Aisee wadau jana kuna tukio la kusikitisha limenitokea.
Nilikuwa nimesimama maeneo ya Mwenge karibu na maduka nikaona mama mtu mzima analia.
Wakati huo nilikuwa nipo kwenye simu yangu nachati na...
Jamaa alipanda ndege kwenda Dubai,
economy class ndio ilikua ticket yake.
Akaenda kuketi 1st class.
Mhudumu akamsihi jamaa mbishi,
pilot msaidizi nae jamaa kagoma kuhama.
Pilot mkuu akaja...
To you Dearest Heaven Sent,
Seems like I have fallen in love with you…you are just the best! Now all I want to say is that I can't live without you and don't even want to. You are the best thing...
Habari zenu wakuu, navutiwa sana kimapenzi na vanessa mdee, mwenye namba yake au anaeweza kunikutanisha nae walau nmwambie kilicho moyoni mwangu anambie tafadhali, ni zaidi ya miezi sita sasa...
kutoka kituo cha habari cha taifa TBC;
habari ya kitaifa :mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi CCM mhe.Majambili Mafuru akili kushindwa na mgombea mwenza wa CHAUMA mhe.Bahati...
Wadau naomba mtembelee blog ya bukobawadau.blogspot.com na kumshauri mwendeshaji wa blog hiyo maana kwa jinsi ilivyoanza wadau tulidhani ni kwa ajili ya maendeleo ya watanzania kwa ujumla. Hadi...
*jamani duniani kuna watu wa ajabu sana yani huwezi amini jana nmekaa na mtu mmoja kanisani anavuta sigara bila hata woga nilitetemeka nusura niangushe bia yangu*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeongozana na dadangu badala ya kusubiri nikutambulishe unajitia uchizi na kumuita shemeji....shika adabu yako!
Ni kweli dadangu kajaaliwa kunyerokunyero (a.k.a chura) lkn isiwe sababu ya...
mtoto wa geti kali akijikwaa utasikia : oh my god . oh jesus christ
.
.
mtoto wa uswazi akijikwaa utasikia : kumamae msenge gani kanitaja
.
BY GOODLUCK MCHIKA
*Kuna sehemu nikipita huwa nanunua sambusa za kula kama tano hivi[emoji4][emoji4], sasa j'pili tulipokuwa kanisani mchungaji akasema watu tutubu dhambi zetu [emoji120]. Yule mzee muuza sambas...
NAKUMBUKA ZAMANI SANA ETI NA MIE NILIKUWAGA NAIGIZA UTANGAZAJI KAMA HIVI;
IFUATAYO NI TAARIFA YA HABARI MSOMAJI WENU NI MIMI MPWATWA MAJANGA LAKINI KWANZA NI MUHTASARI WAKE;
1.Serikali yawapeleka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.