JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mwamba apewe maua yake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nahangaika kupika hapa siopoa wakuu na ukizingatia siwezi kula daku kwa mama ntilie na nimeçhoka nakazi ile mbaya. Mchumba wangu joannah nikuoe...
11 Reactions
63 Replies
1K Views
Kwema wakuu! Ngoja tupitishe muda kwa stori kidogo. Zifuatazo ni vigezo na Marks ambazo Mwanamke yeyote aki- score kuanzia 75% anaweza kuwa mke wangu. 1. Awe Mwanamke Mrembo na Mzuri ( Marksi...
14 Reactions
154 Replies
4K Views
Juzi usiku narudi home nikasema nisimame pale mbele ya Meeda Sinza kuna duka lipo pembeni ya barabara ninunue vocha, ni mapema tu saa moja usiku. Napaki tu hamadi! wale wadada wamezunguka gari...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Hivi ingetokea kwamba mtu akifanya jambo kwenye mahusiano usilokubaliana nalo wewe, anafungwa jela au kutoa faini ingekuwa jambo gani hilo? Kifungo kwa muda Gani? Au faini shilingi ngapi? Kwa...
4 Reactions
6 Replies
316 Views
Ebana Kuna Jamaa hakupiga mswaki alafu story aziishi na maswali yasiyo eleweka. Vipi wewe Mkuu?
1 Reactions
29 Replies
1K Views
Amekuja na mtoto geto harafu mchizi anadhani ntajiongeza nitoke nje, na huko nje kwenyewe Kuna mvua nani anataka nikaloe nje otikiii😬 nasemaje Leo ndo Leo🤨
7 Reactions
13 Replies
577 Views
Wakuu samahani, Kuna father mmoja nina kaundugu nae, amewai kuwa mtumishi wa serikali sekta ya usalama wa raia na mali zao. Sasa juzi amepata msiba, nikampigia simu kumpa pole, cha ajabu...
4 Reactions
20 Replies
865 Views
Tuliomaliza shule wakati magroup ya whatsapp hayajaanza tulibadilishana mawasiliano tu..baadae teknolojia ikatukutanisha kwa sura zetu pichani na wengine hawaweki nyuso zao isipokuwa avatar au...
10 Reactions
40 Replies
2K Views
Bwana Yesu asifiwe kwa wale wenzangu na mimi. Wengine habari zenu? Ninapoelekea kutimiza miongo kadhaa ya kuwepo hapa duniani nimejikuta natafakari maisha yangu tangu pale nilipoanza kupata akili...
58 Reactions
637 Replies
62K Views
Wana Mapinga Bagamoyo Mkoani Pwani GENTAMYCINE nasema kwa Heshima, Unyenyekevu na Taadhima kubwa sana kwenu kuwa Hodi Hodi na Hodi tena kwa mara ya Tatu. Sasa tutakuwa pamoja kwa Shida na Raha...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Hili kundi linaandamwa sana aisee. Haya yana ukweli au ni wivu tu?
4 Reactions
41 Replies
3K Views
Pamoja na umahiri wao redioni, kuna sehemu fulani katika maisha wanaitendea haki ipasavyo. Je, ni sehemu gani iyoo[emoji28][emoji28]
2 Reactions
18 Replies
646 Views
Nimepokea mshahara siku nne zilizopita (kutoka serikalini) Kwa kweli ninawiwa kuishukuru serikali yetu shupavu inayoongozwa na chama kikongwe. Mpaka sasa mshahara bado haujaisha na inawezekana...
3 Reactions
12 Replies
381 Views
Every day I hear them; Betting is making life better but for most folks it is making life bitter. All in all if industrial economy is built through betting then we are doomed as a nation IRTC PBK
0 Reactions
1 Replies
425 Views
Kwa masikitiko makubwa ninakuandikia waraka huu,kwa jina ninaitwa bishanga abashaija mkazi wa Chole road , kwenye li apartment masaki.Ninaendesha vx new model na akaunti yangu iko citibank na...
23 Reactions
463 Replies
20K Views
I think everyone should experience this at least once in their lifetime.
0 Reactions
0 Replies
228 Views
Jirani angu ameomba nigoogle mtandaoni kalenda ya daku mwezi huu wa ramadhani lakini inanipa mashaka hii kalenda. Kama vile kumekucha sana, inaonesha saa 5:17 am (saa kumi na moja na dk 17...
4 Reactions
13 Replies
922 Views
Miezi ya hivi karibuni mwenzangu amekuwa busy sna na hii kitu na mimi binafsi sina ufahamu kuhusu matumizi yake Hebu tirirkeni hpa wakuu abc za huu mtandao angalau nijue kwa uchache maana nisije...
2 Reactions
16 Replies
483 Views
Hapo Tofauti na “Visa” neno gani lingine umeliona?
1 Reactions
10 Replies
378 Views
Back
Top Bottom