
12 Reactions
13 Replies
3K Views
[emoji48] [emoji40]
1 Reactions
1 Replies
752 Views
Habar wanajf Nimetafuta hii app ya m -bet (mkeka bet) google play nimeikosa tafadhali mwenye kujua app inapopatikana anijuze
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom