Leo nmeamua kuja kusali hapa ubungo chai bora kwa askofu asiye teteleka na kelele za wamasiasa nataka nimuone live stay tuned ntawapasha yatakayo jili saivi nmwendo wa kwaya nmemwona na Mshana jr
Naomba mshee experience yenu mliowahi kupigwa shoti na umeme na mlijisikiaje?
Mimi nakumbuka siku hiyo nilikuwa na kideti cha kukutana na mtoto town... Sasa zile harakati za kupendeza si...
Leo Nifah kanikumbusha kuhusu misemo ya mzee Mugabe. Kama ni kweli hii misemo ni yake basi yule mzee anazeeka vibaya sana na inabidi apumzike tu. Sijui anakulaga nini aisee.
Ila ana uwezo mkubwa...
DUh!! mwalimu Shirima uliniambia mjini kuna Wazungu ukienda utawaona na utawasalimia Goodmornng after noon nakazalika kila siku napita nawaona kwenye duka la nguo nawashtuaga Mmnabebwa upumbavu na...
Nani hajawahi kupotea hapa town(dar es salaam) akaenda mahali bila kuulizia? Mimi mwaka jana nilizunguka sana pale Posta nilikuwa naitafuta ofisi za TNMC kuna form nilikuwa nazipeleka za sister...
1.Kumlaza mchepuko kwenye kitanda cha mkeo wa ndoa,hii ni kokoro.
2.kujifanya unaidharau ndoo ya bafuni,wakati huohuo unapoenda kuoga unapiga mswaki kwa maji ya ndoo hiyohiyo,hii ni kokoro...
Baba yetu ulie ikulu jinalako liogopwe utumbuaji wako uendelee na maisha yetu yazidi kua magumu, kama yale ya kabla ya uhuru! Utupe leo stahiki zetu ulizotuahidi baba, uwasamehe wasio kupigia...
Ni jambo la kumshukuru MUNGU kufikisha mwaka mwingine nikiwa mzima wa afya, niungane na wote waliozaliwa siku kama ya leo tutakiane heri ya siku ya kuzaliwa.
[emoji322] [emoji322] [emoji482]...
Buying flowers to ur Sukuma girlfriend is not a problem at all. The problem is when you receive her SMS*.. Mpenzi mboga za majani ulizoninunulia hazina ladha nzuri ,labda nimekosea kuzipika...
Wana bodi, nimepishana na pick up Nissan Navara imesheheni spanner za ukubwa tofauti tofauti hapa Mkuranga njiapanda ya kisiju kuelekea nyamisati.
Hii pick up ina watu wawili, dereva na abiria...
Muamerika, Mjapani na Mwafrika
walikuwa wanaoga sehemu moja
ya bafu la wazi.
Mara mlio wa kifaa ukasikia,
mmarekani akanyanyua mkono
... akasema ni mimi nina Microchip
pager in my arm
Ghafla tena...
Maisha bhana huwa nayo hayapendag ujinga kabisa...!!!
Mshahara ukiingia tu wiki ya kwanza unakula kuku ila wiki ya pili unaanza kula product za kuku (mayai) wiki ya tatu ya mshahara unaanza kula...
Mafundi ujenzi wa bongo kwa "swagga" hawajambo . Nilikutana nao site moja pale...wakiosha vifaa vyao vya kazi....mida ya jioni !
Mmoja alianza kwa kusema..." itabidi tuanze mgomo wa kutotumia...
Wadau,
Nina kadent kangu ka 1st yr chuo flani hivi, haka kabinti nina muda nako naeza kukadiria ka 3 yrs.
Ofcuz kenyewe ndio kalifall in-love kipindi hiko mimi nipo college nilikua nakadharau...
*_Najaribu kufikiria tu. Januari huwa ngumu kimaisha miaka yote...sasa najaribu kuvuta picha Januari ya mwaka kesho itakuwaje!*
NAJIKUTA NAIMBA ZANGU...